Profile picture yako ina maana gani?

Mimi niliiweka wakati wa awamu ya tano nikiwa na lengo la kuunga mkono juhudi za bwana yule. Ila baada ya kutokea yaliyotokea nimeamua kuendelea kuitumia kama njia moja wapo ya kumuenzi.
 
Mimi niliiweka wakati wa awamu ya tano nikiwa na lengo la kuunga mkono juhudi za bwana yule. Ila baada ya kutokea yaliyotokea nimeamua kuendelea kuitumia kama njia moja wapo ya kumuenzi.
Una moyo sana kumuenz mtu aloiacha hazina ikiwa empty+ ongezeko la deni la Taifa.
 
Kuna jamaa anaitwa k.S.i youtube ana hio clip yake moja anacheza fifa online kuna pumba nyingi saaana kaongea humo akiwa anacheza na watu online sasa kuna mchina mmoja alikua anacheza nae ndo katika kufanya maneno yaendane na picha akaweka picha ya huyo kondooo nilipenda alivokaa ndo akakaa humu
 
sasa mm sijui niseme kuhusu avatar yangu 😁🀣🀣
 
Ndugu Kenzy isije kuwa lengo ni kujua wanachokipenda wahusika Kwa lengo la kurahisisha kazi ya wasiojulikana. πŸƒ
 
Ndugu Kenzy isije kuwa lengo ni kujua wanachokipenda wahusika Kwa lengo la kurahisisha kazi ya wasiojulikana. πŸƒ
Mh! Mkuu unatembeaga jukwaa la siasa..? Kule watu ndo wanamwaga nyongo Sasa na hakuna aliekamatwa hakuna Cha usalama halafu mbona Kuna nyuzi watu wanaweka picha zao kule selfika!!.
Sijawahi sikia jf member kashikwa ila mkurugenzi tu Max melo!!
 
Mh! Mkuu unatembeaga jukwaa la siasa..? Kule watu ndo wanamwaga nyongo Sasa na hakuna aliekamatwa hakuna Cha usalama halafu mbona Kuna nyuzi watu wanaweka picha zao kule selfika!!.
Sijawahi sikia jf member kashikwa ila mkurugenzi tu Max melo!!
Kwahiyo usalama upo sio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…