misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 14,244
- 10,073
Naona baadhi mnatoa lawama kwa Shonza ila kumbukeni Shonza yupo pale kwa kuongozwa na sheria,kanuni na taratibu za nchi.
Kwaiyo awezi kutoka nje ya mstari kwa vitu nilivyovitaja,tuseme sheria na kanuni zimepitwa na wakati na pia nakubaliana Profesa Jay kunatakiwa kuchanganya damu changa na za zamani pale BASATA.
Kwaiyo awezi kutoka nje ya mstari kwa vitu nilivyovitaja,tuseme sheria na kanuni zimepitwa na wakati na pia nakubaliana Profesa Jay kunatakiwa kuchanganya damu changa na za zamani pale BASATA.