bwegebwege
JF-Expert Member
- Jul 30, 2010
- 1,072
- 186
Wana JF;
Jamaa yangu anasaka Kampuni au mtu binafsi mwenye uwezo wa kufanya kazi za Videographer (kurekodi motion picture) na Kupiga picha za mnato (Photographer) kwenye shughuli ya Harusi. Kazi itafanyika nje ya mkoa wa Dar es Salaam.
Mwenye kampuni au contacts naomba ani-PM ili kupata taarifa zaidi na mawasiliano ya kazi.
Vigezo, Uwezo na Uzoefu vitazingatiwa.
Sante
Jamaa yangu anasaka Kampuni au mtu binafsi mwenye uwezo wa kufanya kazi za Videographer (kurekodi motion picture) na Kupiga picha za mnato (Photographer) kwenye shughuli ya Harusi. Kazi itafanyika nje ya mkoa wa Dar es Salaam.
Mwenye kampuni au contacts naomba ani-PM ili kupata taarifa zaidi na mawasiliano ya kazi.
Vigezo, Uwezo na Uzoefu vitazingatiwa.
Sante