Mario Kejob
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 441
- 536
Kama tuliona wachezaji wazawa hawafai kwa namna fulani, now it's a high time to bring in professional referees kwani hawa wazawa wamekuwa ni kizungumkuti.
Mechi ya derby ya Simba na Yanga ijayo, tafadhalini sana tuleteeni marefa wa kimataifa maana hawa marefa wetu wa Gambosh hawajui kuzitafsiri sheria 17 za FIFA. Gharama ya kuwaleta italipwa kwa kuweka ongezeko la shilingi 500 kwa kila tiketi. Ikumbukwe kwamba ligi yetu inafuatiliwa na ukanda mzima wa Afrika Mashariki na kati hivyo ni aibu kuyaonyesha madudu yetu huko.
Mechi ya derby ya Simba na Yanga ijayo, tafadhalini sana tuleteeni marefa wa kimataifa maana hawa marefa wetu wa Gambosh hawajui kuzitafsiri sheria 17 za FIFA. Gharama ya kuwaleta italipwa kwa kuweka ongezeko la shilingi 500 kwa kila tiketi. Ikumbukwe kwamba ligi yetu inafuatiliwa na ukanda mzima wa Afrika Mashariki na kati hivyo ni aibu kuyaonyesha madudu yetu huko.