Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Majibu yanakuwa matatu tu, ndio,hapana na sijuiKuna majibu ukipewa unatakiwa uwe unajiongeza.Ukitaka unipe maswali ya kuniongoza nijibu utakacho bila kuacha neno utakwama.Najibu kadiri ya majibu yalivyo.
Kama kichwa chako haujakitikisa kika-evaporate kumbukumbu,tulikuwa tunajadili losers hupatikanaje!Hayo ya Pyramid tutafute wasaa.Umedai shirikisho ni mashindano ya waliong'olewa ligi ya mabingwa ndio nikakuuliza pyramid aling'olewa nae? Umeanza kushabikia mpira mwaka gani?
Kumbe kijijini kwenu mmekaririshwa vibaya.Jitahidi uelewe bila kudanganywa,kwamba wakoloni waliiba mali Afrika au walichukua kama zawadi.Majibu yanakuwa matatu tu, ndio,hapana na sijui
Umbumbumbu mzigo ambao unao kwenye ubongo wako
Nilifundishwa madrasa... vipi unaijua madrasa?Kumbe kijijini kwenu mmekaririshwa vibaya.Jitahidi uelewe bila kudanganywa,kwamba wakoloni waliiba mali Afrika au walichukua kama zawadi.
Unaona ulivyo mtupu kichwani wewe umezungumzia kombe la shirikisho kama washiriki wake ni maloser walitolewa ligi ya mabingwa ndio nikakuuliza pyramid na monastr na future ambao ni washiriki wa kombe la shirikisho walitolewa na nani mpaka wakaangukia huku?Kama kichwa chako haujakitikisa kika-evaporate kumbukumbu,tulikuwa tunajadili losers hupatikanaje!Hayo ya Pyramid tutafute wasaa.
Niliwahi hadithiwa tu.Nasikia mnatandikwa hadi bakora za shingoni.Ntafuatilia hilo.Umeona nilivyoanza kujibu?Sijaanza na ndiyo,hapana,sijui au yote sawa lakini unaelewa.Nilifundishwa madrasa... vipi unaijua madrasa?
Sasa kwa akili yako bakora inapigwaje shingoni ndio maana nakuambia wewe ni mtupu kichwani kitimoto inakuharibu akiliNiliwahi hadithiwa tu.Nasikia mnatandikwa hadi bakora za shingoni.Ntafuatilia hilo.Umeona nilivyoanza kujibu?Sijaanza na ndiyo,hapana,sijui au yote sawa lakini unaelewa.
Angalia sasa!Kuna wanaopangwa kutokana na nafasi walizoshika kwenye ligi zao nyumbani.Na kuna wenzangu na mimi walioshindwa gwaride kwenye ligi ya mabingwa na kutupiliwa shirikisho kule.Hao wa pili ndiyo "ma-losers" sasa.Sasa umeelewa?Naamini timu yako haipo huko.Unaona ulivyo mtupu kichwani wewe umezungumzia kombe la shirikisho kama washiriki wake ni maloser walitolewa ligi ya mabingwa ndio nikakuuliza pyramid na monastr na future ambao ni washiriki wa kombe la shirikisho walitolewa na nani mpaka wakaangukia huku?
kwahiyo kila anaetolewa kwenye mashindano ya klabu bingwa huwa anashiriki hayo mashindano ya shirikisho?Angalia sasa!Kuna wanaopangwa kutokana na nafasi walizoshika kwenye ligi zao nyumbani.Na kuna wenzangu na mimi walioshindwa gwaride kwenye ligi ya mabingwa na kutupiliwa shirikisho kule.Hao wa pili ndiyo "ma-losers" sasa.Sasa umeelewa?Naamini timu yako haipo huko.
Mkuu nilipoona unajiita "CAPO DELGADO" angalau unauelewa japo kidogo na hiyo lugha, nikwambie tu kwa mujibu wa lugha ya Kireno au Spanish PROFESSOR maana yake ni Mwalimu na hakuna zaidi ya hapo ila hizi nchi zetu ndiyo zimeweka ugumu juu ya huo msamiati ila kiuhalisi hata mwalimu wa Msingi unaweza kumuita hivyo.NABI SIO PROFESSOR.
NAOMBA TAALUMA ZA WATU ZIHESHIMIWE.
KAMA HUTOJALI UNAWEZA KUBADILISHA HEADING NDIPO WAUNGWANA TUSOME BANDIKO LAKO.
#usipotoshe.
MTAIFAHAMU KWELI NAYO KWELI ITAWAWEKA HURU.
yohana 8:32
Usipanic!Shuleni)madrasa haukufundishwa misemo,nahau,mitindo,methali na vitu kama hivyo?Kwa mfano mtu akisema "kaenda mwayo",wewe unadhani kuna sehemu inaitwa mwayo ndiyo kaenda?Au akisema "amepiga funda" ndiyo unadhani kuna mtu anaitwa funda kapigwa na kuumizwa?Lugha,lugha ndugu!Sasa kwa akili yako bakora inapigwaje shingoni ndio maana nakuambia wewe ni mtupu kichwani kitimoto inakuharibu akili
Unajua kinachofundishwa madrasa?Usipanic!Shuleni)madrasa haukufundishwa misemo,nahau,mitindo,methali na vitu kama hivyo?Kwa mfano mtu akisema "kaenda mwayo",wewe unadhani kuna sehemu inaitwa mwayo ndiyo kaenda?Au akisema "amepiga funda" ndiyo unadhani kuna mtu anaitwa funda kapigwa na kuumizwa?Lugha,lugha ndugu!
Inategemea na huyo loser alifikia/alikuta ligi ya losers ilifikia wapi.Kuna ukomo wa kutupwa huko.Unaweza ukarudi tu nyumbani kuchunga mbuzi.kwahiyo kila anaetolewa kwenye mashindano ya klabu bingwa huwa anashiriki hayo mashindano ya shirikisho?
Kwahiyo kumbe kunakuwa na vigezo vyake...kwahiyo kumbe sio kila mtu anasifa za kushirikiInategemea na huyo loser alifikia/alikuta ligi ya losers ilifikia wapi.Kuna ukomo wa kutupwa huko.Unaweza ukarudi tu nyumbani kuchunga mbuzi.
Umekuwa msahaulifu sana.Nilikujibu awali hilo swali.Sijui huwa mnasomea kozi gani.Unajua kinachofundishwa madrasa?
Sahihi.Sifa zipo.Timu legelege itolewayo mabingwa(walioonekana unfit kuendelea)mwanzomwanzo hutupiliwa mbali kule losers cup.Ila wale watakaoonesha ukakamavu hadi kiwango fulani,hupewa kifuta jasho na kuendelea na mambo mengine.Ndiyo sifa ya loser.Kwahiyo kumbe kunakuwa na vigezo vyake...kwahiyo kumbe sio kila mtu anasifa za kushiriki