Uchaguzi 2020 Profesa Ndalichako achukua fomu kuomba ridhaa Ubunge jimbo la Kasulu Mjini

Uchaguzi 2020 Profesa Ndalichako achukua fomu kuomba ridhaa Ubunge jimbo la Kasulu Mjini

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof Joyce Ndalichako, leo Julai 14, 2020, amechukua fomu ya kuomba ridhaa chama chake ili kiweze kumteua, aweze kugombea Ubunge katika jimbo la Kasulu Mjini kupitia CCM.

Kasulu Mjini.JPG

====

Joyce Ndalichako alikuwa mhadiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuanzia 2000 hadi 2005, akifundisha kozi mbali mbali ikiwemo Educational measurement and evaluation, research methods, and Educational statistics.

Ndalichako alikuwa Katibu Mkuu wa Baraza la Mitihani Tanzania, NECTA kuanzia 2005 hadi 2014
 
Huyu mama hawezi kupita, labda abebwe na dola tofauti nahapo anaangukia pua saa nne asubuhi.
 
Ndio maana nikaachana na 2020.

Mpambano ni mkali mno.

2025 kutakua kumepoa kidogo.
 
Kigoma mjini amechungulia ameona kina ni kirefu amekimbia.
Watu wa kigoma mjini hawajalibiwi.
 
Back
Top Bottom