Profesa Ndakidemi ataka bunge litunge sheria mashoga na wasagaji wanyongwe

Profesa Ndakidemi ataka bunge litunge sheria mashoga na wasagaji wanyongwe

Ndagullachrles

Senior Member
Joined
Jun 20, 2023
Posts
153
Reaction score
161
Mbunge wa Jimbo la Moshi Vijijini(ccm),Profesa Patrick Ndakidemi amewataka wabunge kutofumbia macho vitendo vya ushoga na usagaji vinavyoendelea kushika kasi nchini na kushauri bunge kutunga sheria Kali kwa wanaojihusisha na vitendo hivyo ikiwamo adhabu ya kunyonywa.

Profesa Ndakidemi ametoa wito huo Bungeni mjini Dodoma wakati akichangia bajeti ya wizara ya Maendeleo ya jamii,jinsia,wanawake na makundi maalum.

Amesema matendo maovu yanayoendelea ndani ya jamii hata mwenyezi mungu kwenye vitabu vitakatifu aliyakataa na waliofanya hivyo vitendo aliwapa adhabu na kuwaangamizi.

"Mheshimiwa mwenyekiti kuna mambo machafu yanajitokeza Sasa hivi ambayo hata mungu kwenye vitabu vitakatifu aliyakataa ya sodoma na gomola mungu aliyakataa na wwtu wote waliofanya huo uchafu wa kuwanajisi watoto mungu aliwapa adhabu na kuwaangamiza kabisa "
"Mheshimiwa mwenyekiti Sasa kama mungu alitoa adhabu hiyo na hapa nchini tunaona vitu vya ajabu ajabu vya sodoma.na gomola vinatendeka kwa watoto wetu sisi tunakaa kimya Mimi naona kuna kitu hakijakaa sawa mwenyekiti".

"Na nianze kwa kusema Wanyama kama Kuku,Bata,Ng'ombe na mbuzi hawana akili na hawafanyi huo uchafu,Sasa sisi mungu ametupa utashi na akili zetu ,mwanaume mzima unaenda unakuwa shoga,hapana,Mimi kama mzee kuyataja haya mambo inakuwa ngumu lakini lazima niyaseme kwamba haijakaa sawasawa".

Profesa Nakidemi ameonya kuwa kama hatua za haraka hazitachukuliwa kukabiliana na wimbo Hilo wabunge watabeba lawama kwa mwenyezi mungu kwa kushindwa kuchukua hatua.

"Mheshimiwa mwenyekiti tusipochukua hatua hii kitu imeshaanza kusambaa kwa watoto wetu ,sisi wabunge wenzangu tutakuja kulaumiwa na mungu kwamba nyie ndiyo tuliwapa nguvu ya kutunga sheria na serq za kulinda nchi hii mlifanya nini kuwalinda watoto na nchi kwa ujumla"

Aliwataka wabunge wasikubali laana hiyo kutoka kwa mwenyezi mungu kwamba wamehalalisha hayo mambo na kuiomba serikali kutunga sheria Kali kwa wanaojihusisha na vitendo hivyo ikiwamo adhabu ya kunyongwa na kutolea mfano wa nchi jirani ya Uganda.

"Kwa hiyo waheshimiwa wabunge,mwenyekiti tuombe tusikubali hii laana kutoka kwa mungu kwamba tumehalalisha haya mambo,serikali ituletee sheria ,mmeona kule Uganda ilivyokuwa,imeenda sheria pale ,haiangalii sijui nani anakupa nini".

