MR BINGO
JF-Expert Member
- Feb 12, 2016
- 1,164
- 2,500
Wabongo wachawi kweli.....yaan usipofanikiwa watakusema ukishakuwa above average kidogo wanaanza chuki na gubuMkuu watakupa tabu sana hawa ndugu zako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabongo wachawi kweli.....yaan usipofanikiwa watakusema ukishakuwa above average kidogo wanaanza chuki na gubuMkuu watakupa tabu sana hawa ndugu zako
Ata kukisia kiasi cha chuvi kwenye chakula inahitaji akili pia! Lakini akili hiyo haimanishi kuwa anayeiweka chuvi kwenye chakula anaweza tengeneza iyo chuvi!Kwa hiyo wew ndiye uliyefundisha madaktari (radiologist ) jinsi ya kutumia radiological equipment? Unafikiri matumizi ya vifaa tiba hivyo hufundishwa na politician au mkulima kama wewe?
Nina jiulizaga maswali mengi mengi sana kuhusu wataalamu wetu wa kilimo na ufugaji dah achana na nuclear mbali sana hko tuwachie China na wengi!!!Yaani hawa watu ni useless kabisa.
Wanakwambia nuclear physics inatengeneza themometer! (sijui hata kama ni kweli?)
Ukiwauliza hiyo themometer inatengenezwa wapi wanakimbia!
Nuclear physics sio blah blah za theories.
We need people who have the ability to do scientific practical researches and come up with valid tangible proposals..... Invent technology and help the people.
Blah blah...... mara ohh nina GPA kubwa ya nuclear physics! So what!
Wakati wa corona hawa wanasayansi uchwara wote walikimbia wakajificha uvunguni wakamwachia zigo lote magufuli.
Angalau magufuli alikuwa anatupa tips za kupasua virus kwa nyungu!
Sasa hawa wazee wa nuclear physics inakuwaje?
Ingia kwenye www.researchgate.net utamkuta.Lakini wanachosema ni kweli.
Maana watu walishaanza kutupiga fix humu, ati ooh nyuklia sio mabomu tu!
Fine, mtueleze basi alichofanya marehemu. Something practical or tangible.
Tupeni wasifu wake na umaridadi wake wa kitaaluma katika kulisaidia taifa kwenye mambo halisi yanayoonekana.
Humu zinakuja hadithi za GPA, mara sijui revolution square!
Nasikia marehemu ana GPA kubwa tangu Tanganyika ipate uhuru!
Mtaalam wa nuclear physics ya vitabuni tu. Maprofessor wa nuclear physics wapo Iran huko na North Korea. Hawa wa kwetu ni wa kutungia mitihani tu.
Sio kweli unavyosema. Nuclear physics bado ni muhimu hapa TANZANIA. UNGEULIZA UAMBIWE. UNAJUA KWA NINI MBUN,GO (TSE TSE FLIES) WOTE ZANZIBAR WALIISHA?, AU UNAJUA JINSI YA UZALISHAJI WA mpunga ULIVYOINGEZEKA NCHINI. ULIZA MKUU SIO NUCKEAR WEWE UNAWAZA BOMU
Unanionaga wapi?Nakuonaga mwnye akili za kutosha ila apa umeongea upuuzi kiwango cha lami
Unanionaga wapi?
Acha uzuzu kama unaelewa elezea nini haswa au uzandiki na umuch know mwingi... Waliosoma wengi hawajaelimika na most of them hawana msaada wowote kwa Jamiii wanajivunia ni kumshambulia mtu tu but katika life hawana la kujivunia kufaidisha jamii inayomzunguka na akiwa na pesa basi ni misifa tu... Tizama huyu ndio wale wale... Kwa Mtu hata asiyesoma ukimuambia Neuclear Physics... unataka aelewe kuwa huyo ni aina furani ya Kilimo?Tatizo ukisikia nuclear physics unawaza mabomu tu. Nuclear physics ni dhana pana sana. Kwenye kilimo, tiba, nishati mpaka kwenye hayo mabomu.
Bongo ukiwa above average shidaWabongo wachawi kweli.....yaan usipofanikiwa watakusema ukishakuwa above average kidogo wanaanza chuki na gubu
Akili yako fupi sana....Leteni vitu tangible kama hivi, mfano unaingia Mall za majuu unakutana na picha ya mdada wa kibongo ana section yake ya mavazi na wewe unafeel proud na sio hadithi na vyeti visivyo na tija. View attachment 1646436View attachment 1646435
Kwa hio kuna imported scientist anaeshughulikua hizo imported tech au nyie manguli wa lugha mnasoma menu kisha mnaanza kuwapima watu kwa hizo technologies.Hiyo ni imported technology
Acha nikubaliene nanyi kuwa nuclear physics haina maana na wataalamu wetu ni vilazaa OK! .Acha uzuzu kama unaelewa elezea nini haswa au uzandiki na umuch know mwingi... Waliosoma wengi hawajaelimika na most of them hawana msaada wowote kwa Jamiii wanajivunia ni kumshambulia mtu tu but katika life hawana la kujivunia kufaidisha jamii inayomzunguka na akiwa na pesa basi ni misifa tu... Tizama huyu ndio wale wale... Kwa Mtu hata asiyesoma ukimuambia Neuclear Physics... unataka aelewe kuwa huyo ni aina furani ya Kilimo?
Siku hizi technology imekuwa very advanced hauhitaji PhD kutafsiri hizo mambo, si mnaona college dropout ndio waongoza kwa innovation dunianiKwa hio kuna imported scientist anaeshughulikua hizo imported tech au nyie manguli wa lugha mnasoma menu kisha mnaanza kuwapima watu kwa hizo technologies.
Tunaongelea Tanzania au dunianiani ? Hao college dropout hawakusoma wanacho innovate.?Siku hizi technology imekuwa very advanced hauhitaji PhD kutafsiri hizo mambo, si mnaona college dropout ndio waongoza kwa innovation duniani