Tujuzeni basi tusiokuwa na dikoda ya Dstv, je Mayweather na Manpaciao, nani amekuwa mbabe?
Tuliambiwa mtoto wa Matumla angepigana leo ktk mapambano ya utangulizi katika pambano kati ya F. Mayweather na Man Pacquaiao mpk muda huu pambano linaanza simwoni hy dogo. Kulikoni?
Tuliambiwa mtoto wa Matumla angepigana leo ktk mapambano ya utangulizi katika pambano kati ya F. Mayweather na Man Pacquaiao mpk muda huu pambano linaanza simwoni hy dogo. Kulikoni?
''Promota Majalala anasuti chini ana Ndala,huu si ufala kivipi mimi nijitoe kafara'' Pwii pwii eti Promota anabip.....
Tuliambiwa mtoto wa Matumla angepigana leo ktk mapambano ya utangulizi katika pambano kati ya F. Mayweather na Man Pacquaiao mpk muda huu pambano linaanza simwoni hy dogo. Kulikoni?
Kwa Mtindo Huu Mabondia Wetu Wataishia Kucheza Ndondo!
Kama simba