Project funding sources


Mzuzu,
Hilo ni wazo zuri sana.... nadhani umefika wakati sasa wa kuanzisha kitu kama THINK CLUB, ambapo watu wenye mitazamo inayofanana wanakutana at least twice a week kuwa na concerted thinking... akina Ford, Edson, etc walikuwa na kitu kinaitwa Master Mind na ndiyo maana walifanikiwa.... unfortunately huku kwenye forum tunaona majina ya ajabu ajabu tu labda ningelipendekeza kwa Administrator kukawa na facility ya kuwaunganisha members through e-mails... mfano kukawa na option ya kum e-mail mtu ambaye umekutana naye kwenye Forum na ukawa interested na line of thinking..
 

Wazo lako ni zuri sana,
Tayari mimi na baadhi ya wanajf tumeanza,matokeo yamekuwa mazuri. Kwa njia ya e-mail tulialikana,tukajulishana ukumbi na gharama,tukapeana muda wa jukwaa na tukakutana. Tunaweza.
 

Nakubaliana na wewe mkuu, hatutaweza kuundoa unyonge wetu kwa kusema tu, tuende mbele kwa kuchukua hatua za kusonga zaidi. Tumesema sana sasa tutumie hizo potentials tunazoziongelea miaka yote jamani. Nipo tayari kukaa na kuangalia nini cha kufanya pamoja, tungeanza zamani haya mambo sidhani kama tusingeweza ku-run viwanda vyetu vilivyouzwa bei chee. siku zote nasema tufikirie mbali zaidi ya familia zetu, tuangalie mambo makubwa ya kubadilisha maisha ya watu na sio kufikiria kununua hiace na kujenga tu
 
Pamoja sana mkuu.
Kaza buti kaka. Kila taarifa unayokujanayo inatia moyo.
Naamini wakati ndio huu, hakuna kulala. Mpaka kieleweke.
 

Siku moja nilitia timu pale TIC kwa matamanio kwamba kwa vile ni kijana basi nitapata support kubwa,kushangaa jamaa wakanigeuza dili. Baada ya kugundua kuwa wamenigeuza dili sijakanyaga tena,na kila wakinipigia nawaambia niko mkoani.
 
Siku moja nilitia timu pale TIC kwa matamanio kwamba kwa vile ni kijana basi nitapata support kubwa,kushangaa jamaa wakanigeuza dili. Baada ya kugundua kuwa wamenigeuza dili sijakanyaga tena,na kila wakinipigia nawaambia niko mkoani.

Hamna kitu pale ni siasa chafu, usanii na rushwa tupu! Usitegemee support ya serikali hii labda nyingine
 

Mzuzu,


Fund zipo nyingi za kutosha, zinakosa wachukuaji.
  • Funds zipo kama biashara yako ndiyo inaanza (Startup) au ni kukuza mtaji
  • Inakubalika haraka kama itakuwa katika mfumo wa cooperatives/association
  • Wanachama wa jinsia ya kike wawepo kwa wingi
  • Funds wanazotoa ni kuanzia $ 50,000 hadi $ 250,000 kwa mradi
Kama biashara yako ipo katika mfumo huo, angalia creteria zao hapa chini.

Criteria for financing applications


General information
  • Name and address of organisation
  • Continent, country and region, town or city of implementation
  • Date on which the organisation was founded
  • Type of organisation (association, foundation, ...)
Information about the organisation
  • Mission statement and objectives of the organisation
  • Views on political and socio-economic context (regional/local and national) and what kind of role your organisation plays in this
  • Organisation's position in local society (incl. collaboration with others)
  • Summary of the activities organised by the organisation if the proposed plan does not cover all of the organisation's activities
  • Organisational structure (incl. information about board and staff (gender specific))
  • Information about the way in which the target group is represented in the organisation
  • Planning, monitoring and evaluation system
  • Financial position, financial policy and financial management of the organisation (incl. existing sources of funding)
  • History and track record (what has the organisation done and achieved up until now)
Information about the plan of action for the coming period
  • Analysis of the existing situation, risks and opportunities in the working area in relation to the proposed plans
  • Characteristics, size and location of the intended target group (gender specific)
  • Long-term objectives of the plan of action (what kind of change do you ultimately hope to achieve in the situation of the target group)
  • Expected results at the end of this period
  • Strategy (how are the objectives to be achieved, how is sustainability safeguarded)
  • Start and end date of the proposed plan of action
  • Financial plan and financial policy for the period covered by the plan
  • Long-term budget broken down by activities (programmes/categories) per year in the local currency, including the contribution/financing requested from Bank and others
The request should be accompanied by the following:
  • Articles of Association/Charter of the organisation
  • Annual accounts for the last 2 years (if available or otherwise the most recent financial report) plus possibly auditor's reports for the last 2 years
  • References
Kama mahitaji wanayotaka wao hayana tatizo, funds zipo.
 
