Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
you sound to have studied an interesting course.
do you think of kujiajiri... do you think you can start something from scratch.. do you have high level of writing skills.
let us communicate...
I have it, so lets communicate my phone. 0782 513333 email mohamedmziray@gmail.com
najua competition zipo ila isipokua ni ww mwenyewe jinsi ya kujibeba mwenyewe kwa mfano kwenye Interview hata kama ungesoma kozi ya watu kumi tuu Tanzania halafu unaitwa kwenye Interviiew ukambwela sidhani kama utapata kazi........
nafikiria kujiajiri ila kama unavyojua sisi watoto wa wakulima tatizo mwanzo vikwazo ni vingi sana..ok tuwasiliane kaka my number is 0782 513333 email mohamedmziray@gmail.com
The University of Dodoma (UDOM)
ata mimi natilia shaka uwezo wenu watu wa UDOM coz eti hamkufanya field sasa hapo kuna kazi..kupata kazi..lakini maisha yanaendelea wasiliana na hao wadau upate pa kuanzia.
Duh.! UDOM??? kasome kwanza masters ndo 2kupe connections za bachelor, Bila shaka hata field hamjafanya, wengine wanasoma nyie mpo mitaani mmefukuzwa chuo, Bora hata ungekuwa Education ningekupa mchongo wa shule ya awali.
mbona hata wanaoenda field hawapewi kazi. Unashinda wako online FB. Field sio kigezo cha kupata kazi.
Kuwa mwelewa bro, kuwa online fcbk inategemea na field unayofanya, xaxa mi civil and construction engineer> kujenga daraja, fcbk nitakuwa online saa ngapi?
najua competition zipo ila isipokua ni ww mwenyewe jinsi ya kujibeba mwenyewe kwa mfano kwenye Interview hata kama ungesoma kozi ya watu kumi tuu Tanzania halafu unaitwa kwenye Interviiew ukambwela sidhani kama utapata kazi........
nafikiria kujiajiri ila kama unavyojua sisi watoto wa wakulima tatizo mwanzo vikwazo ni vingi sana..ok tuwasiliane kaka my number is 0782 513333 email mohamedmziray@gmail.com
Duh.! UDOM??? kasome kwanza masters ndo 2kupe connections za bachelor, Bila shaka hata field hamjafanya, wengine wanasoma nyie mpo mitaani mmefukuzwa chuo, Bora hata ungekuwa Education ningekupa mchongo wa shule ya awali.