Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

According to your info, duniani palionekana ni mahali sahihi ambapo effects za cosmic radiations zisingeweza kuafect viumbe vilivyopo ndani yake.. Sasa kwa nini waprogram binadamu kwa codes ili binadamu hao waishi duniani while wao wasiishi sehemu hiyohiyo waliyoiona ni salama??
By the way somo zuri sana and ni vizuri kuchakata bongo zetu zifikirie mambo mengine mengi tuu
hakika mkuu..tuchakate bongo..
 
yani hawajui kuwa uwepo wa shetani ni mental interpretations of your actions
..nothing like satarn exists..its just an illusion created by your mind...

everything is you.

Kuna mama mmoja anaitwa Mary BakerEddy
Ana mawazo kama yako, ila ili kujua namaanisha nini tafuta kitabu chake kinachoitwa
“Key to the scripture “
Dhambi,uovu yeye anasema si kitu halisi ni illusion
Kila kitu ni illusion had kifo
 
Kuna mama mmoja anaitwa Mary BakerEddy
Ana mawazo kama yako, ila ili kujua namaanisha nini tafuta kitabu chake kinachoitwa
“Key to the scripture “
Dhambi,uovu yeye anasema si kitu halisi ni illusion
Kila kitu ni illusion had kifo
tunaishi kwenye ukimwengu ambao ni simulation...nothing exists only your conciousness that persives other things as illusions...

Everything you see around is you ..

everything aroud you is a reflection of yourself...
 
Ni reflection ki vp mkuu, mbona nashindwa is kukuelewa hapo mkuu
The life you live is only a mental projection of what your mind thinks...

Whatever to think in your mind and concetrate on that is what always comes to manifest in physical form of reality..

life is what you imagine into your mind..whatever you concetrate into your mind becomes reality under illusions..everything you see and synchronize with it comes as illusion in physical reality..

Life is a simulation of illusions..
 
The life you live is only a mental projection of what you mind thinks...

Whatever to think in your mind and concetrate on that is what always comes to manifest in physical form of reality..

life is what you imagine into your mind..whatever you concetrate into your mind becomes reality under illusions..everything you see and synchronize with it comes as illusion in physical reality..

Life is a simulation of illusions..

So what you think you become.
That it
 
This is the matrix..everything is under codes..

There is a door for you to escape from this matrix system..

Unafikilia katika surface level sana mkuu..

the system does not work the way unavyotaka ww..



Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu,
Ina maana hizi codes zinatofautiana kati ya mtu mmoja na mwingine? Je kwanini watu wote hatufikiri sawa? Je DNA hizi zimetengenezwa katika formular tofauti tofauti na kwanini? Je kuna DNA Bora kabisa na nyingine za kawaida? Nipe majibu hayo kwanza, nitarudi.
 
Mkuu,
Ina maana hizi codes zinatofautiana kati ya mtu mmoja na mwingine? Je kwanini watu wote hatufikiri sawa? Je DNA hizi zimetengenezwa katika formular tofauti tofauti na kwanini? Je kuna DNA Bora kabisa na nyingine za kawaida? Nipe majibu hayo kwanza, nitarudi.
Hongera kwa kufikiria vizuri tunasubiri majibu kwa mleta mada
 
Mkuu,
Ina maana hizi codes zinatofautiana kati ya mtu mmoja na mwingine? Je kwanini watu wote hatufikiri sawa? Je DNA hizi zimetengenezwa katika formular tofauti tofauti na kwanini? Je kuna DNA Bora kabisa na nyingine za kawaida? Nipe majibu hayo kwanza, nitarudi.
...kila mtu ana mlango wa kutokea..

the matrix system of reality offers permutation ( Njia tofauti kwa kila mtu,life codes open by permutation system).

The way unavyoichukulia dunia na unachokiona wewe kipo tofauti na mtu mwingine anavyopersive ndo mana tunapersive tofauti tofauti..

Kila mtu kashikiliwa kwa life code flani maishani mwake ,ndo mana life pathy ya kila mtu ni tofauti tofauti( soma kuhusu CHALDEAN NUMEROLOGY VIZURI)

DNA zinatengenezwa katika permutation system( mfumo ambao haufanani na mwingine ) ili kila mtu anashikiliwe na matrix system kwa strength tofauti tofauti ili kuepusha kuingiliana kwa mawimbi ya ufahamu baina yako wew na ulimwengu unaokushikilia..kika mtu anaisha kutokana na mawimbi( frequency range flani) yanayokufanya Ujulikane kwenye mfumo unaoshikilia kila kitu katika ulimwengu huu..

Imagine redio stations zingekuwa zinatumia frequency moja( mawimbi ya aina moja) nadhani kungekuwa na mwingiliano wa sauti na usingeweza kuelewa chochote kinachorushwa na redio station hizo..ndo mana kila redio ina frequence yake na haifanani na nyingine ulimwenguni..

Ndivyo ilivyo hata katika mfumo wa DNA yako ..ina mfumo au arrangement za DNA bases tofauti na mwingine na wala hufanani na mtu yeyote ulimwenguni..

Hii ni kuruhusu uweze kuwa na fikra huru na kuweza kukufanya uwe na uwezo wa kusynchronize na universal pattern of reality pindi uingiapo katika high dimension( high perception of reality)..

