Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,367
- 2,451
- Thread starter
-
- #161
😂I have never worked as a freelancer na siwezi kabisa huii issue mkuu dah ni kama utumwa programmer kumlipa 2M ni pesa ndogo sana yaniizi mambo za kujengea mtu app utajuta utateseka mpaka unakuja kuzeeka amna urithi unaacha
2M nyingi sana kule freelancer wau wanafanya kazi mpaka kwa $10😂I have never worked as a freelancer na siwezi kabisa huii issue mkuu dah ni kama utumwa programmer kumlipa 2M ni pesa ndogo sana yani
$10-$100 per hour2M nyingi sana kule freelancer wau wanafanya kazi mpaka kwa $10
apana kazi yako anaifanya kabisa$10-$100 per hour
Hii issue ya freelancing labda uifanye kama una ujuzi without ideaapana kazi yako anaifanya kabisa
Fast money bro! pesa ya kula huku ukijenga hicho kikubwaHii issue ya freelancing labda uifanye kama una ujuzi without idea
😂Yeah ila usi stick hapohapi kwenye freelancing for better successFast money bro! pesa ya kula huku ukijenga hicho kikubwa
SaaS Bongo nazo pia ni changamoto sana😂Yeah ila usi stick hapohapi kwenye freelancing for better success
Mbona Mimi nafanya bongo mkuu na inanilipaSaaS Bongo nazo pia ni changamoto sana
Java is used for high performance apps pia mtumie Java kwenye existing app ambazo zilitengenezwa na Java but otherwise Kotlin is the way to go Java is nothing to Kotlin libraries
You mind to share mkuu? Unayofanya ni ipi?Mbona Mimi nafanya bongo mkuu na inanilipa
Dah, shikamoo sijapenda kauli Yako,Hivi vitu na wabongo, ni kama mbingu na ardhi.
Kaka jamaa yupo sahihi kabisaDah, shikamoo sijapenda kauli Yako,
Kila sekta Kuna Tamu na chungu zake ni Kazi ya unayetafuta kutumia Uufahamu wako vizuri, sehemu zote Mara nyingi usipo kuwa makini ni kulizwa TUHao ni hawa fake IT bongo developers wapo wachache mtu hajui hata kutengeneza API anajiita developer ukitaka kuamini nnacho sema njoo na project yako mkabithi mbongo anayejibrand huku online hovyo alafu mpe uone utaishia kulizwa tu
Mimi nafanya hizi Mambo, najiskia vibaya kauli kama hiyo, Tehama sio mziki kuingia ingia tu, Tehama haihitaji mtu mvivu.Kaka jamaa yupo sahihi kabisa