Gilbert Prudence
Member
- Oct 30, 2018
- 35
- 62
Sasa kama vijana wenyewe nio hawa wanaoandika KIDARALI ni bora wapigwe tu maana hamna namna!kidarali
Sasa mbona unaandika kama vile kila mtu anaijua hiyo *BBT?
Fafanua vizuri basi!
Ndo nataka hayo manufaa make wote wanalalamikaVIJANA WENGI SANA WANAENDELEA KUNUFAIKA NA HUU MPANGO WEWE LAZA MASIKIO TUH
Bashe building tomorrow Kwa kiswahili manufaa yajayo ya mh bashekidarali
Sasa mbona unaandika kama vile kila mtu anaijua hiyo *BBT?
Fafanua vizuri basi!
Hatari sana mkuu ππSasa kama vijana wenyewe nio hawa wanaoandika KIDARALI ni bora wapigwe tu maana hamna namna!