Pre GE2025 Professor Jay: Watanzania kumshambulia AY kwa kuonekana kwenye majukwaa ya CCM sio sawa. Wasanii wengi pia wapo CHADEMA

Pre GE2025 Professor Jay: Watanzania kumshambulia AY kwa kuonekana kwenye majukwaa ya CCM sio sawa. Wasanii wengi pia wapo CHADEMA

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbona "Madee Ally "-Seneda, yupo CCM ila yeye hawamsimangi
Huyu ni chawa kitambo kingi. Sisi tunamzungumzia huyo dayaspora mstaafu aliyekaa ughaibuni tena America akaoa Engineer mnyarwanda then anarudi bongo baada ya miaka kibao kuja kubeba mabendera na Madee. Ukiwaona huko mikoani ni fedheha tupu. Wanajiita vijana wa Samia. Na project kamuungia swahiba wake FA
 
Mimi ccm damu
Nimemuelewa mzee wa mitulinga anajiwekea ulinzi asije akasemwa kama ay
Karibu profesa
 
Back
Top Bottom