Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
Nilisoma Project Planning and Management lakini Nilipokuwa mwanachuo, Nilitaka Kufanya fieldwork yangu halmashauri kwenye idara ya fedha na mipango nikazuiliwa nikaelekezwa nifanye idara ya Maendeleo ya Jamii.Hebu tumwombe HR yeyote kutoka serikalini aje atutoe tongotongo hapa.
Hivi wizara ya fedha na mipango si Kuna division ya projects, vipi huko umefatilia
Kwa hiyo idara ya mipango inachukua watu waliosomea uchumi na takwimu tu. Sasa haya ma kozi wanamuwekea nani asome kama hata hayahitajiki huko kwenye fieldNilisoma Project Planning and Management lakini Nilipokuwa mwanachuo, Nilitaka Kufanya fieldwork yangu halmashauri kwenye idara ya fedha na mipango nikazuiliwa nikaelekezwa nifanye idara ya Maendeleo ya Jamii.
Hata baada ya kumaliza chuo Nilitaka kujitolea kwenye idara ya fedha na mipango nikazuiliwa nikaelekezwa nijitolee kwenye idara ya Maendeleo ya Jamii.
Lakini kozi hii Ni rahisi kupata kazi kwenye NGOs
Ni biashara ya wamiliki wa vyuo.Kwa hiyo idara ya mipango inachukua watu waliosomea uchumi na takwimu tu. Sasa haya ma kozi wanamuwekea nani asome kama hata hayahitajiki huko kwenye field
Hebu angalia hii imekaaje hapoNi biashara ya wamiliki wa vyuo.
Hizo kozi zote Ni mbwembwe tu, wamelenga economicsHebu angalia hii imekaaje hapo
Hatari na nusu,ngoja tuendelee kutafuta connection serikalini. Maana asali ya kibuyu Cha mama ni tamu sana "alisikika jamaa Mmoja hivi"Hizo kozi zote Ni mbwembwe tu, wamelenga economics
Uliomba kupitia ajira portal? ...Kuna washkaji zangu wamesomea regional development planning,, project planning management, development finance wamepata nafasi ...mHiyo Ni kozi yangu na nilishaomba nafasi za afisa mipango zilizotangazwa mwaka Jana lakini nilipigwia chini, kufuatilia sababu nakuta nafasi zote 8 walichukuliwa wachumi
walisharekebisha mfumo wa ajira sa hv ....Hizo kozi zote Ni mbwembwe tu, wamelenga economics
Nakuomba pm tafadhaliHii kazi zake unatakiwa kuwa muongeaji hasa, na uwe unajua unachokiongea, sasa kama wewe unaogopa kuongea mbele za vikao, itakuwa vigumu sana
Maana kila stage na mara kwa mara unatakiwa uwe unafanya presentation kuwakilisha updates za project
Yaaap nimekuelewa mkuu nimesoma hapo course ya mazingiraSio kweli..despline ya mipango inajitegemea tofauti na uchumi..japo zinahusiana ...mtu aliyesoma chuo Cha mipango kozi ya project planning atanielewe ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaaap nimekuelewa mkuu nimesoma hapo course ya mazingira
Kwanini na nyie mnayasoma ma kozi yasiyo hitajika.Kwa hiyo idara ya mipango inachukua watu waliosomea uchumi na takwimu tu. Sasa haya ma kozi wanamuwekea nani asome kama hata hayahitajiki huko kwenye field
Mmmh mimi nilitaka nikapige ppm kwa lengo lakufanya re categorization ili niwe afisa mipango, mmh kumbe haviendani.Nakuomba pm tafadhali
Mtafute afisa utumishi uongee naye,yawezekana wameshaiweka kwenye muundo wa kiutumishi as major subjectMmmh mimi nilitaka nikapige ppm kwa lengo lakufanya re categorization ili niwe afisa mipango, mmh kumbe haviendani.
Sawa ngoja nifanye ivyoMtafute afisa utumishi uongee naye,yawezekana wameshaiweka kwenye muundo wa kiutumishi as major subject
Nakuomba pm
Kama upo kwenye ajira ...kachukue regional development planning ya chuo Cha mipango..au development economics ya chuo Cha mipangoMmmh mimi nilitaka nikapige ppm kwa lengo lakufanya re categorization ili niwe afisa mipango, mmh kumbe haviendani.
Yes nipo kwenye ajira LGAKama upo kwenye ajira ...kachukue regional development planning ya chuo Cha mipango..au development economics ya chuo Cha mipango
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma kozi yoyote ila chukua certification ya project management(PMP) carries more value kuliko hata masters.Yes nipo kwenye ajira LGA