Fundi kitasa
JF-Expert Member
- Mar 17, 2021
- 2,419
- 6,484
Na nyinyi mje muenjoy treni la umeme😅 anway mm nawapongeza nafurahi nikiona nchi za Africa zikiendelea natumai by 2040 tutakua mbalii sanaNyinyi mna interchange mbili tu na huna aibu kuzungumza kuhusu expressway ambayo hamna na huwa mnaitazama tu kwenye runinga? Ikiisha mje Kenya kuenjoy expressway maana hamjui yenu itajengwa lini.
Mbona tusiusubiri? Hivi nyinyi hampigi Kelele ya SGR? Ya Salender hampigi? Ya steigler gorge hampigi?Povu limekutoka kisa nn[emoji16][emoji16],Hata sisi tunamiradi yetu kulingana na mfuko wetu sina haja ya kuitaja hapa...
Nimesema mtazoea tu maana naona mnausubiri Mradi kwa hamu zote
Usifananishe SGR na expressway...Mbona tusiusubiri? Hivi nyinyi hampigi Kelele ya SGR? Ya Salender hampigi? Ya steigler gorge hampigi?
Sasa unataka kuturingia SGR? Sisi tayari tunayo. Kwanza imeshakamilika na inafanya kazi. Nyinyi miradi yenu yote kubwa yapo katika hali ya ujenzi.Usifananishe SGR na expressway...
Rufiji dam na SGR ni miradi mizito
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Sawa tusibadili mada kuuSasa unataka kuturingia SGR? Sisi tayari tunayo. Kwanza imeshakamilika na inafanya kazi. Nyinyi miradi yenu yote kubwa yapo katika hali ya ujenzi.
SGR tunayo kitambo. Dams tunazo Tena nyinyi. Hivi nyinyi Muna elevated expressway?Usifananishe SGR na expressway...
Rufiji dam na SGR ni miradi mizito
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Dam gan ya maana Mko nayo?SGR tunayo kitambo. Dams tunazo Tena nyinyi. Hivi nyinyi Muna elevated expressway?
Mm sifananisha ebu rudialia nilichokiandikaSasa unataka kuturingia SGR? Sisi tayari tunayo. Kwanza imeshakamilika na inafanya kazi. Nyinyi miradi yenu yote kubwa yapo katika hali ya ujenzi.
There're many dams under construction, too many.Dam gan ya maana Mko nayo?
🤣🤣🤣🤣 Hivi unadhani Sisi hutoa wapi stima?Dam gan ya maana Mko nayo?
Tungekua tunatangaza miradi yetu yote kama wa Tanzania sijui ingekuaje. Kuna several stuff going on kimya kimya tu., our media ni kelele za covid na siasa za BBI na 2022 , no developmental journalism!There're many dams under construction, too many.
Visit ministry of water website
Mko na dam kubwa kama inayojengwa Rufiji?Au Ni vidimbwi tu🤣🤣🤣🤣 Hivi unadhani Sisi hutoa wapi stima?
Hivi hiki ni kidimbwi? Tunazo zinazogenerate stima nyingi kuliko nchi zengine zote za East Africa.Mko na dam kubwa kama inayojengwa Rufiji?Au Ni vidimbwi tu
Do some research atleastMko na dam kubwa kama inayojengwa Rufiji?Au Ni vidimbwi tu
Inazalisha MW NgapHivi hiki ni kidimbwi? Tunazo zinazogenerate stima nyingi kuliko nchi zengine zote za East Africa.
View attachment 1765794
Wenzenu kuanzia 70s tuna dams nyie mnakuja kutupigia keke hapaInazalisha MW Ngap
Yani vile wanajenga wao basi sisi ndio hatunaHivi hiki ni kidimbwi? Tunazo zinazogenerate stima nyingi kuliko nchi zengine zote za East Africa.
View attachment 1765794
Dam mnazo lakini hamna inayozalisha zaidi ya 500MegawattsYani vile wanajenga wao basi sisi ndio hatunaView attachment 1765961
Kwn nyie mna gani kw sasa inayozalisha hata 50MegawattsDam mnazo lakini hamna inayozalisha zaidi ya 500Megawatts
Kuna ujenzi ambao umekuwa ukiendelea, wa bwawa la Karimenu kule gatuzi la Kiambu. Mradi wa KES 23B ambao utakamilika mapema mwaka ujao na sijaona mkenya hata mmoja humu akiutaja utaja mradi huo. Mambo yanaendelea kimya kimya tu nchini Kenya, kama kawa.Wenzenu kuanzia 70s tuna dams nyie mnakuja kutupigia keke hapa