Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

lifecoded kwa hiyo umehamisha magoli ya wanasayansi wanaotuhainisha na kizazi cha nyani??😀😀😀😀 Ila Napenda kufuatilia conspiracy series naamini hawa Aliens wapo sidhani kama hata madirectors wa hizo movies,series wangekuwa wanaweka vitu vya kufikirika kama hakuna sidhani! ila nimekusoma kwa makini nimefaidika na hili somo!
 
Tatizo linarud pale pale ni vipi tunazipata hiz life code??
It happen when you start to calm your self

And learning to your inner Emortion inside you

You will unlock all the blockege inside you

And free the ernegy inside you

You will start to percieve a reality into many frequence

That is it...

You have every things inside you to full fill your goal and purpose
 
lifecoded kwa hiyo umehamisha magoli ya wanasayansi wanaotuhainisha na kizazi cha nyani??😀😀😀😀 Ila Napenda kufuatilia conspiracy series naamini hawa Aliens wapo sidhani kama hata madirectors wa hizo movies,series wangekuwa wanaweka vitu vya kufikirika kama hakuna sidhani! ila nimekusoma kwa makini nimefaidika na hili somo!
karibu mkuu
 
Najaribu kutafuta mahali ulipojibu swali kwamba hao Aliens waliumbwa na nani, lakini sijafanikiwa mkuu.

Kama kuna sehemu umejibu na sijaona, naomba uni-tag.

lifecoded
 
...atakuambia hata Mungu wa biblia/Quran basi naye atakuwa ana mwanzo...utajibuje hapo mkuu ?

At least Bible inasema Mungu hakuwa na mwanzo.

Ningependa kusikia kutoka kwake chanzo cha Aliens, huenda kuna imani inayoamini hawakuwa na mwanzo.
 
At least Bible inasema Mungu hakuwa na mwanzo.

Ningependa kusikia kutoka kwake chanzo cha Aliens, huenda kuna imani inayoamini hawakuwa na mwanzo.
...sawa mkuu,
...akikuambia Aliens hawana mwanzo just like story za Mungu wa biblia/Quran ,_hapo utasemaje mkuu?
 
...kwani Quran inasemaje kuhusu mwanzo wa Allah mkuu?!!
...
Yeye mwenyewe hajajiongelea katokea wapi na hataki tuhoji
IMG_20180920_083239.jpg
 
Napenda kusubiri aseme yeye, nadhani nitapata madini mengi kutoka kwake maana nitakuwa na mengi ya kumuuliza.
kwanini unapinga uwepo wao ili haki hujui hata chanzo cha huyo unayemuabudu!!???

Lets share utuambie source ya Allah halafu na mimi nitakuelezea source ya Aliens...

If you don mind at ol...
 
...ahahahaaaa hapo sawa mkuu,.-naona Allah kaamua kuficha source yake...inawezekana kabisa hata hawa Aliens nao wakawa wameficha asili yao
Wanatuchanganya sana ila afadhali Allah ametuambia tulipotokea ila sasa hawa Aliens hawajatuambia chanzo chetu ni wapi na tupo humu Duniani kufanya nini na tunakwenda wapi....
 
Back
Top Bottom