Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bhahahahahahahaaa......Assad: aah mi nilikua tu kwenye shughuli zangu binafsi za kiimani..SIKUTEKWA JAMANI!
Mashabiki wa siasa: HAMNA ULITEKWA MZEE...we kubali tu si tusionekane tulikosea bana.ULITEKWA!
BhahahahahaaaBadala ya kuomba radhi, anaendelea kudanganya eti kelele zetu ndio zimewafanya waliomteka wamuachie huru.
Huyo ndio mtu anayepambana kutuongoza. Atatupeleka wapi sasa kama ni mfitini na muongo kiasi hicho?
Waliomteka wamekubali kua walimteka ila aliyetekwa anakataa kua hajatekwa...panua akili.Uzuri waandishi wa habari kwa sasa wamekuwa na akili, wanapuuziaga taarifa anazotoa zitto, vinginevyo saa hizi wangekuwa na hali mbaya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waliomteka wamekubali kua walimteka ila aliyetekwa anakataa kua hajatekwa...panua akili.