Hii sasa ni fedheha katika taasisi ya Umma. Kuna ndg yangu amepewa promotion hapo na kusisitiziwa iwe siri yake maana yeye amependelewa tuu na wenzake waliomaliza shule wote wameachwa, kwa hiyo akivujisha tuu atarudishwa kwenye cheo cha awali. Nukuu kwenye barua hiyo hii hapa,
You will be under probation for six months exclusive of any period of leave. It should be clearly understood that in the event of failing to prove suitable for the promotion during the probation period, you will be restored to the post you were serving prior to your promotion.
Other terms and conditions of service will remain unchanged.
Ukweli ni kwamba hata walimu waliokuwa wanatufundisha hawana ari ya kazi kwani wamegawanywa ili watawalike "devide and rule". Promotion ni moja ya mbinu zinazotumika yaani ndio Mzee kwa wanaume na wake za watu wenye heshima zao na rushwa ya ngono kwa wanawake wa ndio mzee. Vielelezo vyote vipo nitaviweka hapa ktk muda muafaka. Nawasilisha.
You will be under probation for six months exclusive of any period of leave. It should be clearly understood that in the event of failing to prove suitable for the promotion during the probation period, you will be restored to the post you were serving prior to your promotion.
Other terms and conditions of service will remain unchanged.
Ukweli ni kwamba hata walimu waliokuwa wanatufundisha hawana ari ya kazi kwani wamegawanywa ili watawalike "devide and rule". Promotion ni moja ya mbinu zinazotumika yaani ndio Mzee kwa wanaume na wake za watu wenye heshima zao na rushwa ya ngono kwa wanawake wa ndio mzee. Vielelezo vyote vipo nitaviweka hapa ktk muda muafaka. Nawasilisha.