X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
..Prof.Shaba alihamia Marekani baada ya kustaafu miaka ya mwisho ya 90.
..Sokoine alifariki mwaka 1984. Kwa hiyo miaka mingi ilipita tangu Sokoine afariki na Prof.Shaba alipohama kwenda Marekani.
..Na Prof.Shaba alihamia Marekani kwasababu watoto wake wanaishi na kufanya kazi huko.
Hata mimi ushawahi nifanyia interview sehemu fulani ngoja nijiaminishe one day yes!!No I don't real know but kwasababu nimekaa newsroom for more than 30 years, watu wengi ninawajua kupitia habari ikiwemo kufanya interview za one on one na marais wote 6!. Nyerere ni baada ya kustaafu, na Mama akiwa Waziri.
P
Akila matunda✖️Profesa Shaba alikuwa ni mtu mwenye heshima kubwa sana hapa nchini na alisomesha watoto wake, akawa akila matunda mpaka siku anaaga dunia.
To the sewers, where you belong!EEeeenHeeeeee!
You just guessed this today. You must be kidding!
After the countless number of times we have entangled in these forums, it's only today that you realize you're actually shit itself and, not simply smelling like one?
You simply cannot be serious.
Look, that word 'reminiscent' is incorrectly used in your sentence. Why don't you use simple words such as 'like'. instead of showing off while you have very little grasp of the language!
Duh...!, Mkuu Buyeo kumbe tumo humu na mabosi wetu!, it's nice to hear this.Hata mimi ushawahi nifanyia interview sehemu fulani ngoja nijiaminishe one day yes!!
Yalopita si ndwele tugange yajayo.asante kwa ufafanuzi...! ila kwa nijuavyo mimi product za Nyerere zilikuwa zinapindisha sana mambo...
nilisoma sehemu kuwa Benzi wenyewe walitaka kuja kufanya uchunguzi wa ile ajari lakini Nyerere aliwagomea. hii inanifanya niamini kuwa pengine professor hakutoa ripoti ya ukweli...!
asante kwa ufafanuzi...! ila kwa nijuavyo mimi product za Nyerere zilikuwa zinapindisha sana mambo...
nilisoma sehemu kuwa Benzi wenyewe walitaka kuja kufanya uchunguzi wa ile ajari lakini Nyerere aliwagomea. hii inanifanya niamini kuwa pengine professor hakutoa ripoti ya ukweli...!
Kaka mi nikijitu kidogo sana ulikuja shuleni ilboru miaka ya hivi majuziDuh...!, Mkuu Buyeo kumbe tumo humu na mabosi wetu!, it's nice to hear this.
P
Wewe ni bwege na ni mpumbavu wa kiwango cha tope la Hanang. Unaongea ujinga ujinga tu hapa.EeeenHeeeee!
Unajua maana ya 'research' wewe?
Nilisema sitaki kupoteza muda na kenge wa aina yako. Inatosha.
Kucheza na maiti kunaitaji moyo....Alikuwa "mnywaji" mzuri! RIP Prof.
Kumbe wew ni bwege kuliko hata nilivyo dhani mwanzo?Wewe ni bwege na ni mpumbavu wa kiwango cha tope la Hanang. Unaongea ujinga ujinga tu hapa.
Waziri mkuu wa kwanza wa Tanganyika ni Nyerere
Waziri mkuu wa kwanza wa Tanzania ni Mkwawa
Ndo ilivyo na ndomana serikali ilivotaka kumwondoa kwenye nyumba akawambia mjichanganye nitasema kilakitu kuhusu kifo cha sokoine , gvt ikafyataasante kwa ufafanuzi...! ila kwa nijuavyo mimi product za Nyerere zilikuwa zinapindisha sana mambo...
nilisoma sehemu kuwa Benzi wenyewe walitaka kuja kufanya uchunguzi wa ile ajari lakini Nyerere aliwagomea. hii inanifanya niamini kuwa pengine professor hakutoa ripoti ya ukweli...!
Kwenye matunda hujaelewa hajamanisha maembe mkuu chakata akili hapoAkila matunda[emoji3582]
Akila pombe[emoji3581]
Wewe ni matako. Utakuja kubanduliwa usipokuwa makiniKumbe wew ni bwege kuliko hata nilivyo dhani mwanzo?
Hata hivyo, nakuacha na ubwege wako mwenyewe. Usiendelee kunipotezea muda wangu.
Watanzania ni wazuri sana wa jambo hili..Watz tuna tabia ya kuchukua ukweli na kukimbilia uongo na uzushi.
Nyerere alifahamu kuhusu Leukemia miaka 5 kabla ya kifo chake...Kunapotokea misiba Watz wengi huachana na uhalisia wa jinsi kifo kilivyotokea na kukimbilia kuhusisha kifo na mambo ya uchawi au foul play.
..Vifo vya Nyerere, Sokoine, Magufuli, vyote tunaambiwa ni mkono wa mtu. Ndio utamaduni wetu Watz