Project chafu, ni nani amewatuma kumuumiza Phiri?

Mwambie phiri alipiga goli 8 ndani ya game 3..aache ushamba tunajua kuwa yule kitanta sjui wa kagera alitoka yanga na alipewa mission ya kumvunja phiri ili bwana maele asiwe na mpinzani kwenye mbio za kiatu cha dhahabu
Baada ya kushindwa mbio za ubingwa mmeamua kutafuta faraja za kuonewa huruma
 
Mwambie phiri alipiga goli 8 ndani ya game 3..aache ushamba tunajua kuwa yule kitanta sjui wa kagera alitoka yanga na alipewa mission ya kumvunja phiri ili bwana maele asiwe na mpinzani kwenye mbio za kiatu cha dhahabu
So mchezaji akicheza Yanga anakua mwanachama?
 
Unamjua hassan kessy ramadhani..anacheza dodoma jiji ?
nyie visingizio hua hamkosi Shaibu (Ninja) yupo Dodoma FC kwa mkopo toka Yanga siku ya mechi ya Simba na Dodoma alijifunga unataka kusema alitumwa na Yanga ajifunge? Imekua kila kitu mnatafta sababu mmetoka kuifunga Geita goli 5 kuna wachezaji almost wanne toka Yanga Mahadhi, Saido, Yondani, na head coach pia waligizwa na Yanga? Wakati huo huo Yanga imefungwa na Ihefu Coach wao Mwambusi na kuna wachezaji pale wametoka Yanga ni maelekezo? nyie endeleeni na malalamiko mwisho wa msimu tutarudi hapa
 

Sawa
 
duh we hujaona wachezaji wa yanga wanavyoumizwa?nkane kavunjwa mguu nauo
Kuumizwa inaweza kutokea,tatizo ni pale timu nzima inafanya jitihada ya kumchezea rafu mbaya mchezaji mmoja na bado hakuna kadi.

Hii ni tofauti na tukio moja moja ambapo mtu anafanya na harudii ama hakuna mwingine anayerudia kumsaidia kazi aliyoianza.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Mtu akiwa mbumbumbu hafikirii hayo..
 
Acha mhemko katika uandishi wako ili kila mtu asome andiko lako na achangie.
Anachopitia Phiri Ni Kama alichopitia Fiston Mayele mechi kadhaa bila kufunga huku akiandamwa na rafu mbaya kwnye mechi kadha wa kadha Hali Kama hiyo pia ilianza kutokea kwa bangala but adhabu ikatolewa na watu walikemea ikaisha hivyo Basi wadau wa soka tunakiwa tukemee c tu kwa mchezaji wa timu kubwa but mpk kwa Wachezaji wa timu ndogo ili kuweka usawa wa Mambo.
 
Chuki ya wazi kabisa umeonesha. Nadhani ungepata wasaa au nafasi ya kuwapa wachezaji wa simba sumu ya kuua ungelifurahi kwa kusheherekea vifo vyao.
 
Kwani mechi alicheza yanga au kagera??? Mashabiki wa simba mngekuwa mademu mngekua wazaramo au mademu wa mtwara
Umesema kweli tupu!

Yanga ikishinda tu ni bahasha na jezi nyeusi, Simba ikishinda ni kwamba wanaujua mpira mara sijui Phiri mara Chama anaupiga mwingi!!

Sasa hivi Utopolo tunaongoza ligi pointi sita mbele Simba kavunjika guu anatembelea magongo na hawatupati tena Yanga inaserereka tu! Simba kwa sasa ni washiriki tu wa NBC premier league! Kombe ni letu tena kwa mara ingine hatuna mpinzani wala kipingamizi kwasasa tunataka 100 unbeaten games sherehe ifanyike Arachuga kuna zile fataki za wanayanga matajiri sijaona dunia nzima!!watu wa Qatar weldi kapu walileta watu wao Sheikh Amri Abeid Azam Federation cup kujifunza jinsi ya kupiga fataki na kushangilia ushindi!!

Ni ajabu sana Simba kujilinganisha uwezo na Yanga wakati Yanga tulishawaacha kiwango Simba zamani sana tangu tulipomchukua Diarra anadaka mishale, mabomu, makombora, mawe, fataki manati!!

Yanga ikishinda kwa kutafuna mifupa iliyowashinda Simba kama Azam, Mbeya city, Kagera sijui Prison mara Coastal Union tena kwao basi jamaa wa Kolo fc wananuuuuuna karibu wapasuke!!

Simba tafuteni wachezaji wa kiwango sio kulia lia tu na mtalia miaka mitano kombe litazoea jangwani na tutawapiga kila mechi na atakaefunga mechi zote ni Feisaaaaaal! Zanzibar finest!! Beauty beauty boy!!

Feitoto ni mkali kuliko hata Messi na Mbappe Kolo fc gani anabisha nimrushie video bao la Feitoto dhidi ya Simba pale CCM Kirumba nani kati ya Messi au Mbappe ameweza kufunga kama lile bao? Lile bao litawachoma mioyo wanasimba miaka yao yote hapa duniani!! Bao linauma kama sindano ya kristapeni!!bao la kideo, bao ambalo huwezi kulilipa!! Bao adhimu lililokata ngebe za Simba na kufanya majezi na maskafu shingoni ya wanasimba yawe mazitooooo!!bao ambalo limewafurusha Mitala, Barabara na Gomeziii bado Moo tu!

nikiisifia Yanga kama hivi mwanasimba ukisoma bila kuchukia ujue unaumwa ukapimwe!!
 
Chuki ya wazi kabisa umeonesha. Nadhani ungepata wasaa au nafasi ya kuwapa wachezaji wa simba sumu ya kuua ungelifurahi kwa kusheherekea vifo vyao.
Sijawachukia wachezaji wa Simba kwa kiwango hicho , ambacho ningefanya kama nikipewa wachezaji wa Simba ni kuwashusha na kuwaweka timu B ya Yanga maana ndiko wanastahili kuchezea na kina Clement sio kulazimisha kuwalinganisha wachovu wa Simba na Bunduki za Yanga kama Aziz Ki, Job, Moloko, Aucho, Sureboy na Bangala!

Simba wabovu sana tu mpira wa possession kama Yanga hamna kumejaa marafu kibao kwa Kanoute, Mkude sijui Onyango my foot!!
 
Feitoto ni mchezaji wa Azam.
Ndiye mchezaji pekee wa kibongo aliyekuwa utopolo niliyekuwa namwelewa.
Kwa wachezaji wa kigeni ni Mayele tu.
Kwa ujumla kama mayele na Feitoto hawapo,utopolo ni kama Ihefu tu


Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Kuna mechi majuzi hapa wote hao hawakuwemo bado mtu akala cjui 4 au 5 zile

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…