Projects za Mchungaji Kimaro akiwa KKKT Kijitonyama

Projects za Mchungaji Kimaro akiwa KKKT Kijitonyama

Tujikumbushe, projects kadhaa ambazo Mchungaji Dkt. Kimaro amezifanya akiwa Mchungaji Kiongozi, KKKT Usharika wa Kijitonyama,
1. School of Healing (Morning & Evening Glory) -Youtube Channel (mwanzoni ikiwa Eliona Kimaro TV baadae KKKT Usharika wa Kijtonyama) inayowafikia watu wote Duniani.
2. TAMASHA LA MBINGU KUJAA SIFA (kila mwaka)
3. Jengo jipya la Sunday School (lililogharimu yapata takribani 200m TZS)
4. Ununuzi wa Kiwanja pembezoni mwa kanisa yapata 300m TZS
5. Kusomesha yatima yapata 100
6. World Pray Online (WPO), Call Centre ya maombi masaa 24, siku 7 za wiki.


NB: Ikumbukwe waliokuwa wanasali hizo Morning & Evening Glory wengi hawakuwa waumini wa KKKT bali wa madhehebu mengine na Waislam kuondoka kwake Dkt Kimaro tutarajie mabadiliko kiasi.

***Mchungaji Kiongozi (Mpya) Anna apewe ushirikiano kuendeleza alipoishia Dkt Kimaro.

Fedha za hizi projects,alitarajia kuomba au ni sadaka?
Au ana wafadhili kutoka nje?
 
KKKT kwa michango ni sawa na CCM.
KKKT wanakusanya fedha kwa watu,hawarudishi hata Senti Tano Kwa watu walio wachangia
Utadhani fedha ziliandikwa ni zao
Utakutana nao siku ya kukuzika TU!
 
Ipo hii ya kufunga siku 40 kuanzia 4 November, mwaka huu nimejiunga kwenye kufunga. Tunamaliza 14 December.

Siyo lelemama ila inaimarisha afiya.
 
Kwenye kila baraka kuna laana
Kila penye mafanikio pana mapungufu
Kufanya mambo fulani hakukufanyi kuwa mkubwa kuliko taasisi
Ndiyo maana nakuoendaga mzee baba, yaani inapokuja kwenye suala la uhalisia wa maisha hujawahi kupoa mzee Mshana
 
ukitenda mazuri kwa wanadamu chukizo kwa
wanadamu tena
Watakao furahi ni wale unaowatendea wasiotaka nafasi yako, wale wanaoona nao wanaweza kufanya kama wewe na Kwa nini wao hawapewi hiyo nafsi siku zote hawataona jema lako
 
Back
Top Bottom