Profesa Tibaijuka: Mafuriko ya Rufiji hayajasababishwa na Ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere ila limeshindwa kuregulate mafuriko!

Profesa Tibaijuka: Mafuriko ya Rufiji hayajasababishwa na Ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere ila limeshindwa kuregulate mafuriko!

Waziri wa zamani wa Ardhi ameandika ukurasani X kwamba Mafuriko ya Rufiji hayajasababishwa na Bwawa la Mwalimu Nyerere lakini pamoja na kuzalisha Umeme Bwawa lilitakiwa kuregulate mafuriko Limeshindwa

Tibaijuka amesema Tudai kujua kwanini na kurekebisha tukitambua Hasara ya kutekeleza miradi mikubwa bila kuzingatia Utaalamu Madhubuti

Mlale Unono 😂😂🔥
World Wildlife Fund
https://files.worldwildlife.org › ...PDF
THE FACTS AND RISKS OF BUILDING STIEGLER'S GORGE HYDROPOWER ...
 
Hapo amehamisha hoja kutoka mfuko wa kushoto kuja mfuko wa kulia. Kwa lugha rahisi Professor amesema ujenzi wa bwawa la umeme ndio kichocheo cha mafuriko. Bila bwawa huenda mafuriko yasingekuwepo ama ujenzi wa bwawa ulipaswa kuzuia mafuriko kutokea.
 
Waziri wa zamani wa Ardhi ameandika ukurasani X kwamba Mafuriko ya Rufiji hayajasababishwa na Bwawa la Mwalimu Nyerere lakini pamoja na kuzalisha Umeme Bwawa lilitakiwa kuregulate mafuriko Limeshindwa

Tibaijuka amesema Tudai kujua kwanini na kurekebisha tukitambua Hasara ya kutekeleza miradi mikubwa bila kuzingatia Utaalamu Madhubuti

Mlale Unono 😂😂🔥
1. amejichnganya
2. Siyo expert wa mabwawa engineering.....
 
Soma vizuri heading. Mwisho kuna alama ya kushangaa. (!) usipokuwa mwangalifu, utafikiri kuna contradiction
 
Waziri wa zamani wa Ardhi ameandika ukurasani X kwamba Mafuriko ya Rufiji hayajasababishwa na Bwawa la Mwalimu Nyerere lakini pamoja na kuzalisha Umeme Bwawa lilitakiwa kuregulate mafuriko Limeshindwa

Tibaijuka amesema Tudai kujua kwanini na kurekebisha tukitambua Hasara ya kutekeleza miradi mikubwa bila kuzingatia Utaalamu Madhubuti

Mlale Unono 😂😂🔥
Hii ni kazi ya Hydrologist ambayo is part of Feasibility Study Report iliyopuuzwa.
 
Back
Top Bottom