Professa Palamagamba Aidan Kabudi mwalimu wa Tundu Lissu mwaka wa kwanza sheria, atasimama mahakamani kumwakilisha CP Awadh dhidi ya vibaraka

Professa Palamagamba Aidan Kabudi mwalimu wa Tundu Lissu mwaka wa kwanza sheria, atasimama mahakamani kumwakilisha CP Awadh dhidi ya vibaraka

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Pale Chuo Kikuu cha Dar es salaam ukienda jina la msomi huyu nguli kabisa wa sheria, anayejua Kiswahili, Kijerumani, Kiingereza na Historia ndio imelala kabisa kichwani, yaani Precedents kwake hata umuamshe asubuhi Kabudi anajua.

Prof Kabudi Waziri wa Sheria na Katiba amesikia kwenye mitandao ya kijamii kuwa Tundu anataka kuwafikisha mahakamani akina CP Awadh Haji na naibu msajili wa vyama vya siasa eti kwa Battery and Assault.

Lissu anadai kuna infringements of his legal rights kwahiyo anakwenda kufungua Tort pale mahakamani ili alipwe specific and general damages.

Lissu anadaiwa atakuwa na jopo la wanasheria 100 kudai haki yake ya kupigwa bila sababu zozote zile.

Lakini amesahau kuwa yeye na wenzake wote na majaji pia wamepita mikononi mwa Prof Kabudi, huwezi kuwa mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam kama mtihani wako haujasahihishwa na Prof.Kabudi.

Huko mahakamani hata mjae mawakili 1000 mkiongozwa na Mwabukusi tutamuomba Profesa Kabudi licha ya kuwa kwa sasa ni Waziri lakini nna uhakika defences za kutosha anazo katika suala hilo.

Nna uhakika Lissu akimuona Prof Kabudi tu pale viwanja vya mahakama ataomba poo mwenyewe maana bingwa huyo wa sheria Prof Kabudi hana papara, hana wasiwasi, anacheka tu akishirikiana na mwanasimba mwenzangu Hamza Johari.

Achaneni na kesi shauri yenu.
 
Pale Chuo Kikuu cha Dar es salaam ukienda jina la msomi huyu nguli kabisa wa sheria, anayejua Kiswahili, Kijerumani, Kiingereza na Historia ndio imelala kabisa kichwani, yaani Precedents kwake hata umuamshe asubuhi Kabudi anajua...
Usisahau huyu Lissu alimuita huyo mwalimu wake professorial rubbish huku mwenyewe akikimbia ukimbizini kukimbia kesi alizokua ameshitakiwa.

Professor Aidan Mwaluko wala huwezi kumlinganisha na Lissu. Lissu ni kishuguu mbele ya mlima Kilimanjaro. Majigambo ya lissu na kujiamini bure ndio kuna wanafikiri ana weledi sana kwenye sheria.
 
Usisahau huyu Lissu alimuita huyo mwalimu wake proffesorial rubbish huku mwenyewe akikimbia ukimbizini kukimbia kesi alizokua ameshitakiwa. Proffesor Aidan Mwaluko wala huwezi kumlinganisha na Lissu. Lissu ni kishuguu mbele ya mlima Kilimanjaro. Majigambo ya lissu na kujiamini bure ndio kuna wanafikiri ana weledi sana kwenye sheria.
Mbona una chuki sana kakukosea nini Lissu? Hivi hata ungekuwa wewe ndie Lissu upigwe risasi namna ile ungebaki Tanzania?
 
Lissu alikuwa analisimamisha bunge kwa kutoa elimu ya sheria hadi magwiji wa sheria kina Andrew Chenge kipindi hicho akiwa AG alikuwa anatulia kusikiliza madini ya Lissu.

Kufundishwa chuo na lecturer haina maana eti huwezi kuwa bora kuliko yeye, lahasha!

