kwahiyo hapo unaungana na wakenya wenzako comment section au na waziri wako kupitia huu uzi[emoji3][emoji3][emoji3].Have liked vile wakenya walimjibu Balala, hatubebwi ujinga kirahisi[emoji28][emoji1787][emoji23], wengine nawajua kutoka nchi flani wangeshabikia kirahisi sana[emoji28]
Kwani sisi nani ametulazimisha?hatufanyi jambo kwa kulazimisha.
ndio sababu huwezi kutana na huo upuuzi.
sasa mliweka matofali yanini!!kwani nani alikuwa akiwakimbiza¡!!!!Kwani sisi nani ametulazimisha?
zenge na molam nyeupe ikajazwa kati hapo kutafuta mwinuko.Wewe nimekuuliza yenu imejengwa na nini ukanyamaza.
Nyinyi mliweka lami ya nini? Nani alikuwa akiwakimbiza?sasa mliweka matofali yanini!!kwani nani alikuwa akiwakimbiza¡!!!!
They will come from LDCs
Kama unajua ni blocks iweje tena unaziita matofali?blocks za udongo kama zile mmekuwa mkijengea hizo overpass zenu nairobi yote.