Professor Nabi aliyewafunga midomo wachambuzi uchwara!!

Umekuwa msahaulifu sana.Nilikujibu awali hilo swali.Sijui huwa mbasomea kozi gani.
Ndio maana nikakuambia ukiyapinga makatazo ya Allah tunasema hauna akili hapo juu umeandika "madrasa haukufundishwa? " sasa je wewe una uhakika gani ?
 
Sahihi.Sifa zipo.Timu legelege itolewayo mabingwa(walioonekana unfit kuendelea)mwanzomwanzo hutupiliwa mbali kule losers cup.Ila wale watakaoonesha ukakamavu hadi kiwango fulani,hupewa kifuta jasho na kuendelea na mambo mengine.Ndiyo sifa ya loser.
Loser kama pyramid
 
Ndio maana nikakuambia ukiyapinga makatazo ya Allah tunasema hauna akili hapo juu umeandika "madrasa haukufundishwa? " sasa je wewe una uhakika gani ?
Mambo ya madrasa uliyaleta wewe.Sasa,jikite kuhusu losers cup.Tuachane na madrasa.Mimi sikupata utaalamu huo.
 
Ukitaka kujua Nabi mtu badi mpaka sasa kwenye makundi timu imetumia mifumo mitatu, kule Tunisia,plus Mazembe na Bamako ilitumika mifumo miwili tofauti.

Ila jana ndio kaonyesha yy ni wa kipeekee ,Sure boy kacheza dimba la chini Bangala na Aucho wakacheza juu.
 
Loser kama pyramid
Suala la Pyramids nadhani tulijifunza wote jinsi walivyoingia kwenye ushindani wa kombe katika somo la kwanza.Tulipenda zaidi kujua hawa "losers" hupatikanaje na hushiriki kombe gani kwa u-losers wao/unfitnesses wao!
 
Umeua ndugu
 
NABI SIO PROFESSOR.

NAOMBA TAALUMA ZA WATU ZIHESHIMIWE.

KAMA HUTOJALI UNAWEZA KUBADILISHA HEADING NDIPO WAUNGWANA TUSOME BANDIKO LAKO.

#usipotoshe.

MTAIFAHAMU KWELI NAYO KWELI ITAWAWEKA HURU.
yohana 8:32
Usiniambie mpaka leo hufahamu kama kuna vyeo watu wanapewa kutokana na tu mambo makubwa wanayofanya kwenye jamii iliyo wazunguka!

Na kama hutaki Nabi kuitwa Profesa, basi ukatae pia Joseph Haule kuitwa Profesa J, Steven Ngonyani (RIP) kuitwa Profesa Maji Marefu, nk.
 
Kumbe kucheza ligi moja ni kua rivals?
Inategemea unalielewaje neno rivals na unalisoma kutoka wapi.Kinachokutesa ni kidogo sana kwa kadiri CAF walivyoeleza.Wanacheza/shindana kombe moja u-rivals utakosekanaje?Simba wasubiriwe wakirudi kwenye ASFC ndiyo mjipange kuwaita rivals wenu.Kwa kombe la mabingwa?Hell nooo!
 
Kama ni kwa muktadha huo,ni sawa.Siongezi neno.
 
Saa hii na wameongeza na Kanoute Hawa trh 16 April watatafutana sana maana naona kama Nabi ameanza kuwachanganya hata hawajui wamroge nani maana Job yuko nje na Bacca anakichafua
Musonda ndio kama hivyo gari imewaka Shabalala hana amani kabisa
Najua watajivunja kwa Ihefu ili kukwepa kikombe kile Cha Kirumba ila kwenye ligi lazima tukutane ziwe point 11
 
Ila,kwa akili hizi za kusubiri kuifunga Simba huwa mnaonesha kufeli sana.Hamkui?Zile lugha za..."mimi bila kumfunga mtani sioni raha'...,jaribuni kuzipunguza.Think big,boys!Kujeni na "mamikakati kabambee" ya kusonga mbele kimataifa.Msiangalie pua zenu zinapoishia.
 
Unaweza kuwa bingwa bila kumfunga simba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…