Kwenye sheria kwasasa hakuna anayeweza kupambana na Lissu ndiyo maana 2017 walishindwa kujibizana kwa hoja na Lissu wakaamua kumshambulia kwa makumi ya risasi.
 
Pale Chuo Kikuu cha Dar es salaam ukienda jina la msomi huyu nguli kabisa wa sheria, anayejua Kiswahili, Kijerumani, Kiingereza na Historia ndio imelala kabisa kichwani, yaani Precedents kwake hata umuamshe asubuhi Kabudi anajua.

Prof Kabudi Waziri wa Sheria na Katiba amesikia kwenye mitandao ya kijamii kuwa Tundu anataka kuwafikisha mahakamani akina CP Awadh Haji na naibu msajili wa vyama vya siasa eti kwa Battery and Assault.

Lissu anadai kuna infringements of his legal rights kwahiyo anakwenda kufungua Tort pale mahakamani ili alipwe specific and general damages.

Lissu anadaiwa atakuwa na jopo la wanasheria 100 kudai haki yake ya kupigwa bila sababu zozote zile.

Lakini amesahau kuwa yeye na wenzake wote na majaji pia wamepita mikononi mwa Prof Kabudi, huwezi kuwa mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam kama mtihani wako haujasahihishwa na Prof.Kabudi.

Huko mahakamani hata mjae mawakili 1000 mkiongozwa na Mwabukusi tutamuomba Profesa Kabudi licha ya kuwa kwa sasa ni Waziri lakini nna uhakika defences za kutosha anazo katika suala hilo.

Nna uhakika Lissu akimuona Prof Kabudi tu pale viwanja vya mahakama ataomba poo mwenyewe maana bingwa huyo wa sheria Prof Kabudi hana papara, hana wasiwasi, anacheka tu akishirikiana na mwanasimba mwenzangu Hamza Johari.

Achaneni na kesi shauri yenu.
Hili andiko lako linakosa maana bila ya kuweka orodha ya kesi ambazo Mh. Kabudi alishinda mahakamani, ili tuone huo uwezo wake. Wakili huwa anapimwa kwa matokeo ya kazi.

Hata Gurdiola hakuwa mchezaji nyota licha ya sasa kuwa kocha bora. Ni majuzi tu mwenyewe kakiri hakuwa bora kiuchezaji, na kwenye soka la sasa asingetoboa.

Ova
 
Pale Chuo Kikuu cha Dar es salaam ukienda jina la msomi huyu nguli kabisa wa sheria, anayejua Kiswahili, Kijerumani, Kiingereza na Historia ndio imelala kabisa kichwani, yaani Precedents kwake hata umuamshe asubuhi Kabudi anajua.

Prof Kabudi Waziri wa Sheria na Katiba amesikia kwenye mitandao ya kijamii kuwa Tundu anataka kuwafikisha mahakamani akina CP Awadh Haji na naibu msajili wa vyama vya siasa eti kwa Battery and Assault.

Lissu anadai kuna infringements of his legal rights kwahiyo anakwenda kufungua Tort pale mahakamani ili alipwe specific and general damages.

Lissu anadaiwa atakuwa na jopo la wanasheria 100 kudai haki yake ya kupigwa bila sababu zozote zile.

Lakini amesahau kuwa yeye na wenzake wote na majaji pia wamepita mikononi mwa Prof Kabudi, huwezi kuwa mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam kama mtihani wako haujasahihishwa na Prof.Kabudi.

Huko mahakamani hata mjae mawakili 1000 mkiongozwa na Mwabukusi tutamuomba Profesa Kabudi licha ya kuwa kwa sasa ni Waziri lakini nna uhakika defences za kutosha anazo katika suala hilo.

Nna uhakika Lissu akimuona Prof Kabudi tu pale viwanja vya mahakama ataomba poo mwenyewe maana bingwa huyo wa sheria Prof Kabudi hana papara, hana wasiwasi, anacheka tu akishirikiana na mwanasimba mwenzangu Hamza Johari.

