Joined
Sep 1, 2024
Posts
37
Reaction score
88


Haya ni baadhi ya matukio yanaoendelea katika Tantech association ambapo mimi na wenzangu kushirikiana na shule yetu tuliweza kuomba msaada wa kupata mafunzo mbalimbali Kwenye chuo cha Agakhan ,Shukrani tulikubaliwa na masomo yaliendelea Napenda kutoa shukrani zangu za Dhati kwa Prof.Fredrick Mtenzi na Engineer Musa saimon ambapo walikubali kutufundisha kwa kutumia computer lab yao ambapo iko very modern ambapo tuliweza kuunganishwa na Expert kutoka nchini Vienna ambapo tulipata Mafundisho juu ya Geogebra bila ambapo walitoa elimu hii bure bila kutoza fedha yoyote kwa kuwa wanatamani kusaidia vijana wenginwa Kitanzania kuweza kupata juzi mbalimbali za sayansi ya teknolojia

Sasa ningependa tushirikiane kwa mawazo hata pia kwa kujitoa kuwekeza nguvu kuweza kuendeleza jambo hili.
 

Attachments

  • 20240830_133158.jpg
    3 MB · Views: 3
Itainclude mostly Computer experts,(Science of technology) na Stakeholders nchini ambao pia wanaweza saidia vijana katika section mbalimbali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…