Profesa Tibaijuka: Trump kusitisha misaada ARVs zitaadimika Afrika. African Union iitishe kikao maalum kuweka mkakati

haya sasa wadau wa huu uzi mukuje uku sasa. mawazo yenu yanahitajika haraka sana hapa.

vp apa tunakunywa mkojo wa punda au wabinadam au tunaenda kusaka mitinyonyo?


Cc. Alone kwenye faili. FRANCIS DA DON
 
Serikali haiwezi kuacha watu wajifie lazima itaangalia alternative maana hata wao viongozi wakubwa wana ukimwi
Serikali ipi unayozungumzia? Ile inayoamuru wajawazito wasusiwe kisa hawana pesa ya kujifungulia laki moja na nusu au madokta wasiachie maiti bila gharama kulipwa au ni tofauti na ile?
 
Angestopisha misada inayohusisha cash abaki na ya non cash

MDH watalia
Kweli kabisa kusimamisha misaada yote ni kuua watu masikini kwa makusudi wakati wao wakiendelea kutunyonya kwa mikataba ya ajabu waloingia na viongozi wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…