Achaneni na kesi shauri yenu.
sifa za kabudi ndio zile huku mtaani kwetu tunaita sifa za kijinga. hazina impact yoyote kwa nchi hii.
 
Wakili huwa anapimwa kwa matokeo ya kazi.

Profesa yeye kajikita zaidi katika stori

Toka maktaba: bofya linki hii:
Source :
Story za Prof. Palamagamba Kabudi
Prof. Palamagamba Kabudi anafananisha nafasi ya Tanzania ni kama 'nyonga' ya Afrika ktk masuala ya kimataifa.

'' Hotuba hii ya Prof. Palamagamba Kabudi inafumbua macho ya wengi. Inatoa mwanga (walau kwa ufupi), kama Taifa
1. Wapi tumetoka,
2. Tumetoka vipi,
3. Wapi tumefika na changamoto zake
4. Wapi tunaenda.
Tusipoyajua Haya hatuwezi kujitambua na hatuwezi kuendelea. Ningependa kuona inachapishwa hata gazetini (kama ilivyo) ili wasio na namna ya kuiona, basi wakaisome".

Prof. Kabudi aelezea umuhimu wa hadithi kwa watoto jioni moto ukiwa umewashwa wakimsikiliza babu / bibi :
Prof. Dr. John Kabudi, Ph.D. talks on the role of strategic communication, folktales, folk - media. A former journalist himself and board m...

Na stori zingine kibao alipokuwa amepewa vyeo vya kisiasa bofya linki hapo juu : Story za Prof. Palamagamba Kabudi
 
Huko mahakamani hata mjae mawakili 1000 mkiongozwa na Mwabukusi tutamuomba Profesa Kabudi licha ya kuwa kwa sasa ni Waziri lakini nna uhakika defences za kutosha anazo katika suala hilo.
Hivi kinachozingatiwa na mahakama ni ukweli wa shitaka au usomi wa mtetezi wa mhalifu?

Kama huyo Kabudi ni msomi kweli na ana angalau chembe kidogo tu ya uadilifu hawezi kukubali kwenda kujidhalilisha mahakamani kutetea huo uovu wa Awadh Haji
 
Pale Chuo Kikuu cha Dar es salaam ukienda jina la msomi huyu nguli kabisa wa sheria, anayejua Kiswahili, Kijerumani, Kiingereza na Historia ndio imelala kabisa kichwani, yaani Precedents kwake hata umuamshe asubuhi Kabudi anajua.

Prof Kabudi Waziri wa Sheria na Katiba amesikia kwenye mitandao ya kijamii kuwa Tundu anataka kuwafikisha mahakamani akina CP Awadh Haji na naibu msajili wa vyama vya siasa eti kwa Battery and Assault.

Lissu anadai kuna infringements of his legal rights kwahiyo anakwenda kufungua Tort pale mahakamani ili alipwe specific and general damages.

Lissu anadaiwa atakuwa na jopo la wanasheria 100 kudai haki yake ya kupigwa bila sababu zozote zile.

Lakini amesahau kuwa yeye na wenzake wote na majaji pia wamepita mikononi mwa Prof Kabudi, huwezi kuwa mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam kama mtihani wako haujasahihishwa na Prof.Kabudi.

Huko mahakamani hata mjae mawakili 1000 mkiongozwa na Mwabukusi tutamuomba Profesa Kabudi licha ya kuwa kwa sasa ni Waziri lakini nna uhakika defences za kutosha anazo katika suala hilo.

Nna uhakika Lissu akimuona Prof Kabudi tu pale viwanja vya mahakama ataomba poo mwenyewe maana bingwa huyo wa sheria Prof Kabudi hana papara, hana wasiwasi, anacheka tu akishirikiana na mwanasimba mwenzangu Hamza Johari.

Achaneni na kesi shauri yenu.
Hizi shule za kata zimezalisha machizi wengi sana
 
Back
Top Bottom