Progressive People's Party of Tanzania


Mkandara,

Mrengo wa kati ni kutokana na Watu na Mazingira.
 
Wakuu si tayari kuna chama kinaitwa PPT-Maendeleo? Kama nime kosea nisahihishwe wakuu.
 
Mchungaji heshima mbele. Kwanza nakupongeza kwa uamuzi wako huo. We need more people who actually dare to walk the walk rather than talk the talk. i want to come up with some constructive words to help you and your new party so please allow me to sleep on it. Very soon I will come with my advice and suggestions.
 

Duuuh..... wewe Rev. inaonekana ulitoroka na chupa yenye mazazo ya mvinyo jumapili iliyopita wewe!!!! LoL

Kumbe tunapowaona wamekaa kimya tu bila maamuzi yoyote wakati mabomu ya Mbagala yanalipuka inabidi tuwaonee huruma.... maana huchelewi kuta makoo yalikuwa yameziba kwa maganda ya mayai ya mijusi weupe!!!
 
Wakuu si tayari kuna chama kinaitwa PPT-Maendeleo? Kama nime kosea nisahihishwe wakuu.

Well, I can care less what they are called, if no Progressive People's Party of Tanzania, then I am free to use the name. In addition, do they have same principles that I am advocating to Tanzanians?
 
Well, I can care less what they are called, if no Progressive People's Party of Tanzania, then I am free to use the name. In addition, do they have same principles that I am advocating to Tanzanians?

Chama chenyewe sikijui vizuri. ndiyo maana nikaombwa nisahihishwe kama nime kosea. I doubt they have the same principles as your party. But anyway ngoja turudi kwenye mada because what's important is your party and it's aim for the Tanzanian people regardless of it's name.
 
Jina zuri la chama liwe kwa kiswahili,huo ndo ushauri wangu.
 
Jina zuri la chama liwe kwa kiswahili,huo ndo ushauri wangu.

Tanzania ina Chama cha Mapinduzi na Chama cha Maendeleo na Demokrasia (Chadema) yote ni ya kiswahili na vinajiendesha kiswahili swahili (samahani kwa Zitto, Dr. Slaa na Mnyika marafiki zangu!)
 
tanzania ina chama cha mapinduzi na chama cha maendeleo na demokrasia (chadema) yote ni ya kiswahili na vinajiendesha kiswahili swahili (samahani kwa zitto, dr. Slaa na mnyika marafiki zangu!)

jina linaloeleweka na mass ni advantage...
 

Si ndio maana wanang'ang'ania Posho na Pensheni mbili mbili huku yule aliye Kiranja anakimbilia Saint Ann Parish kutuliza mawazo!
 
Tanzania ina Chama cha Mapinduzi na Chama cha Maendeleo na Demokrasia (Chadema) yote ni ya kiswahili na vinajiendesha kiswahili swahili (samahani kwa Zitto, Dr. Slaa na Mnyika marafiki zangu!)

Rev., lakini kama kuna jina jingine lolote lile ambalo lita appeal zaidi kwa watu likipendekezwa na kuwa free, basi mimi nadhani ni bora litumike kwa minajili hiyo na mandhali liliyonayo.
 
Rev., tayari umeshapata mwanachama hapa! Nitajiunga nawe...
Naomba kuwa mmoja wa ma-strategists wako.

Ngosha,

Kutumikia Umma na Utumishi wa Jamii ni kujitolea, alimradi kuna maelewano katika timu na kuna msimamo ambo uko wazi na kila mtu anakuwa na nafasi sawa.

Karibu sana kwenye timu, hivyo wewe kadi yako ni Nambari 1.
 
Rev.
Ok mkuu wangu unaweza nambia tofauti inayowatenganisha mrengo wa TTTP na mirengo mingine (kushoto na Kulia) hasa inapokuja ktk maswala ya jamii..what are the Values, Athics kwani wataalam husema:- In civilized life, law floats in a sea of ethics. Each is indispensable to civilization. Without law, we should be at the mercy of the least scrupulous; without ethics, law could not exist.
Kwa hiyo ni lazima ukanyage nyayo za watu hapa..

Una tafsiri vipi Uzawa, Ushoga, maswala ya ndoa, mirathi, haki za kuabudu..Ni kwa kiwango kipi kwa sababu hadi leo huwa nashindwa sana na ile haki ya watu kuabudu dini waitakayo..mathlan, Je naweza kuabudu dini ya kiasili inayo lenga imani ya mizimu na Uchawi!
 
ngosha,

kutumikia umma na utumishi wa jamii ni kujitolea, alimradi kuna maelewano katika timu na kuna msimamo ambo uko wazi na kila mtu anakuwa na nafasi sawa.

Karibu sana kwenye timu, hivyo wewe kadi yako ni nambari 1.


wewe ya kwako no ngapi?


Wewe ndio no 1,halafu huyo unampa no 2,and so and so.
Au wewe huwi member wa chama chako?
 

Bob Mkandara,

Nimekuwa kama Chipukizi wa CCM, nikaendelea nayo nikaiacha. Sikubaliani na Sera za CCM, Katiba yake wala Ilani yake.

Sitaki kuwa Mtanzania ambaye anadai anakwenda kuleta maendeleo kupitia chama kile kile ambacho leo hii wanashindwa kuwa na Uongozi na kauli za nguvu kukemea uozo ndani ya Chama chao na Wanachana wao, chama ambacho hata mchwa, nguchiro na chura wanajua kuwa kimekosa dira na mwongozo.

Hivyo vyama vingine navyo havina tofauti sana na CCM, ukionda watu wao wachache ambao wamelazimika kujiunga na hivyo vyama shingo upande au kuingia ndani ya chama na kukuta ni mauzauza matupu na hivyo kuondoka ni tabu!
 

Umeuliza swali la msingi sana. Hata hivyo naomba uwe na subira kidogo, ni mengi kuelezea na ni mengi tunajiandaa nayo. Swali lako linajibika, ila ni vyema kama litajibiwa kirefu ili kuondoa mwanya wa kutokuelewa. Mwenyekiti bado anajibu maswali ya wadau wengine mbalimbali waliotangulia kuuliza. Ahsante.
 
Eeeeh banaa wee tayari umeshajiunga mara!... haya na Mzee Mwanakijiji yumo au?
 
wewe ya kwako no ngapi?

Wewe ndio no 1,halafu huyo unampa no 2,and so and so.
Au wewe huwi member wa chama chako?

Kuwa mwanzilishi si lazima niwe na Kadi namba moja, yangu inaweza kuwa namba 1000 na pasiwe na tofauti yeyote.

Kwa heshima ya yeye na wowote watakaojitolea na kuamua kujiunga nami, basi watapata hizo nambari ambazo zitaonyesha kukuwa kwetu na kuwepo kwa demokrasia.

Mambo ya kujivunia kuwa mimi Mwanzilishi, sijui kadi yangu ndiyo ya asili hayana manufaa ikiwa wale wanaojiunga kwa utashi na hiyari yao hawatapewa thamani na kujiona kuwa ni washiriki wakuu katika ujenzi wa Chama na wa Nchi!

Kwa mimi kutoa Kadi ya Kwanza kwa mtu wa kwanza kutamka rasmi anajiunga nami, ni heshima na kumwezesha huyu aliyeunganisha nguvu na mawazo yake na yangu atambue kuwa wote tuna nafasi sawa kutimiza umoja wa lengo letu.

Ya Fikra sahihi, sijui Mwenyekiti Mwanzilishi au utukuzo usio na tija hauko katika moyo wangu na si na haitakuwa staha na mwelekeo wa Chama Chetu cha PPPT.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…