Professor J na Frank Majani wana beef zito

Professor J na Frank Majani wana beef zito

Mimi nilishafika mpaka studio yake Masaki na washkaji, nikakaa naye sana, nikaona swag lake stratospheric kama yupo Compton or something.
Yahp ana ego fulani hivi inamsumbua sana.. akijicheki alipo prof j na alipo yeye nadhani inamtatiza ukizingatia yeye ndo kaplay part kubwa kwenye ngoma nyingi za jay..(nadhani ni msanii aliyefanya kazi nyingi na p funk).. wivu fulani hivi..
 
Nimesoma between the lines naona kama P-Funk ana point. Kuna unnecessary details kazitoa Prof Jay kwenye hilo bandiko lake na uwasilishaji wake wa point umekaa kimuhemko.

Ila mimi nauliza, ni nani mmiliki wa beats ? Je ni Producer au Msanii? Je kama msanii alilipa gharama za studio si ina maana ana ownership flani kwenye hiyo beat?
Mkuu nadhani inadepend hilo biti lilitengenezwa kabla ya msanii kutoa melody ya nyimbo au ndo ile msanii kalikuta biti studio(hapa bila shaka ni mali ya producer).. ila mara nyingi ni mali ya producer...
 
Sasa kama pesa kalipwa Majani na Prof J kuomba COSOTA waweke rekodi sawa kuna kosa gani amefanya Prof J?

Mbona Majani kakurupuka sana! Inaonesha pengine kuna beef ya iliyokuwa chini chini au Prof J alikuwa anastahili walau chochote na pengine Majani alikausha kidizaini maana naona ni kama Majani anajishtukia!
 
Nimesoma between the lines naona kama P-Funk ana point. Kuna unnecessary details kazitoa Prof Jay kwenye hilo bandiko lake na uwasilishaji wake wa point umekaa kimuhemko.

Ila mimi nauliza, ni nani mmiliki wa beats ? Je ni Producer au Msanii? Je kama msanii alilipa gharama za studio si ina maana ana ownership flani kwenye hiyo beat?
Sure, ukisoma bandiko la Jay kuna info flani inawasilisha kijanja, hiyo ni zaidi ya kuweka kumbukumbu sawa. Ni Kama vile anawaambia Cosota namna hawajazingatia gawio lake, kwa upande wa Majani nae kazingua, katumia nguvu nyingi Sana so anafanya kile ambacho Jay alikitaka
 
Sure, ukisoma bandiko la Jay kuna info flani inawasilisha kijanja, hiyo ni zaidi ya kuweka kumbukumbu sawa. Ni Kama vile anawaambia Cosota namna hawajazingatia gawio lake, kwa upande wa Majani nae kazingua, katumia nguvu nyingi Sana so anafanya kile ambacho Jay alikitaka
Ok tufanye wewe ndo Prof alafu unaambiwa umevuta 100 sasa unataka kukanusha ungesemaje ili usilete mvutano.
 
Acha Nikasikilize Hichi Kibao Cha Tundamani.

Tundamani - Pesa mp3[emoji445][emoji445][emoji445]
 
Nimesoma between the lines naona kama P-Funk ana point. Kuna unnecessary details kazitoa Prof Jay kwenye hilo bandiko lake na uwasilishaji wake wa point umekaa kimuhemko.

Ila mimi nauliza, ni nani mmiliki wa beats ? Je ni Producer au Msanii? Je kama msanii alilipa gharama za studio si ina maana ana ownership flani kwenye hiyo beat?

Prof anasema ni yeye ndo alimwambia p funk na anajua mzigo ni p sababu j alikuwa kwenye lebo ya p

Sasa j anasema ye kiongozi na bungeni wameongea kuhusu j kupata hela ambayo inabidi atangaze mana ingemleta shida kiutawala na j ajazungumzia p funk ye amezungumzia cosota so alitaka aseme ukwel mana ccm ana njia ya kumtoa mtu bungeni so ye ametaka waseme ukwel p funk ndo amechukua hela sema p funk alikua sober yake ya bangi akafumuka ila naona amedelete comment yake na amepigiwa na clouds amesema ayupo tayari kuongelea hilo nadhani ametambua nn kosa lake ilibidi watafutane kwanza pembeni nadhani stress za maisha pia zinamzingua now days
 
Back
Top Bottom