Promota mnataka Mandonga afie ulingoni?

Mwache akapasuliwe anapenda sifa za kijinga sana
 
Tatizo mechii hii tuna hofia uhai wake [emoji3][emoji3][emoji3]hatuko tayar kumpoteza mandoga maana hatujawai kua na mpiganaji kama yeye tz [emoji23][emoji23]
Trust me Mandonga anashinda hili pambano. Either Kwa kununua mechi, kubebwa na majaji au hata labda Golola wa Sasa ni dhaifu kuliko huyo wa enzi hizo.
 
Kule Kigoma , mtu ukiwa na Sura mbaya huwa tunadhan unajua ngumi
 
Mandonga kila dakika 1 anakumbatia.
Kama mwamba ndo anapigana naye ,Basi Karim ajiandae kuyakanyaga
 
Huyu ni mtu kazi nionavyo mimi
 
Mandonga wewe Mandonga karimu Mandonga Leo umepigika sana yaana umechapwa hapo Kenya na wanyonyi nakuomba tena pambano la tarehe 29 na Golola usipigane nakuomba sana
 
Mandonga umeshapata pesa SI haba fanya mambo mengine utakuja fia ulingoni ama upate hitilafu ya ubongo Jana umechezea kichapo heavy na tarehe 29 unataka ukapigane tena?
 
Sasa Mandoga hizo akili na speed za ngumi anazo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…