Nitajie product moja ya microsoft iliyo anzishwa Kenya.
Hizo Tech funded projects huwa mnazifuatilia mwisho wake???Top 10 African countries with highest tech funding - Businessday NG
Africa continues to establish itself as a prominent hub for tech innovation, with significant investments flowing into the continent's tech...businessday.ng
View attachment 3254090
View attachment 3254091
Hazihitaji kufuatiliwa na sisi...Hizo Tech funded projects huwa mnazifuatilia mwisho wake???
Usitishwe na vichwa vya habari vikubwa mkuu, hizi project matokeo yake yako wapi.??IBM to invest in research laboratory in Kenya
US technology giant IBM has announced it is planning to establish a research laboratory in the Kenyan capital Nairobi. The move will help the nation to achieve the government's aim of becoming the...www.labmate-online.com
Intel picks Kenya for new investment - TechCentral
Semiconductor giant Intel has chosen Kenya as the first country in Africa that will get an investment boost from its global Software and Services Group (SSG). The investment will include the creation of programmes to help Kenyan software developers. Intel will provide developers with design...techcentral.co.za
Hizo microsoft, google, meta etc ziko hapo kwaa jili ya kuwaamini wakenya katika Product marketing hususani kwenye soko la Afrika ila sio kwa sababu ya ubobezi wao kwenye teknolojiaHazihitaji kufuatiliwa na sisi...
Wanaofatilia na kuwa na data kamili ni hao hao
Akianza Microsoft, Google ataangalia matokeo, na kutia timu, na Intel akicheki data za hao wakubwa wawili nae anafuata, na IBM mzee wa quantum computer huyu hapa......
Hawa hawasubiri habari za nipashe, wanaenda na data, na hawa big tech hawafichi data , kama aliingia cha kike Kenya, wangeshafunga virago zamani.....
Hizo microsoft, google, meta etc ziko hapo kwaa jili ya kuwaamini wakenya katika Product marketing hususani kwenye soko la Afrika ila sio kwa sababu ya ubobezi wao kwenye teknolojia
Umesoma na kuelewa kilicho andikwa?Google contributed $900m to Kenya's economy in 2023
According to the search company, the use of its products and services boosted economic activity for businesses, nonprofits, publishers, creators, and developers in Kenya.itweb.africa
AJAX kwa kirefu ni Asynchronous JavaScript and XML. Yaani webpage yako inaweza kusend request alafu kabla hata haijapokea response ikawa ina uwezo wa kupokea user input na kuendelea na mishe nyingine kama kawa. Lakini unaweza kubadili content ya webpage bila kureload webpage nzima. Kuna javascript function unaiweka ndiyo inafanya hiyo kazi.kwa hyo wewe unafahamu DOM ? ajax ni kitu gani?
Mkuu kwanini wawekezaji wengi wanawekeza Dar es salaam,Arusha, mwanza kwanini wasiende mtwara huko vijijini refer to geography factors za kuweka investment yako .Kwani muwekezaji akiamua kuwekeza Mbeya badala ya Shinyanga, inamaanisha Mbeya ni Bora kuliko Shinyanga au mimi sielewi hoja?
Mkuu in terms of agriculture Tanzania tunapata wawekezaji wengi ila wenzetu Kenya wanapata investors wa tech kule kwao kwenye tech wapo juu na hii factor ndio inawafanya wapate wawekezajiUmesoma na kuelewa kilicho andikwa?
Python haikuja kwa lengo la kumpinga au occupy php na Java mkuu python was built up to simplify programming na pia python inategemeana language zingine mfano unahamu python is built up on top of C programming ndio maana iliwahi kuitwa Cython kwahiyo unapo andika python it is compiled into C programming then inakuwa compiled tena kwenye machine language kwahiyo python ni high level programming language na most high level zipo built on top of other language ndio maana python Ina low speed kwasababu ya hizo multiple compliment.python alikuja kwa ajili ya kumuangamiza php na java ila php alijitahidi ila bado baada ya php kuleta laravel na updated nyingi ikawa ina sapoti libraries kama react, vue na angular moja kwa moja.. na kutumia MVC modal yeye kaja na MTV which ni the same kabisa na laravel maana wote wanatumia ORM na pia java kashindwa tena sana react native Flutter wakati una built code zinakua converted to java na swift kwa kutumia xcode compiler so java atandelea kua bora sana springboot boot ni hatari mnoo
upo sahihi mkuu...Python haikuja kwa lengo la kumpinga au occupy php na Java mkuu python was built up to simplify programming na pia python inategemeana language zingine mfano unahamu python is built up on top of C programming ndio maana iliwahi kuitwa Cython kwahiyo unapo andika python it is compiled into C programming then inakuwa compiled tena kwenye machine language kwahiyo python ni high level programming language na most high level zipo built on top of other language ndio maana python Ina low speed kwasababu ya hizo multiple compliment.
