Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawaida sanaWatanzania tuna mambo! Jamaa angeweka 280,000/= angetokea wa kusema nina 230,000/=.
Mwambie mshamba huyoKawaida sana
We fogo ukienda dukani ukaambiwa hiki kinauzwa sh. 200 hutoomba discount?
Sehemu pekee ambayo sijawahi omba discount ni wakati wa kulipa ma fees.
Daladala lenyewe namwambiaga konda nina mia 3
Anakuwa kama sio Mtanzania 🤣Mwambie mshamba huyo
Unahitaji bidhaa ama unahtaji receipt??? Coz picha zake nimeweka unaziona punguza ubabaishaji mkuuIna miezi mi3!!?
Weka receipt yake
Top 320 boss270k
nipo tabata
Top 320 boss270k
nipo tabata
320 top priceWakichelewa hiyo mapema asubuhi,ni pm.Nina 280k
Tuna utofauti mkuu..Unahitaji bidhaa ama unahtaji receipt??? Coz picha zake nimeweka unaziona punguza ubabaishaji mkuu
Halafu hiyo 350k mbona ndio Bei ya dukani kwa hizo LCD TV za Hisense nashangaa kuona mtumba anauzia Bei aliyo nunuliaWatanzania tuna mambo! Jamaa angeweka 280,000/= angetokea wa kusema nina 230,000/=.
Hisence hauna 450,000 huchukui dukani na hiyo ni LED sio lcdHalafu hiyo 350k mbona ndio Bei ya dukani kwa hizo LCD TV za Hisense nashangaa kuona mtumba anauzia Bei aliyo nunulia
Labda maduka ya huko kwenu Chattle na RunzeweHisence hauna 450,000 huchukui dukani na hiyo ni LED sio lcd
Weka risti tuongeeb chapUnahitaji bidhaa ama unahtaji receipt??? Coz picha zake nimeweka unaziona punguza ubabaishaji mkuu
Hajui umuhimu wa risiti 😊Weka risti tuongeeb chap
Kwa mikoaniHisence hauna 450,000 huchukui dukani na hiyo ni LED sio lcd
The world has change mkuu bei za bidhaa saiv hazina utofauti mkubwa kama mlivyo kua mkitegemea zaman kutokana na regional imbalanceKwa mikoani
Arusha tu hapa 430K
Sasa Dar si ndio itakuwa cheap!!