komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Kwn pillars za kw render ni za bei gani vile[emoji1787][emoji1787]Wachina wanalipua huo mradi gharama walizotaja ni tofauti na kijengwacho,wanakwenda kutengeneza faida maradufu kwa miaka 30,wachina si watu,wanakwambia tunajenga expressway ya ksh 500,hiyo ksh 500 tunaitoa sisi,lakini kwa ground wanajenga expressway ya ksh 60 ambapo wanaweka toll kwa hesabu ya ksh 500...[emoji1787][emoji24]
Then angalia pillars zinazojengwa hapo,then kaangalie kwenye render vitu ni tofauti kabisa