TANZIA Profesa Philemon Sarungi afariki Dunia

TANZIA Profesa Philemon Sarungi afariki Dunia

Attachments

  • IMG-20250122-WA0047.jpg
    IMG-20250122-WA0047.jpg
    32.8 KB · Views: 1
Huyo Maria si inasemekana alimteleeza Baba yake?
Utawaweza wabongo wewe? Juzi wakati wa uchaguzi wa ndani wa Chadema walidai Heche hana mke, Heche alikaa zake kimya utadhani hasomi yanayo andikwa, jamaa anarudi zake kwao, mapokezi makubwa mara paap mrembo wake na wanae hawa hapa, wale waliosema hana mke waka mute, hao hao wakamgeukia Lissu, or Lissu mchepukaji, yaani wanaume kabisa eti wanadai Lissu mchepukaji! Pumbafu kabisa, over 90% ya wanaume wakiwepo hao watoa shutuma wana chepuka, tena wengine wana watoto wengi tu kuliko wale wa ndoa but wana pretend hawafanyi hivo. Watu wanafiki sana. RIP profesa Sarungi, Mzee ambaye udaktari ulimkaa moyoni na akili mwake, nalikumbuka sana tukio la yule mama aliyenusurika kuliwa na mamba halafu Sarungi akiwa RC wa mkoa wa pwani, alivaa joho la udaktari na kushiriki kumfanyia operation yule mama pale Tumbi hospital. Watu wa maana wanazidi kuondoka nchini kwetu, poleni wafiwa
 
Mzee wa makamo wa kijaluo, anaitwa JADUONG
20250305_211132-jpg.3260404

RIP Jaduong Mikol Sarungi

Pole ziwafikie wale wote walioguswa kwa msiba huu na hususani Familia yake.
 
Mwenyezi Mungu awafariji wafiwa na wote walioguswa na msiba huu, akiwemo Maria Sarungi

NIliwahi kusikia kuwa Prof. Sarungi ni Mtanzania wa kwanza kupata DIV. 1 ya Point 3 Kwa Combination ya PCB
Pascal Mayalla ni kweli hili?
Aliwahi pia, kuwa Waziri wa Ulinzi?
 
Mzee Sarungi alikuwa mwanamichezo, alikuwa mwanachama na mjumbe wa baraza la udhamini la klabu ya Simba.
Tutakukumbuka kwa mchango wako kwa taifa na klabu ya Simba.
 
Huyo Maria si inasemekana alimteleeza Baba yake?
Achana na hii hoja kwa Sasa mkuu. Tumuombee apumzike kwa amani...mbele yake nyumba yetu.

Amsalimie rafiki yake The late Professor Y. Bwatwa. Kwenye story za Professor Bwatwa alitusimulia jinsi rafiki yake alivyo mtibia alipo vunjika mkono vibaya Sana kwenye mechi ya mpira wa miguu na ndio ilikua mwisho wa prof Bwatwa kusakata kabumbu.
Pumzika prof. Sarungi alikua bingwa kwenye mifupa kama watanzania tutakukumbuka Sana kwa mchango wako kwenye hili taifa pumzika kwa amani.
 
R.I.P yaan kwangu namheshimu sana mtu anayerest na title ya Prof.
 
Back
Top Bottom