Acha kuwa na akili fupi kuna taasisi kibao wameajiri watz zipo bongo. Marekani aki pull out watu wanakosa ajija kuna water read nk
ππππLengo lake ngozi nyeusi tusiwepo duniani abaki yeye na pua yake kama katuni
Kwani unafikiri hilo hawalijui toka tangu na tangu, data zote zote zoooote wanazo Mobutu Se alipewa vibunda vya kutosha na ..... halafu huyo huyo ..... akaja akamchomoa madarakaniKiama gan wakati asilimia kubwa ya hela ya misaada inaishia mifukoni mwa viongozi. Nashangaa kuendelea kutupa misaada huku wakijua hela zao zinaliwa. Na mataifa mengine makubwa yafuate mfano wa Trump.
Nilishawaambia katika maamuzi sahibi niliowahi fanya maishani mwangu ni kutokuanza kutumia arvs....19 years and counting nadunda tuu na kula mbususuUna pesa ya ARVs?
Najua unajua kwa nini nimekuuliza hivi.
Kwahiyo Huyu Mama kaamua kuwatisha Watanzania.Mbunge wa zamani wa Muleba, Prof Tibaijuka amesema kitendo cha Rais Trump wa US kusimamisha msaada ya kimataifa kitaleta Kiama Tanzania na Afrika
Pia soma > Trump asimamisha misaada kwa nchi nyingine kwa siku 90 ili kupitiwa upya. Tanzania nayo kuathirika
Trump amezuia misaada ya sekta za afya nk Ili Kufanya ukaguzi kama misasda hiyo inatumika kwa usahihi au fedha zinaishia mifukoni mwa eahuni wachache
Ahsanteni sana
---
Kupitia ukurasa wake wa X (zamani Twitter), Prof. Tibaijuka amesema βUpatikanaji wa madawa ya kuongeza kinga za mwili ARVs utaathirika, ninashauri Wizara ya Afya kuufahamisha umma wa Watanzania je ni hatua gani za haraka zinachukuliwa kutathmini jambo hili na kuchukua hatua stahiki?, ikibidi African Union waitishe kikao maalum kuangalia suala hili na kuweka mkakati wa pamoja, Waathirika wa gonjwa hili la UKIMWI ni Waafrika na ugonjwa haujulikani ulitoka wapi?, tujiteteeβ
βAidha juhudi za kuthibiti maambukizi ya virusi vya UKIMWI ziwekewe nguvu mpya, upatikanaji wa ARVs utakuwa mgumu na kununua ARVs kibiashara ni jambo litakalohitaji bajeti kubwa na uwezo wa taifa kwa ujumla ni mdogo na jambo limekuwa la ghafla, Waathirika wengi hawana uwezo kununua madawa hayo wenyewe maisha yao yoteβ
βAfya zao zikidhoofika itatumika gharama kubwa kuwauguza hivo kusababisha umaskini na vifo, pia bila ARVs maambukizi yatashika kasi mpya, tuwe machoβ
Hapana, acha kula mboga mboga, kula ARVs asubuhi kama kitafunwa, kula mchana kama mboga, na kula usiku kama dinner.., kula kama chakula tu..kwaiyo watu waache kula arv badala yake wakale mbogamboga au sio?
Hujaona Transgender wanarudishwa magereza ya wanaume yeye anawahesabu ni wanaume πππWamarekani walishamuona Trump wakat wa uongozi wake wa nyuma namna alivyokuwa lakini bado wamemchagua tena.
Sasa wote tunakinywea kikombe. Akina aunty John na akina anko maria wote tutaguswa
He isn't the only...Mimi nilliiona hili na nikawaonya watu,baada ya watu kusema kuwa sasa ngoma ni kama mafua tu, nikasema kwasababu sisi Waafrika ndio tunaongoza kuwa na wagonjwa wengi iko siku atatokea Racist mmoja huko....
Basi kama hatuwezi kila kitu hizo PhD zinasaidia nini?mkuu unafikiri akili ni mata.co ata mchwa anayo?
Ndio mkuu ni ARVwanatengeneza nini? ARV au?
Tumezidi ombaombaInatubidi tuamke kwakweli. Watoa misaada wametugwaya.
Mwaka 2001 hiyo hatari sana ππLakin nini πππππ
Mkuu dawa ni cost..Mkuu inawezekana kweli ni costly ila sidhani kama gharama zake zinaweza kutingisha uchumi wa nchi.
Wee mama wawili weweeeeeKaazi kweli kweli
Usitupangie maisha weweNyanduaneni kwa simile.