Prondo na donluchese vyuma vimekaza? Mbona sisikii tena story za magar

Prondo na donluchese vyuma vimekaza? Mbona sisikii tena story za magar

Beira Boy

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2016
Posts
19,976
Reaction score
32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu..


Ni mda sasa sisikii story na sion selifii za hapa na pale kutoka kwa kaka zangu prondo na don luchese

Je vyuma vimekaza au masela wako nje ya nchi kikaz

Donluchese mzee wa kupanda kwenye gar na sio kuingia yuko wap?

Prondo mzee wa bmw yuko wapi


NANYUPU


LONDON BABY
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana

Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu..


Ni mda sasa sisikii story na sion selifii za hapa na pale kutoka kwa kaka zangu prondo na don luchese

Je vyuma vimekaza au masela wako nje ya nchi kikaz

Donluchese mzee wa kupanda kwenye gar na sio kuingia yuko wap?

Prondo mzee wa bmw yuko wapi


NANYUPU


LONDON BABY
Life is all about being positive,dreaminng big and things like that. Bahati mbaya JF siku hizi imejaa watu negative, watu wanaopenda kusikia mtu anapata shida,ana njaa na mambo kama hayo.
Mtu akipost kitu kizuri watu wanaumia sana roho inashangaza sana.
Vyuma havijakaza ila sio vizuri kuikera jamii, wacha tuburudike na kusikia mateso ya wenzetu. Btw mwisho wa mwaka huu sijui niende Dubai au SA!
 
Life is all about being positive,dreaminng big and things like that. Bahati mbaya JF siku hizi imejaa watu negative, watu wanaopenda kusikia mtu anapata shida,ana njaa na mambo kama hayo.
Mtu akipost kitu kizuri watu wanaumia sana roho inashangaza sana.
Vyuma havijakaza ila sio vizuri kuikera jamii, wacha tuburudike na kusikia mateso ya wenzetu. Btw mwisho wa mwaka huu sijui niende Dubai au SA!
jibu zuri ila swali lilikuwa zuri zaidi
 
Life is all about being positive,dreaminng big and things like that. Bahati mbaya JF siku hizi imejaa watu negative, watu wanaopenda kusikia mtu anapata shida,ana njaa na mambo kama hayo.
Mtu akipost kitu kizuri watu wanaumia sana roho inashangaza sana.
Vyuma havijakaza ila sio vizuri kuikera jamii, wacha tuburudike na kusikia mateso ya wenzetu. Btw mwisho wa mwaka huu sijui niende Dubai au SA!
Ohooo mkuu kumbe upo nilijua upo nje maana sikuon kiongoz wangu

Siku hiz mbona hakuna story za bmw
 
*Hivi ni nani alileta Make Up?*

*Maana ndiyo aliyeleta mabint matapeli huku nchini*

*Unakuta Msichana kapost picha anafanana na RIHANNA ila ukikutana naye live anafanana na DROGBA*
[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]
 
*Hivi ni nani alileta Make Up?*

*Maana ndiyo aliyeleta mabint matapeli huku nchini*

*Unakuta Msichana kapost picha anafanana na RIHANNA ila ukikutana naye live anafanana na DROGBA*
[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6]
Hahahahaaaa mkuu imekutokea wap hiyo
 
No....najua hii chit chat nothing serious.
Mkuu acha kujificha bhana jitaid uwe unaonekana

Vp yule mdogo wako anayesoma ulaya amesharud? Nimeshaanda mang'ombe kabisa ya mahar
 
Life is all about being positive,dreaminng big and things like that. Bahati mbaya JF siku hizi imejaa watu negative, watu wanaopenda kusikia mtu anapata shida,ana njaa na mambo kama hayo.
Mtu akipost kitu kizuri watu wanaumia sana roho inashangaza sana.
Vyuma havijakaza ila sio vizuri kuikera jamii, wacha tuburudike na kusikia mateso ya wenzetu. Btw mwisho wa mwaka huu sijui niende Dubai au SA!
Usinisahau ukienda huko
 
Back
Top Bottom