Profesa Shivji anasema mkataba wa Dubai/DP World uko kinyume na katiba; Je kusigina katiba sio kosa la uhaini?

Profesa Shivji anasema mkataba wa Dubai/DP World uko kinyume na katiba; Je kusigina katiba sio kosa la uhaini?

Misozwe

Member
Joined
Dec 23, 2022
Posts
21
Reaction score
26
lr1.png


lr2.png


Leo wakati akiongea katika mdahalo uliofanyika UDSM, mhadhiri mwandamizi wa sheria profesa Issa Shivji ameeleza kuwa mkataba wa uendeshaji bandari kati ya Tanzania na Dubai una dosari kutokana na vifungu vilivyotajwa hapo juu kukinzana na matakwa ya kikatiba ya Tanzania. Na akaeleza kesi inaweza kufunguliwa mahakamani kuwa Bunge limepitisha azimio ambalo ni batili kwa sababu linaashiria uvunjwaji wa katiba.

Kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungani wa Tanzania, Rais wa Tanzania ana mamlaka ya kusitisha (revoke) hati yoyote ya ardhi wakati wowote kwa mujibu wa sheria. Vifungu vya mkataba wa uendeshaji wa bandari kati ya Tanzania na Dubai hapo juu (inawezekana) vinaenda kinyume na mamlaka hayo ya Rais, yaliyowekwa kilkatiba kwa kuingilia/kuzuia mamlaka yake halali. Je, kama ni kweli, jambo hilo sio uhaini wa kwa mujibu wa katiba hiyo hiyo? Na kama ni kosa, adhabu yake ni nini?

Kwa mnaojua sheria naomba mnisaidie kuelewa.
 
View attachment 2672078

View attachment 2672079

Leo wakati akiongea katika mdahalo uliofanyika UDSM, mhadhiri mwandamizi wa sheria profesa Issa Shivji ameeleza kuwa mkataba wa uendeshaji bandari kati ya Tanzania na Dubai una dosari kutokana na vifungu vilivyotajwa hapo juu kukinzana na matakwa ya kikatiba ya Tanzania. Na akaeleza kesi inaweza kufunguliwa mahakamani kuwa Bunge limepitisha azimio ambalo ni batili kwa sababu linaashiria uvunjwaji wa katiba.

Kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungani wa Tanzania, Rais wa Tanzania ana mamlaka ya kusitisha (revoke) hati yoyote ya ardhi wakati wowote kwa mujibu wa sheria. Vifungu vya mkataba wa uendeshaji wa bandari kati ya Tanzania na Dubai hapo juu (inawezekana) vinaenda kinyume na mamlaka hayo ya Rais, yaliyowekwa kilkatiba kwa kuingilia/kuzuia mamlaka yake halali. Je, kama ni kweli, jambo hilo sio uhaini wa kwa mujibu wa katiba hiyo hiyo? Na kama ni kosa, adhabu yake ni nini?

Kwa mnaojua sheria naomba mnisaidie kuelewa.
Samia kajinyea. Soma uchambuzi wa Tanganyika Law Society (attached) uone madudu.

Serikali imechanganya sheria za Tanzania na sheria za Uingereza na kutengeneza uwekezaji utakaoleta mgogoro wa kikatiba (constitutional crisis).

This could lead to an existential crisis for the country.
 

Attachments

Mwanasheria nguli Tundu Lissu anasemaje kuhusu hiki?
 
tukisema ccm wanauza nchi mijamaa inabisha,
 
Naona kwenye hili jambo katiba imevunjwa ila busara na uvumilivu imechukua mkondo wake, itafunikwa funikwa mambo yataisha kimyakimya, mkubwa hakosei
 
Mpaka profesa shivji aeseme haya, basi ni kweli katiba imekiukwa. Kuna wanasaisa kila siku wako kwenye media kusifu ukiukwaji huo bila haya
 
Kila mtu apaze sauti kwa nafasi yake. Historia ije imhukumu kila mtu kwa haki.
 
Mpaka profesa shivji aeseme haya, basi ni kweli katiba imekiukwa. Kuna wanasaisa kila siku wako kwenye media kusifu ukiukwaji huo bila haya
Wakati mwingine unaweza ukawa unajiuliza kwa nini nchi haipigi hatua za kimaendelea kwa kasi, unakuja kugundua kama akili za watu wa juu ndio hizi za mikataba mibovu, hao wa chini sijui watakuwa hali gani
 
Back
Top Bottom