Unafikiria kiwanda wakati mradi uko zaidi katika fikra. Cha kufanya ungeshirikiana na SIDO kubuni mtambo mdogo endapo biashara itatoka ndipo sasa ufikirie kulitafutia mtaji mkubwa. Angalau bidhaa iwe sokoni, iandikishwe (haki miliki), wateja wawepo; pengine hata baadhi ya wateja wanawezaingia ubia na wewe kufanikisha mradi huu
 

Mzuzu songa mbele,kama jua limekuchomozea amka nalo. Pale SIDO pamechoka ile mbaya.
 

Mgagaa na upwa hali wali mkavu.
 
Nashauri kiwanda kijengwe newala maana kule mihogo inalimwa kwa wingi na inastawi sana
 
nimesoma baadhi ya mabandiko hapa na kila napogusa naona kuwa hapa nchini hakuna msaada katika suala zima la kuwafadhili wajasiriamali. sasa nchi hii ipo kwa manufaa ya nani?
 
Mzuzu,

Hongera sana kwa ujasiri na kuthubutu ambavyo vimeleta mradi huo.

Hivi wadau kuPM ni kufanyaje? Nami ninataka kuwa PM watu kadhaa hapa waliochangia thread hii, ni namna fulani ya mawasiliano ya Ki JF?
Natanguliza heshima.
 
Mkuu je umeshapata eneo la kufanya huo mradi wako?maana sio mradi mdogo huo unahitaji eneo la kutosha,kama bado maeneo yapo kigamboni kupia mwasongwe unaweza kupata heka moja kwa laki na nusu kwa hiyo kama una nguvu unaunganisha heka mia moja,au hata mkuranga
 
KuPM , nishaipata, ipo pale juu kabisa . Lol
 


Mzuzu niko nawe,wakulima wetu wafundishwe na waendelee kumiliki ardhi zao za asili ili tuwasaidie kujikwamua kimaisha zaidi. Moto huo endelea nao mkuu,mbele yako kweupe.
 
Mzuzu, nimekuwa nakusoma sana. Muda ukiwadia basi ntakutafuta kwa jina lako haswa ili niangalie ni anga zipi nitaweza kuungana na wewe na kama sivyo basi nitakutafuta kama Mzuzu ili nijifunze wapi pa kuanzia. Naamini hutakuwa na choyo ili na mie nisaidie watu wangu wa Sikonge. Jenga tu Reli Mkuu, naamini hutakuwa na hiana wengine tukitumia RELI zako kuja kupita kukufuata huko uliko.

Kwa maana hii, niseme wazi kuwa tunakutakia kila la kheri. Tuko nawe hata kama hutuoni tukiweka maelezo hapa.
 
Mkuu kazana,na mimi nakazana upande wa pili huko huko mkuranga,ipo siku tutaonana uso kwa uso. Ushauri wangu wa bure,usiruhusu wanasiasa kukukaribia mkuu,ni waharibifu. Ila yule mama Mkurugenzi wa Wilaya ni poa sana mkuu,ukiweza kamuone mapema ili kama unahitaji lo lote la kimaendeleo ni bonge la msaada sana.:A S-key:
 

Poa mkuu,kwa sasa niko lindi na nitarudi dar mwishoni mwa mwaka. ila project zangu nafanyia hapo Mkuranga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…