SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Mwache akapasuliwe anapenda sifa za kijinga sanaNaona tangazo la mchezo wa ngumi, ([emoji3037])
Kati ya Karim Mandonga na Golola Moses kutoka pale Kampala Uganda, tarehe 29 mwezi huu wa July, Kwa kifupi promota anayeandaa hili pambano pamoja na Mandonga mwenyewe aliyekubali hili pambano ni kwamba hawana akili.
Golola Moses ni bondia mkubwa sana pale Uganda japo alianzia kwenye Kik boxer, hata Dulla Mbabe hawezi kumpiga Golola, wajaribu kupitia upya wasifu wa Golola.
Mandonga usipokataa pambano hili ndo unaenda kuwa mwisho wako kucheza tena jukwaani
View attachment 2692468View attachment 2692469
Trust me Mandonga anashinda hili pambano. Either Kwa kununua mechi, kubebwa na majaji au hata labda Golola wa Sasa ni dhaifu kuliko huyo wa enzi hizo.Tatizo mechii hii tuna hofia uhai wake [emoji3][emoji3][emoji3]hatuko tayar kumpoteza mandoga maana hatujawai kua na mpiganaji kama yeye tz [emoji23][emoji23]
Tatizo mandonga huwa anapambana tu mpaka dakika ya mwisho hakubali kushindwa[emoji23]Uzuri kuna option ya kunyoosha mikono kama mambo yamekua ya moto
WatamuuaJamaa anapiganishwa haipiti wiki anapigana dah ,wanamuona kama msukule tu,Acha aendekeze masifa
Tu
Ova
Kwahiyo huko kigoma kuna watu hawana sura kabisa au?Kule Kigoma , mtu ukiwa na Sura huwa tunadhan unajua ngumi
Acha kutumia aifoni mkuu, wenzio wa tekno tunazionaWazee picha mnazionaje? Mimi sioni picha
Huyu ni mtu kazi nionavyo mimiNaona tangazo la mchezo wa ngumi, ([emoji3037])
Kati ya Karim Mandonga na Golola Moses kutoka pale Kampala Uganda, tarehe 29 mwezi huu wa July, Kwa kifupi promota anayeandaa hili pambano pamoja na Mandonga mwenyewe aliyekubali hili pambano ni kwamba hawana akili.
Golola Moses ni bondia mkubwa sana pale Uganda japo alianzia kwenye Kik boxer, hata Dulla Mbabe hawezi kumpiga Golola, wajaribu kupitia upya wasifu wa Golola.
Mandonga usipokataa pambano hili ndo unaenda kuwa mwisho wako kucheza tena jukwaani
View attachment 2692468View attachment 2692469
sisi mashabiki wa Mandonga tunataka apigwe mpk achakae... ushindi sio utamaduni wetuMandonga usipokataa pambano hili ndo unaenda kuwa mwisho wako kucheza tena jukwaani[emoji419][emoji375]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787]sisi mashabiki wa Mandonga tunataka apigwe mpk achakae... ushindi sio utamaduni wetu
Kaka... Mkono wa Kibishoo... Nyundo ya Kibishoo...
Promota anatimiza kiu ya mashabiki wake ambao wanasema wapo naye hata akifia ulingoniš¤£Mandonga usipokataa pambano hili ndo unaenda kuwa mwisho wako kucheza tena jukwaani[emoji419][emoji375]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa Mandoga hizo akili na speed za ngumi anazo?anaitwa Umar Semata, ndie aliemchapa Golola, wala msipagawe na hilo body la Golola
View attachment 2692486
kuna utofauti mkubwa wa kujaza body kwa vyuma ama sindano na kupigana.
Hata gari likiwa kubwa sana dereva mzoefu analipiga rivazi.
Mandonga asishindane na huyu bondia kwenye nguvu, amkabili kwa speed, akili, uzoefu, n.k.