"Kuna wanasiasa wengi wanasapoti haya mambo lakini siyo wa huku ndani,tusikubali kabisa sheria iletwe na serikali hapa kama ni kunyongwa watu wanyongwe wanaofanya huo ujinga"
 
Haya mambo sio ya kuyajadili kwenye chombo kinachoheshimika kama

Mi nadhani ingefanywa silent extermination bila ya kelele yoyote kama Rwanda nchi ingekuwa safi, sana sana mabasha hawa mi ndo Nina hasira nao kuliko hata mashoga wenyewe yaani ningekuwa na mamlaka tu mtu yeyote anayethibitika kufanya ulawiti adhabu yake ni kuchukua plastiki inayoungua na kutondoshea matone ya plastiki ya moto kwenye kipara chake au adhabu ya pili ni kuibondq dushe yake na nyundo ili akaendee vizuri na hii desturi yake
 
Mbunge wa Jimbo la Moshi Vijijini(ccm),Profesa Patrick Ndakidemi amewataka wabunge kutofumbia macho vitendo vya ushoga na usagaji vinavyoendelea kushika kasi nchini na kushauri bunge kutunga sheria Kali kwa wanaojihusisha na vitendo hivyo ikiwamo adhabu ya kunyonywa.

Profesa Ndakidemi ametoa wito huo Bungeni mjini Dodoma wakati akichangia bajeti ya wizara ya Maendeleo ya jamii,jinsia,wanawake na makundi maalum.

Amesema matendo maovu yanayoendelea ndani ya jamii hata mwenyezi mungu kwenye vitabu vitakatifu aliyakataa na waliofanya hivyo vitendo aliwapa adhabu na kuwaangamizi.

"Mheshimiwa mwenyekiti kuna mambo machafu yanajitokeza Sasa hivi ambayo hata mungu kwenye vitabu vitakatifu aliyakataa ya sodoma na gomola mungu aliyakataa na wwtu wote waliofanya huo uchafu wa kuwanajisi watoto mungu aliwapa adhabu na kuwaangamiza kabisa "
"Mheshimiwa mwenyekiti Sasa kama mungu alitoa adhabu hiyo na hapa nchini tunaona vitu vya ajabu ajabu vya sodoma.na gomola vinatendeka kwa watoto wetu sisi tunakaa kimya Mimi naona kuna kitu hakijakaa sawa mwenyekiti".

"Na nianze kwa kusema Wanyama kama Kuku,Bata,Ng'ombe na mbuzi hawana akili na hawafanyi huo uchafu,Sasa sisi mungu ametupa utashi na akili zetu ,mwanaume mzima unaenda unakuwa shoga,hapana,Mimi kama mzee kuyataja haya mambo inakuwa ngumu lakini lazima niyaseme kwamba haijakaa sawasawa".

Profesa Nakidemi ameonya kuwa kama hatua za haraka hazitachukuliwa kukabiliana na wimbo Hilo wabunge watabeba lawama kwa mwenyezi mungu kwa kushindwa kuchukua hatua.

"Mheshimiwa mwenyekiti tusipochukua hatua hii kitu imeshaanza kusambaa kwa watoto wetu ,sisi wabunge wenzangu tutakuja kulaumiwa na mungu kwamba nyie ndiyo tuliwapa nguvu ya kutunga sheria na serq za kulinda nchi hii mlifanya nini kuwalinda watoto na nchi kwa ujumla"

Aliwataka wabunge wasikubali laana hiyo kutoka kwa mwenyezi mungu kwamba wamehalalisha hayo mambo na kuiomba serikali kutunga sheria Kali kwa wanaojihusisha na vitendo hivyo ikiwamo adhabu ya kunyongwa na kutolea mfano wa nchi jirani ya Uganda.

"Kwa hiyo waheshimiwa wabunge,mwenyekiti tuombe tusikubali hii laana kutoka kwa mungu kwamba tumehalalisha haya mambo,serikali ituletee sheria ,mmeona kule Uganda ilivyokuwa,imeenda sheria pale ,haiangalii sijui nani anakupa nini".

"Kuna wanasiasa wengi wanasapoti haya mambo lakini siyo wa huku ndani,tusikubali kabisa sheria iletwe na serikali hapa kama ni kunyongwa watu wanyongwe wanaofanya huo ujinga"
Huyu ndakidemi mwanae si ndo yule shoga anayetangaza Moshi Fm?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ushoga ulikuwepo kabla hata ya ukoloni,

Kwanza wakoloni ndo walikuja kukemea ushoga Africa....

