Professor wa kwanza tanzania

Professor wa kwanza tanzania

mbwa mzee

Senior Member
Joined
Jan 13, 2015
Posts
126
Reaction score
9
naombeni mnisaidie nan ambaye ni mtu wa kwanza kuwa prof kwa tanzania
 
naombeni mnisaidie nan ambaye ni mtu wa kwanza kuwa prof kwa tanzania

profesa wa kwanza Tanzania ni Profesa Isaria Kimambo, huyu ndo alieandika Histiria ya Tanzania walishirikuana na Profesa John Ilife wa Havard University.
 
profesa wa kwanza Tanzania ni Profesa Isaria Kimambo, huyu ndo alieandika Histiria ya Tanzania walishirikuana na Profesa John Ilife wa Havard University.

mbokomu hoyeee,
 
Back
Top Bottom