Projects za Mchungaji Kimaro akiwa KKKT Kijitonyama

Bado hujanielewa. Halafu hakuna mtifuano, ni kutokuelewana tu.
Kama ni kutokuelewana mngeyamalizia huko huko KKKT kimya kimya,lakini kama kuna Washarika hadi wanabeba mabango wanamtaka Mchungaji wao huo ni Mtifuano tena mkubwa.
 
Yani kuna mpaka kwaya ya Kijitonyamaa ilirekodi nyimbo kali sanaaa enzi hizoo means Usharika upo vizuri toka kitambooo...!
 
Hawezi sia Mpinga kristo...
 
Na ipo bado....
 
Amepiga simu polisi kuomba usaidizi ili aweze kuanzisha ibada ya masifu ya asubuhi kesho asubuhi, anapiga piga simu ovyo kusumbua wazee wa watu kuulizia hali ilivyo baada ya kufanikiwa kutoroka kanisani
UZUSHI..
 
Wala hainishangazi kuna mmoja soon ataanza kupiga assalamualaikum....
 
Vuongozi wengi sana siku hizi pamoja na waumini wao wanaangalia zaidi ya kimwili kama miradi na uwekezaji na kusahau kujijenga na kukua kiroho
Muumiini mmoja anaabudu akiwa kwenye mti na mwingine akiwa kwenye kivuli ndani ya jengo zuri, yupi mwenye uwezekano wa kukua kiroho kirahisi zaidi, assuming imani zao ziko sawa?
 
Kama familia ni Taasisi kanisa linashindwaje kuwa Taasisi?

Unaelewa maana ya Taasisi au unatapika ujinga.
 
Sahihi Sana Hilo ,alijisahau Sana Hadi kuanza kuwasifu wakatoliki na waisalmu hadharani eti ,roma Catholic wako vzr so wat aende uko sasa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app

Kuna shida gani akisema ivyo mkuu? Wakristo wote tunapenda na hatubaguani..... hata waislamu tunawapenda pia maana wao pia hawatubagui kuwasifia ni kosa? Mnaharibu sana kuweka matabaka.... mungu anatupenda wote
 
Sahihi Sana Hilo ,alijisahau Sana Hadi kuanza kuwasifu wakatoliki na waisalmu hadharani eti ,roma Catholic wako vzr so wat aende uko sasa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kiutaratibu hapo alikosea. Huwez kuponda wanaokupa platform. Aonywe, kisha apelekwe huko umisioni Mwaneromango akajifunze zaidi**
***KWAYA ZOTE ZIENDELEE KUTII MAMLAKA wakati Jambo linashughulikiwa. Youtube waumini waingie Kwa wingi.
 
Kuna shida gani akisema ivyo mkuu? Wakristo wote tunapenda na hatubaguani..... hata waislamu tunawapenda pia maana wao pia hawatubagui kuwasifia ni kosa? Mnaharibu sana kuweka matabaka.... mungu anatupenda wote
Inashangaza sana mtu kutengwa kisa kusifia binadamu wenzake kwa sababu tuu ya kutofautiana kiimani.
Inashangaza zaidi hata dini nazo zinapinga ukweli.
 
Injinia soma hii:

Everybody is replaceable. Usije ukavimba kichwa kwa vipaji vyako, umaarufu, vyeo na mbwembwe zingine na kujiona bila wewe eti mambo hayataenda. Pamoja na yote hayo, unakufukuzwa kazi au unakufa leo kesho keshawekwa mwingine na maisha yanaendelea.

Ukilijua hili utapunguza shobo mahali pasipotakiwa na kidogo itakufanya uwe humble. At the end of the day, we all gonna die lakini maisha yataendelea haijalishi tuna pesa, vyeo, umaarufu, na mbwembwe zingine kiasi gani....

Na hii tabia ya kuabudu watu (ambao wanaweza kufa wakati wo wote) na ikome!
 
Tena chuki kubwa mnoo hapo wameshatafuta namna ya kumwangusha na hatokaa apate upenyo wa kuyafanya yale aliyoyafanya kijitonyama....labda aanzishe mwendo kivyake na si chini ya taasisi tena
Tunafanya mkakati afungue kanisa lake pembeni ya KKKT kijitonyama palepale 🤐
 
Hivi kumbe ni project zake binafsi, mimi najua ni project za kanisa na zimejengwa kwa nguvu ya michango ya waumini na ni utaratibu wa makanisa yote ya KKKT hata hapa mbezi beach tuna similar projects na zinafadhiliwa na michango ya washarika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…