Professor Nabi aliyewafunga midomo wachambuzi uchwara!!

Professor Nabi aliyewafunga midomo wachambuzi uchwara!!

Na hao hao unaowaita ni uchwara pamoja na nyie ndio utopwenga msiojua njia za mpira mlisema na kuapia kabisa eti Simba hawatatoboa kundi lao baada ya kupigwa 3 bila na raja kwahoja kuwa ina wavhezaji wazee.

Cha ajabu wazee hao hao ndio wameisaidia timu kutoboa robo fainali tena clabu bingwa sio shirikisho.

Acheni kukariri vyura nyieeeeee
 
Ulichokiandika ni sahihi.Au una swali ndani ya hiyo sentensi?
kila mmoja kabakiza michezo 6 amalize ligi na mechi iliyopo mbele ya yanga kwenye ligi kuu ni dhidi ya simba sasa kwa akili yako unataka alegeze ili mbeleni acheze kwa pressure kali dhidi ya prison na mbeya kwanza?
 
kila mmoja kabakiza michezo 6 amalize ligi na mechi iliyopo mbele ya yanga kwenye ligi kuu ni dhidi ya simba sasa kwa akili yako unataka alegeze ili mbeleni acheze kwa pressure kali dhidi ya prison na mbeya kwanza?
Haitosababisha kushindwa akiamua.Ninalokuasa,usiwekeze akili zote kuifunga Simba halafu za maendeleo mengine umeacha bwawani Jangwani.
 
Yanga hadi raha aisee napenda wachezaji jinsi walivyo na spirit,hii inamfanya kocha kuwa na room ya machaguo mengi kulingana na uhitaji wa timu katika mechi husika..

Yanga akitoka Aziz Ki akiingia Aucho ni moto,Akitoka Mayele aingie Mzize ni moto,atoke Musonda aingie Crispin Ngushi ni moto yaani yeyote atakayefanyiwa sub ujue atakayeingia nae atakuwa moto..Sasa pale kwa majirani kocha ukijifanya mjuaji umtoe Chama tu mechi ikiisha utakuta umeshaandaliwa tiketi ya ndege urudi kwenu[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli tupu.
 
Mwamba huyu hapa!!

Kwa bahati mbaya anafanya Kazi kwenye nchi ambayo watu wanasubiri ukosee ndiyo wakuzodoe ila ukiwa unafanya mazuri wanafumba macho.

Kwanza ametengeneza timu isiyo na Super star, timu haimtegemei mchezaji mmoja haijalishi unalipwa kiasi gani, una jina kubwa, ulinunuliwa kwa bei gani, unatoka taifa gani.

Mwamba hana maneno wala mbwembwe nyingi bali ameamua kuongea kwa vitendo.

Kipindi anaanza kuanda timu, wengi walimkosoa wakisema timu yake inakata moto kipindi cha pili, wengine wakasema hana tactics za kucheza mechi za kimataifa, mara ooh timu nzima inamtegemea Feisal tu na asipofunga timu haifungi.

Pia kuna maneno mengi ya kejeli yalizungumzwa juu yake hasa na wachambuzi wanaojikuta wao ndiyo wataalam wa soka hapa bongo.

Mwamba Nasreddine Nabi hakuwahi kuwajibu bali alifocus kwenye mipango na malengo yake alijua kuwa akiwasikiliza watamtoa kwenye reli.

Kwa sasa yupo kwenye kilele cha mafanikio ndani ya Klabu ya Yanga, kwani amefanikiwa kuitengeneza timu ya ndoto ya kila shabiki wa Yanga.

Ametengeneza timu ambayo kila anayepewa nafasi ya kuanza kwenye mechi anatoa burudani stahiki kwa wananchi.

Amekuwa mwalimu mzuri wa nidhamu ndani ya Klabu ndiyo maana Saido Ntibanzonkiza alishindwa, Morison anapata shida.

Ni kocha mwenye misimamo yenye tija kwa timu yake ndiyo maana kuna wakati anawaweka bench akina Aziz Ki, Mayele, Moloko, Kisinda, Mwamnyeto na wengineo haijalishi mechi ni ngumu kiasi gani yeye anachojali ni anayecheza siku hiyo aendane na mahitaji ya mechi bhas!!

[emoji117]Robertinho wa Simba SC alijaribu hii kitu siku Moja baada ya mechi kumkataa Chama, weee[emoji38] walimwambia akirudia tena ajue Pasaka itamkuta kwao Brazil[emoji1787][emoji1787]

Hata mashabiki wa Yanga kuna kipindi maneno ya Wachambuzi yalianza kama kuwaingia hivi baadhi yao wakaanza kukosa imani na Nabi ila kwasasa amewafunga midomo, wote wanaimba wimbo mmoja tu (Nabi ni Professor)

Amewajenga kisaikolojia wachezaji wake kiasi cha kujiamini hata wakiwa nyuma kwenye mechi, timu ina fighting Spirit hawakati tamaa, hata ikitokea wamepoteza mechi hauona Yanga ikipoteana.

Mashabiki nao sasahivi Wana imani na Nabi wao, hata mechi ikiwa ngumu kwa upande wao utawaona wakiwa wametulia wakimsikilizia yeye kwasababu wanamuamini sana kwenye kufanya Sub na Mabadiliko ya mifumo ili timu ipate ushindi.

Pia nimpe hongera kwa kukuza na kulea hazina ya taifa pale jangwani, walahu tunaweza kusema kuwa amatuletea mrithi wa John Bocco kwenye kikosi cha taifa Stars.

