King Evance programmer
Member
- Jul 5, 2024
- 20
- 58
nazan swala n Support kutoka kwa watu n hafifu. Kuna Mobile App moja jamaa Mmoja Kaitengeneza ya online kucheza Draft na Lastcard kimtindo mbali mbali lkn watumiaj n wale watu wa karib anao fahamian nao bhc ambapo inamuwia vigum app yake kutambulik san kwasab ya lack of enough support kwa watu.1..Hivi ni kwanini hamna mobile games kali ambalo limetengenezwa na Mtanzania zaidi ya stupid puzzle games ambayo hata hayaeleweki???
2.Kwanini hakuna app iliyotengenezwa na mtanzania ambayo hata mtu wa hapo kenya anaezakuitumia zaidi ya jamii forum??
3.Kwa nini Tanzania programmer wanaishia kufanya freelancing na open project za watu huko GitHub.
Nimejiuliza sana haya maswali leo asubuhi nikaona, nikaona nije hapa jamii forum ili nipewe majibu yaliyo rasmi na Tech bro wa Tz.Au kama hzo Apps zipo nipewe majina nidownload na mm.
Wanaokufundisha wamekaririshwa na walio wafundisha nao wamekaririshwa yani huu mfuno wa elimu nichangamoto sanaUnasoma kwa kukariri.. Saa ngapi utafanya vitu vya maana ili vionekane duniani..
Mfumo wa elimu ndo changamoto ✍️✍️✍️
Hapo me naona tatzo kuna app za aina hyo nyingi sana...kumshawishi mtu adownload yakwako ni ngum sana maana competition ni kubwa mnonazan swala n Support kutoka kwa watu n hafifu. Kuna Mobile App moja jamaa Mmoja Kaitengeneza ya online kucheza Draft na Lastcard kimtindo mbali mbali lkn watumiaj n wale watu wa karib anao fahamian nao bhc ambapo inamuwia vigum app yake kutambulik san kwasab ya lack of enough support kwa watu.
Shida ianaazia hapo. Unakuwa huna extra knowledge......Wanaokufundisha wamekaririshwa na walio wafundisha nao wamekaririshwa yani huu mfuno wa elimu nichangamoto sana
Ukiingia kwenye simu yako, si unaona Apps nyingi zinatangazwa, yeye anashindwa vipi kufanya hivyo?nazan swala n Support kutoka kwa watu n hafifu. Kuna Mobile App moja jamaa Mmoja Kaitengeneza ya online kucheza Draft na Lastcard kimtindo mbali mbali lkn watumiaj n wale watu wa karib anao fahamian nao bhc ambapo inamuwia vigum app yake kutambulik san kwasab ya lack of enough support kwa watu.
Kabla ya kulalamika wewe umefanya nini1..Hivi ni kwanini hamna mobile games kali ambalo limetengenezwa na Mtanzania zaidi ya stupid puzzle games ambayo hata hayaeleweki???
2.Kwanini hakuna app iliyotengenezwa na mtanzania ambayo hata mtu wa hapo kenya anaezakuitumia zaidi ya jamii forum??
3.Kwa nini Tanzania programmer wanaishia kufanya freelancing na open project za watu huko GitHub.
Nimejiuliza sana haya maswali leo asubuhi nikaona, nikaona nije hapa jamii forum ili nipewe majibu yaliyo rasmi na Tech bro wa Tz.Au kama hzo Apps zipo nipewe majina nidownload na mm.
huwenda pia hili n changamoto kwa DeveloperWatu wanakosea, ukishatengeneza kitu, wekeza kwenye kujitangaza ili iweze kufahamika.
Mkuu acha kuita Ubunifu wa watu Stupid ilihali wewe hamna ulichobuni chochote zaidi ya Criticism tu.Hivi ni kwanini hamna mobile games kali ambalo limetengenezwa na Mtanzania zaidi ya stupid puzzle games ambayo hata hayaeleweki???
Ili uweze kutangaza unahitaji hela inayoingia au hela ya mwekezaji na mtumiaji unayempata inabidi alipe mwisho wa siku, kwa mfano hizi ads za mobile sio cheap tuseme kupata installation 1 mpya unahitaji $3, lakini watumiaji wako life time value yao ni $2 hiki ndo kiasi watakachokulipa kwa kulipia au kwa faida ya matangazo tangu wainstall hadi wafute app yako so moja kwa moja utaona kutangaza app yako ni hasara. Kwa TZ ndo disaster kabisa watumiaji hawanunui app na ads kwa bongo hazilipi hakuna advertiser anayetaka kuwalengabwatu ambao hawanunui kitu.Watu wanakosea, ukishatengeneza kitu, wekeza kwenye kujitangaza ili iweze kufahamika.
NILISHA SEMA SANA HII KITU KUWA TZ HAKUNA MAPROGRAMMER...NA SABABU NILISHA ZITOA SANA ....UWEZI KUWA PROGRAMMER WA MAANA KAMA HAUPO LOGIC1..Hivi ni kwanini hamna mobile games kali ambalo limetengenezwa na Mtanzania zaidi ya stupid puzzle games ambayo hata hayaeleweki???
2.Kwanini hakuna app iliyotengenezwa na mtanzania ambayo hata mtu wa hapo kenya anaezakuitumia zaidi ya jamii forum??
3.Kwa nini Tanzania programmer wanaishia kufanya freelancing na open project za watu huko GitHub.
Nimejiuliza sana haya maswali leo asubuhi nikaona, nikaona nije hapa jamii forum ili nipewe majibu yaliyo rasmi na Tech bro wa Tz.Au kama hzo Apps zipo nipewe majina nidownload na mm.
Kareem Design anakuja na game kali litaitwa BUS SIMULATOR TANZANIA1..Hivi ni kwanini hamna mobile games kali ambalo limetengenezwa na Mtanzania zaidi ya stupid puzzle games ambayo hata hayaeleweki???
2.Kwanini hakuna app iliyotengenezwa na mtanzania ambayo hata mtu wa hapo kenya anaezakuitumia zaidi ya jamii forum??
3.Kwa nini Tanzania programmer wanaishia kufanya freelancing na open project za watu huko GitHub.
Nimejiuliza sana haya maswali leo asubuhi nikaona, nikaona nije hapa jamii forum ili nipewe majibu yaliyo rasmi na Tech bro wa Tz.Au kama hzo Apps zipo nipewe majina nidownload na mm.
Investment mkuu.1..Hivi ni kwanini hamna mobile games kali ambalo limetengenezwa na Mtanzania zaidi ya stupid puzzle games ambayo hata hayaeleweki???
2.Kwanini hakuna app iliyotengenezwa na mtanzania ambayo hata mtu wa hapo kenya anaezakuitumia zaidi ya jamii forum??
3.Kwa nini Tanzania programmer wanaishia kufanya freelancing na open project za watu huko GitHub.
Nimejiuliza sana haya maswali leo asubuhi nikaona, nikaona nije hapa jamii forum ili nipewe majibu yaliyo rasmi na Tech bro wa Tz.Au kama hzo Apps zipo nipewe majina nidownload na mm.