Zaidi ya jamii 40 zilikutwa zikiruhusu mapenzi ya jinsia moja

Mfano kuna kabila Uganda linaitwa langi, quimbanda wa Angola nk

Haya mambo unagoogle tu hayako mbali
Ushoga upo n tunaishi nao
Wapo watu kwenye media mashoga wasagaji
Wapo wabunifu wa mavazi nao mashoga,kwenye mamuziki na mambo ya burdan huko ndiyo usiseme
Ukija mitaani sasa ndiyo balaaa
Sinza yenyewe sahv naona pamejaa mashoga na wasagaji tu,bado hujaenda tabata nako

Ova
 
Mbunge wa Jimbo la Moshi Vijijini(ccm),Profesa Patrick Ndakidemi amewataka wabunge kutofumbia macho vitendo vya ushoga na usagaji vinavyoendelea kushika kasi nchini na kushauri bunge kutunga sheria Kali kwa wanaojihusisha na vitendo hivyo ikiwamo adhabu ya kunyonywa.

Profesa Ndakidemi ametoa wito huo Bungeni mjini Dodoma wakati akichangia bajeti ya wizara ya Maendeleo ya jamii,jinsia,wanawake na makundi maalum.

Amesema matendo maovu yanayoendelea ndani ya jamii hata mwenyezi mungu kwenye vitabu vitakatifu aliyakataa na waliofanya hivyo vitendo aliwapa adhabu na kuwaangamizi.

"Mheshimiwa mwenyekiti kuna mambo machafu yanajitokeza Sasa hivi ambayo hata mungu kwenye vitabu vitakatifu aliyakataa ya sodoma na gomola mungu aliyakataa na wwtu wote waliofanya huo uchafu wa kuwanajisi watoto mungu aliwapa adhabu na kuwaangamiza kabisa "
"Mheshimiwa mwenyekiti Sasa kama mungu alitoa adhabu hiyo na hapa nchini tunaona vitu vya ajabu ajabu vya sodoma.na gomola vinatendeka kwa watoto wetu sisi tunakaa kimya Mimi naona kuna kitu hakijakaa sawa mwenyekiti".

"Na nianze kwa kusema Wanyama kama Kuku,Bata,Ng'ombe na mbuzi hawana akili na hawafanyi huo uchafu,Sasa sisi mungu ametupa utashi na akili zetu ,mwanaume mzima unaenda unakuwa shoga,hapana,Mimi kama mzee kuyataja haya mambo inakuwa ngumu lakini lazima niyaseme kwamba haijakaa sawasawa".

Profesa Nakidemi ameonya kuwa kama hatua za haraka hazitachukuliwa kukabiliana na wimbo Hilo wabunge watabeba lawama kwa mwenyezi mungu kwa kushindwa kuchukua hatua.

"Mheshimiwa mwenyekiti tusipochukua hatua hii kitu imeshaanza kusambaa kwa watoto wetu ,sisi wabunge wenzangu tutakuja kulaumiwa na mungu kwamba nyie ndiyo tuliwapa nguvu ya kutunga sheria na serq za kulinda nchi hii mlifanya nini kuwalinda watoto na nchi kwa ujumla"

Aliwataka wabunge wasikubali laana hiyo kutoka kwa mwenyezi mungu kwamba wamehalalisha hayo mambo na kuiomba serikali kutunga sheria Kali kwa wanaojihusisha na vitendo hivyo ikiwamo adhabu ya kunyongwa na kutolea mfano wa nchi jirani ya Uganda.

"Kwa hiyo waheshimiwa wabunge,mwenyekiti tuombe tusikubali hii laana kutoka kwa mungu kwamba tumehalalisha haya mambo,serikali ituletee sheria ,mmeona kule Uganda ilivyokuwa,imeenda sheria pale ,haiangalii sijui nani anakupa nini".

"Kuna wanasiasa wengi wanasapoti haya mambo lakini siyo wa huku ndani,tusikubali kabisa sheria iletwe na serikali hapa kama ni kunyongwa watu wanyongwe wanaofanya huo ujinga"
Ije na sheria ya kunyonga majizi ya mali za umma
 
Back
Top Bottom