Professor Nabi aliyewafunga midomo wachambuzi uchwara!!

super star wa yanga ni mayele na aziz ki, hakuna timu duniani inayokuwa haina key players,lazima timu iwe nawachezaji inaowategemea....pale yanga ukimtoa mayele diarra job na bangala hakuna timu tena pale
Eti hakuna timu pale!!,,unaongea kama kichwa umekiacha ukweni kwako vile,Yanga hakuna superstar kuzidi mwingine pale unatoka moto unaingia moto mwingine..Timy yenu kumfanyia sub chama ni mpaka awe anatoka damu puani bila hivyo kocha akithubutu tu anakuta kashaandaliwa tiketi ya ndege...

Kama uliangalia mechi ya yanga na AS REAL BAMAKO utaona kabisa kipindi cha kwanza Aziz ki gemu ilimkataa kocha ikabidi ambadilishe aingie Aucho na akabadilisha mwenendo wa timu..Yanga hii ina uwezo wa kumuamini Clement Mzize hata katika mechi ngumu ya kusaka point muhimu nyie wapuuzi siku ile mnalazimisha chama acheze hata kama anaumwa halafu unakuja hapa kusema hamna timu pale shenziii
 
Tusimsahau Kaze na ana mchango mkubwa
 
NABI SIO PROFESSOR.

NAOMBA TAALUMA ZA WATU ZIHESHIMIWE.

KAMA HUTOJALI UNAWEZA KUBADILISHA HEADING NDIPO WAUNGWANA TUSOME BANDIKO LAKO.

#usipotoshe.

MTAIFAHAMU KWELI NAYO KWELI ITAWAWEKA HURU.
yohana 8:32
Kulikuwa na profesa Maji marefu mganga na aliekuwa mbunge nae vipi tumlalamikie alitumia vibaya uprofesa?
 
Kwahiyo simba inafanana na al ahly kwa akili yako?
Unaelewa maana ya kufanana kwanza?Wapo katika kombe moja la mabingwa na wanacheza robo fainali.Katika kumi bora Afrika wapo wote.Simba hayupo kundi moja na walio nafasi ya "78+"!Wengi wanaoanzia natasi ya 25 wapo losers cup!
 
Diarra - Metacha
Job - Bacca
Bangala - Mudathir

Sema kingine kolo
Kwa metacha hapo Hamna kitu.
Ukwel usemwe tu Kila timu Ina key players .
Hapo yanga ni mayele na bangala.
Siku wasipocheza hao lazima uone pengo la waz.
Kuna gemu ya shiriisho hao watu walikua nje na mchezo ulikua unaelekea kuwa mgumu ,ikambid kocha aingize mayele ,bangala na wengine hapo mvua ya mgoli ikatokea.

Sema kwavile ushabiki unatuendesha sna basi hatuna budi kukubaliana na akili yenu inavyotaka.
Sisi ni Nan had tuwapinge ,japo ukwel ndio huo.
 
Sasa mpaka litapopatikana wewe utaendelea kuwa loser
At the time being wewe unanizidi Mimi labda ni hayo makombe Yako ya robo na nusu tu
Tumia neno loser vizuri.Ngoja nikukumbushe:Timu zile chovu baada ya kung'olewa Kombe la Mabingwa/klabu Afrika huwa wanatupwa Kombe la Shirikisho(wanashirikiana kulia,kusononeka na kuliwazana pamoja).Nadhani unanielewa.Tumia neno loser mahali na kwa timu stahiki.
 
Mlisemaga akitoka feitoto timu haipati matokeo.
 
Asante Kwa masahihisho
Ila una kombe lolote huko CL!?
Acha kuruka ruka ,aliyesema shirikisho ni kombe la looser ni albino wenu na mkamuunga mkono kisa tu yanga haikuwa kwenye mashindano hayo.
Mngekua na akili kipindi anatamka haya mngemkemea kuwa hilo sio kombe la looser bali ni kombe halal na Lina heshima yake.
Akili za uto mnajijua wenyew ,Leo mtapinga hili kesho mtahangaika kulitetea Kwa nguvu zote.
 
Kuna sehemu nimeitaja timu ili ujilinganishe nayo?Nadhani umeelewa maana ya loser kama litumikavyo katika makombe hayo mawili.Ukiendelea mbele ntakueleza hadi "underdog" ni nani hadi sasa.Say amen!
Umedai shirikisho ni mashindano ya waliong'olewa ligi ya mabingwa ndio nikakuuliza pyramid aling'olewa nae? Umeanza kushabikia mpira mwaka gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…