Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

kwanini unapinga uwepo wao ili haki hujui hata chanzo cha huyo unayemuabudu!!???

Lets share utuambie source ya Allah halafu na mimi nitakuelezea source ya Aliens...

If you don mind at ol...

Ukisema nimepinga uwepo wao utakuwa umekosea, maana kuwepo au kutokuwepo kwao sio kitu hasa ninachotaka kujua.. huenda ni kweli wapo (nime-assume hivyo), and let us it be.

Kuhusu Mungu, bado nina the same Question as same as applied to Aliens. Maana hakuna kitabu cha maandiko kinachoweka wazi tukaelewa wazi chanzo chake.

Ingawa umenionesha kuwa unajua chanzo chake, ila ni sharti niseme chanzo cha Mungu ndio na wewe uniambie chanzo cha Aliens, nimeielewa weakness yako.

Anyways, nilidhani una full information kuhusu Aliens.
 
Nimejibu hivo kutokana na Ideology yako ya kusema kuwa kuwa ukweli haupo na bado ukawa unakataaa ....ni hivi kama una evidence za uwepo wa Mungu au hata shetani nipo kutokana na imani yajo make uweo wa Aliens unaonekana ni conspiracy ila uwepo wa Mungu na shetani unaonekana kuwa ni kweli lakini mkiambiwa mlete evidence mnakimbilia kuleta maandiko ya bible na Quran..

Lets share what has evidence from point of reality..

Binafsi napenda kujua ile kweli ili nipate kufree mind yangu...

Tegeze mioyo yetu tukubali kupokea challenge juu ya mapokeo tuliyoyakuta ...

flex your mind tujuzane yaliyo nyuma ya pazia mkuu..tupo hapa kushare mengi..

Uwepo wa Mungu na Shetani unapingwa kwa kuruhusu free will ambapo ukifree your mind unakuwa na wide range of chance ya kucontrol kila kitu kilichopo mbele yako,tofauti na kukaaa kumtegemea shetani au Mungu ambaye source yake haiwekwi wazi..
 
Nimejibu hivo kutokana na Ideology yako ya kusema kuwa kuwa ukweli haupo na bado ukawa unakataaa

Hapa umenisingizia mkuu..! Sijasema kitu kama hiki.. na sina hii ideology


Umejuaje kama naamini kuwa Mungu yupo? na ndio maana uliponiuliza
Imani yako ni nini mkuu, unaamini nini??
sikukujibu habari za Mungu wala Shetani, ni wewe tu ndio umeniweka katika hilo kundi.

Binafsi napenda kujua ile kweli ili nipate kufree mind yangu...
Nadhani hapa tumefanana, hata mimi pia napenda sana, Lets share what has evidence from point of reality.. mimi sina ujuzi kuhusu Bilble wala Quran, kwa sababu sio muumini wala muamini, ukiniuliza maswali ya kiimani utakuwa unanionea tu. Nachokuomba uweze ku-share na mimi juu ya chanzo cha Aliens niweze kujifunza zaidi mkuu lifecoded
 
sawa mkuu
 
Mtu huyo mtugani kwenye serikali ambae anasimamia Siri hizo miaka na miaka. Mpaka ukiacha tu kazi unakuwa mashakani.
 
Mi naonaga humu tunarudishanaga nyuma hatuko kiutayar wa kujifunza kitu zaidi ya kubishanabishana anzisha ata group bro tuwe tunakuja jifunza huko huku tubishanage.
 
Mi naonaga humu tunarudishanaga nyuma hatuko kiutayar wa kujifunza kitu zaidi ya kubishanabishana anzisha ata group bro tuwe tunakuja jifunza huko huku tubishanage.
Kwenye group utaenda kulishwa matango pori maana adm hawezi kuwa add wapinzani wake na akiona uko against yeye anakutoa humu jf ndio patamu
 
Ahsante kwa elimu, angalia tu usijekuta tayari umento umekuanza πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…