Professor Nabi aliyewafunga midomo wachambuzi uchwara!!

Kwanza jifunze kuandika kwa kanuni.Unaandika kama kitoto cha darasa la awali.Utachukua kombe bila kushiriki kucheza kwa hatua hayo mashindano?Acha kujipa jina kubwa wakati wewe ni mkebe tu.
 
Nimekuuliza wewe ni tajiri badala ujibu nilichokuuliza unaanza vipi umeenda madrasa kupigwa viboko
Unapenda kuandikaanika sana.Umepata staftahi wewe loser?Tuonane baadaye kidogo.Nimeitwa nikasimamie kuhesabu bilioni moja na milioni mia tano pale Msimbazi.Ni kazi kubwa sana.Naamini tutachoka sana kuzihesabu.Baadaye kidogo,loser!
 
super star wa yanga ni mayele na aziz ki, hakuna timu duniani inayokuwa haina key players,lazima timu iwe nawachezaji inaowategemea....pale yanga ukimtoa mayele diarra job na bangala hakuna timu tena pale
Kwanini umtoe sasa? Ili iwaje?
 
[emoji117]Robertinho wa Simba SC alijaribu hii kitu siku Moja baada ya mechi kumkataa Chama, weee[emoji38] walimwambia akirudia tena ajue Pasaka itamkuta kwao Brazil[emoji1787][emoji1787]




[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…