Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Profesa wa Sayansi ya Siasa na Utawala aliyebobea Kikamilifu kwenye Masuala ya Mahusiano ya Kimataifa.
Msomi huyu alilitumika Taifa lake kwa nguvu zake zote na kwa Uzalendo mkubwa akiwa Chuo Kikuu cha Dar es salaam kabla ya kustaafu.
Alishirikiana na Watu wa Hali zote
Alikubalika na Watu wa Hali zote
Bwana ametoa
Bwana ametwaa
Jina lake lihimidiwe
====
Aliyekuwa mhadhiri (Senior Lecturer)Idara ya Sayansi ya Siasa na Utawala wa Umma,(UDSM) Prof. Mohabe Nyirabu amefariki dunia,Prof. Nyirabu anakumbukwa katika taaluma yake ya International Relations, uchambuz wa siasa za ndani na nje.
Mungu amlaze mahali pema
Msomi huyu alilitumika Taifa lake kwa nguvu zake zote na kwa Uzalendo mkubwa akiwa Chuo Kikuu cha Dar es salaam kabla ya kustaafu.
Alishirikiana na Watu wa Hali zote
Alikubalika na Watu wa Hali zote
Bwana ametoa
Bwana ametwaa
Jina lake lihimidiwe
====
Aliyekuwa mhadhiri (Senior Lecturer)Idara ya Sayansi ya Siasa na Utawala wa Umma,(UDSM) Prof. Mohabe Nyirabu amefariki dunia,Prof. Nyirabu anakumbukwa katika taaluma yake ya International Relations, uchambuz wa siasa za ndani na nje.
Mungu amlaze mahali pema