SawaMkuu in terms of agriculture Tanzania tunapata wawekezaji wengi ila wenzetu Kenya wanapata investors wa tech kule kwao kwenye tech wapo juu na hii factor ndio inawafanya wapate wawekezaji
Nimependa uko smart sanaKwa habari ya gharama. Hii hapa invoice
Kaka, uyu mtu sio wa kuendelea kubishana naye tena. Ipo siku atdakuja kutuambia NodeJS ni bora kuliko Java, watu kama hawa mimi na waitaga wadanandasiwezi kusema kuwa mimi najua sana ila kiukweli programming nimeanza kusoma tokea 2017 mpaka now nafahamu vitu vingi sana mwaka 2019 ndo mara ya kwanza nimetengeneza website from scratch na nika depoly online ilikua ni enjoy nilitumia angular 2 Na java wow mpaka sasa nafahamu Languages nyingi mno Javascript , java, TYPESCRIPT, PHP, python framework ninafahamu express with node, django, flask, Laravel, springsboot, codeignter react, react native nimetengeneza project zaidi ya 90 za Javascript na php na python now natengeneza smar farming ya embedded systems itakayokua inafanya irrigation yenyewe wewe utakua una i control kwa simu yako itakua inapima hali ya udogo nina app nyingi mno, kilimo kwanza, nitafutie, kazimtaani, etc
Mkuu umefanya project gani maana nisije nikawa nabishana na watu out of field tuweke cheti hapa na project then tuone who is correct kwasababu Kuna dalili kubwa hujui hata haya mambo yanavyo Fanya kazi una ng'ang'ana kuongea non fact mzee unadhani biggest companies Instagram, TikTok, Telegram wanatumia Kotlin unadhani ni wajinga wahamie huko. Java is outdated now especially for Android development indrustry Kotlin is the best.Kaka, uyu mtu sio wa kuendelea kubishana naye tena. Ipo siku atdakuja kutuambia NodeJS ni bora kuliko Java, watu kama hawa mimi na waitaga wadananda
Yani fact yake kisa language ni mpya basi ana-assume itakuwa bora sasa utabishana nae unafikiri mtamaliza?
These kids who just start programming wanakuwaga influenced sana na maneno ya watu,
Kwanza mpaka dakika hii sielewi fact yake, Kotlin ni nzuri kwa kitu gani? Performances wise, library na community support vyote hivi vinaonesha ubora wa Java sasa mwenzetu sijuwi anatuambia kwa upande gani.
Maneno kama haya huwezi kuona Experienced programmer anaongea
That will never happen, kipi unashindwa kuelewa mzee!?Mkuu Mimi mwenyewe natumia C sana ila kweli C will always be there forever lakini si crush Java kwasababu gani Kotlin ni improved Java kwahiyo nasema hivyo kwasababu huko mbeleni Kotlin atatumika sana na atakuwa na opportunity kubwa compared to Java nadhani hii inaeleweka mkuu
Mimi sitaki tuongee kwa udananda.Mkuu umefanya project gani maana nisije nikawa nabishana na watu out of field tuweke cheti hapa na project then tuone who is correct kwasababu Kuna dalili kubwa hujui hata haya mambo yanavyo Fanya kazi una ng'ang'ana kuongea non fact mzee unadhani biggest companies Instagram, TikTok, Telegram wanatumia Kotlin unadhani ni wajinga wahamie huko. Java is outdated now especially for Android development indrustry Kotlin is the best.
Mimi sitaki tuongee kwa udananda.
Kwaiyo una-assume software development inaishia kwenye android tu peke yake???
Nikikuita junior unaona nakosea ?
Mimi sikatai statement zenu. Ni kweli Java imekuwa kwa muda mrefu na Ina community kubwa, ecosystem yake ni kubwa na imetumika kwa sehemu kubwa ingawa Kotlin ilizinduliwa na JetBrains ku address shortcomings za java. Google wamesupport hii language kutokana na uwezo wake na ndio currently preferable language kwa android development baadhi ya makampuni kama Instagram na TikTok wanatumia Kotlin sasa hivi pia kutokana na Kotlin courutines inafanya programming iwe nyepesi kuliko Java. Hii support kutoka google inamaana Kotlin ni better tooling,Ina resources za kutosha ila sikatai java inaweza kutumika kutokana na kustawi kwake na ecosystem yake.Mimi sitaki tuongee kwa udananda.
Kwaiyo una-assume software development inaishia kwenye android tu peke yake???
Nikikuita junior unaona nakosea ?