Program ya BBT ina manufaa gani Kwa vijana wa kitanzania?

Program ya BBT ina manufaa gani Kwa vijana wa kitanzania?

Joined
Oct 30, 2018
Posts
35
Reaction score
62
Ni mwaka wa pili sasa nafuatilia hii program ya BBT iliyo anzishwa na mh Bashe chini ya wizara ya kilimo , nilichogundua hii program ni ya kisiasa na kidarali watu wanapiga pesa vibaya mno na vijana wanapotezewa mda na kutumikishwa kama watumwa wakipewa ujira na Kwa malimbikizo. Naona bora serikali ingetenga mashamba na kuajiri vibarua na sio kukatisha vijana wake tamaa .
 
VIJANA WENGI SANA WANAENDELEA KUNUFAIKA NA HUU MPANGO WEWE LAZA MASIKIO TUH
 
kidarali

Sasa mbona unaandika kama vile kila mtu anaijua hiyo *BBT?

Fafanua vizuri basi!
 
Lugha ya kibodaboda hii
Naona uko golini
Halafu kwanini mmeweka kituo mbele ya nyumba yangu?

1715619155597.png
 
Back
Top Bottom