Ni kocha gani angemuamini kinda kama Clement Mzize kwenye kikosi chenye Mayele, Musonda, Moloko, na Ki??

Huyu ndiye PROFESSOR NASREDDINE NABI Mwamba aliyewaziba midomo wambea wa mitandaoni, redioni, TV na vijiweni. Hawataki kumzungumzia tena kwasababu kwasasa hana doa wanajua kuwa wakimzungumzia watatakiwa kusema mazuri yake pekee kitu ambacho wabongo hatujajaliwa,


Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
you nailed it all, wamekaa kimya tu sasa hvi hawana cha kusema!wanatamani kumponda wanashindwa!wakikumbuka kaipeleka YANGA robo final tena kwa mpira mkubwa sana hawana hamu!wamebakia kusema anashiriki kombe la loosers etc!makolo bana kweli ulibwanji
 
super star wa yanga ni mayele na aziz ki, hakuna timu duniani inayokuwa haina key players,lazima timu iwe nawachezaji inaowategemea....pale yanga ukimtoa mayele diarra job na bangala hakuna timu tena pale
Na simba ukimtoa Nani wewe msimbe wa kiume
 
Nawe unaamini kweli mashabiki wa Simba waache mambo yao waanze kumkataa kocha asiyewahusu?Kuntu kwa Haji Manara kuhusu watu wawili tu.
Kama wewe umemuamini Manara, mchukue akawe Msemaji Mkuu wa familia yako, usitupangie Mabingwa wako YANGA FC wa kumuamini, kwani Mipang'ang'a mnawashwa nini haswa na yasiyowahusu?
 
Mwamba huyu hapa!!

Kwa bahati mbaya anafanya Kazi kwenye nchi ambayo watu wanasubiri ukosee ndiyo wakuzodoe ila ukiwa unafanya mazuri wanafumba macho.

Kwanza ametengeneza timu isiyo na Super star, timu haimtegemei mchezaji mmoja haijalishi unalipwa kiasi gani, una jina kubwa, ulinunuliwa kwa bei gani, unatoka taifa gani.

Mwamba hana maneno wala mbwembwe nyingi bali ameamua kuongea kwa vitendo.

Kipindi anaanza kuanda timu, wengi walimkosoa wakisema timu yake inakata moto kipindi cha pili, wengine wakasema hana tactics za kucheza mechi za kimataifa, mara ooh timu nzima inamtegemea Feisal tu na asipofunga timu haifungi.

Pia kuna maneno mengi ya kejeli yalizungumzwa juu yake hasa na wachambuzi wanaojikuta wao ndiyo wataalam wa soka hapa bongo.

Mwamba Nasreddine Nabi hakuwahi kuwajibu bali alifocus kwenye mipango na malengo yake alijua kuwa akiwasikiliza watamtoa kwenye reli.

Kwa sasa yupo kwenye kilele cha mafanikio ndani ya Klabu ya Yanga, kwani amefanikiwa kuitengeneza timu ya ndoto ya kila shabiki wa Yanga.

Ametengeneza timu ambayo kila anayepewa nafasi ya kuanza kwenye mechi anatoa burudani stahiki kwa wananchi.

Amekuwa mwalimu mzuri wa nidhamu ndani ya Klabu ndiyo maana Saido Ntibanzonkiza alishindwa, Morison anapata shida.

Ni kocha mwenye misimamo yenye tija kwa timu yake ndiyo maana kuna wakati anawaweka bench akina Aziz Ki, Mayele, Moloko, Kisinda, Mwamnyeto na wengineo haijalishi mechi ni ngumu kiasi gani yeye anachojali ni anayecheza siku hiyo aendane na mahitaji ya mechi bhas!!

[emoji117]Robertinho wa Simba SC alijaribu hii kitu siku Moja baada ya mechi kumkataa Chama, weee[emoji38] walimwambia akirudia tena ajue Pasaka itamkuta kwao Brazil[emoji1787][emoji1787]

Hata mashabiki wa Yanga kuna kipindi maneno ya Wachambuzi yalianza kama kuwaingia hivi baadhi yao wakaanza kukosa imani na Nabi ila kwasasa amewafunga midomo, wote wanaimba wimbo mmoja tu (Nabi ni Professor)

Amewajenga kisaikolojia wachezaji wake kiasi cha kujiamini hata wakiwa nyuma kwenye mechi, timu ina fighting Spirit hawakati tamaa, hata ikitokea wamepoteza mechi hauona Yanga ikipoteana.

Mashabiki nao sasahivi Wana imani na Nabi wao, hata mechi ikiwa ngumu kwa upande wao utawaona wakiwa wametulia wakimsikilizia yeye kwasababu wanamuamini sana kwenye kufanya Sub na Mabadiliko ya mifumo ili timu ipate ushindi.

Pia nimpe hongera kwa kukuza na kulea hazina ya taifa pale jangwani, walahu tunaweza kusema kuwa amatuletea mrithi wa John Bocco kwenye kikosi cha taifa Stars.

Ni kocha gani angemuamini kinda kama Clement Mzize kwenye kikosi chenye Mayele, Musonda, Moloko, na Ki??

Huyu ndiye PROFESSOR NASREDDINE NABI Mwamba aliyewaziba midomo wambea wa mitandaoni, redioni, TV na vijiweni. Hawataki kumzungumzia tena kwasababu kwasasa hana doa wanajua kuwa wakimzungumzia watatakiwa kusema mazuri yake pekee kitu ambacho wabongo hatujajaliwa,


Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
Umeandika ukweli mtupu. Na ulipost kabla hatujampa msako wa mwaka mwarabu.
 
Back
Top Bottom