Tukija kwenye swali lako la mwisho la kuwa Je kuna DNA bora kuliko zingine na ni kwanini..??

Ndio ubora wa DNA unatengemea na genetic code arrangement kwenye complimentary base pairing system..

Kwa mfano kama DNA yako yenye kuanzia na base pairing ya GGC bases ambayo inakuwa na frequence rangea lets say 234 KHZ na Mimi DNA yangu inayoanzia na arrangement ya base ya CGG ambayo ina frequency ya 108KHZ manake mimi nitakuwa na uwezo mdogo wa kusynchronize ya universal energy fild ambayo ndo imetushikilia sis sote katika frequency range tofauti tofauti na hapo tukija kwenye Intelligence wew utakuwa na intelligence kubwa kunizidi kwani DNA yako imekonectiwa kwa high energy flow kulinganisha na mimi..

Kwa hiyo kila mtu anasynchronize katika frequency range tofauti..

Ndo mana Nikola Tesla mwanasayansi hatare ambaye ilifikia sehemu akawa na uwezo wa kuona electromagnetic waves( mionzi) jambo ambalo ni ngumu kwa sisi popoma ..

na ndo mana ukisoma hidden documents zake anakwambia IF YOU WANT TO UNDERSTAND HOW NATURE IS ,THINK ABOUT ENERGY,FREQUENCY na VIBRATION..( Akimanisha ,kama unataka kuelewa mfumo mzima wa jinsi ulimwengu ulivyo fikiria kwenye hizo codes zinazoelezea hivyo vitu vitatu).


Alikuwa na maana kubwa sana..

kwa hiyo DNA zetu hazilingana mpaka ulimwengu unafutika..

But you can reshape your DNA base arrangement kama unataka kuwa GENIUZ..everything is possible ,the universe is too frexible kwa kila kitu,it offers a number of options .
 
Mkuu,
Ina maana hizi codes zinatofautiana kati ya mtu mmoja na mwingine? Je kwanini watu wote hatufikiri sawa? Je DNA hizi zimetengenezwa katika formular tofauti tofauti na kwanini? Je kuna DNA Bora kabisa na nyingine za kawaida? Nipe majibu hayo kwanza, nitarudi.
Nikola Tesla...
PhotoGrid_1537166226065.jpg
 
Ulimwengu ili uwepo lazima kuwe na siri ndio maana hata maandiko kadhaa huwa yanatuacha hoi ikiwemo hili la UFOs sawa wao wametutengeneza vipi wao wametokea wapi na kwanini wameshindwa kuweka viumbe sayar zingine?! Na kwanini tuwe na sura nzuri kuliko wao waliotuumba wenye sura mbaya kama vibwngo
Na waliwezaje kufanikisha kulimiti uhai wa kila kiumbe?!

Mkuu hapa wewe tu ndo unaamini kua una sura nzuri kuliko wao,ila mbuzi angeongea huenda angekucheka sana kua una sura mbaya kuliko yeye
 
Mkuu hapa wewe tu ndo unaamini kua una sura nzuri kuliko wao,ila mbuzi angeongea huenda angekucheka sana kua una sura mbaya kuliko yeye
sure..everything is mental perception..
hata kundi la wanyama wanajiona wao ndo kila kitu..

its just a frequence range perception ambayo kila group la viumbe wanatumia..
 
...kila mtu ana mlango wa kutokea..

the matrix system of reality offers permutation ( Njia tofauti kwa kila mtu,life codes open by permutation system).

The way unavyoichukulia dunia na unachokiona wewe kipo tofauti na mtu mwingine anavyopersive ndo mana tunapersive tofauti tofauti..

Kila mtu kashikiliwa kwa life code flani maishani mwake ,ndo mana life pathy ya kila mtu ni tofauti tofauti( soma kuhusu CHALDEAN NUMEROLOGY VIZURI)

DNA zinatengenezwa katika permutation system( mfumo ambao haufanani na mwingine ) ili kila mtu anashikiliwe na matrix system kwa strength tofauti tofauti ili kuepusha kuingiliana kwa mawimbi ya ufahamu baina yako wew na ulimwengu unaokushikilia..kika mtu anaisha kutokana na mawimbi( frequency range flani) yanayokufanya Ujulikane kwenye mfumo unaoshikilia kila kitu katika ulimwengu huu..

Imagine redio stations zingekuwa zinatumia frequency moja( mawimbi ya aina moja) nadhani kungekuwa na mwingiliano wa sauti na usingeweza kuelewa chochote kinachorushwa na redio station hizo..ndo mana kila redio ina frequence yake na haifanani na nyingine ulimwenguni..

Ndivyo ilivyo hata katika mfumo wa DNA yako ..ina mfumo au arrangement za DNA bases tofauti na mwingine na wala hufanani na mtu yeyote ulimwenguni..

Hii ni kuruhusu uweze kuwa na fikra huru na kuweza kukufanya uwe na uwezo wa kusynchronize na universal pattern of reality pindi uingiapo katika high dimension( high perception of reality)..

Tukija kwenye swali lako la mwisho la kuwa Je kuna DNA bora kuliko zingine na ni kwanini..??

Ndio ubora wa DNA unatengemea na genetic code arrangement kwenye complimentary base pairing system..

Kwa mfano kama DNA yako yenye kuanzia na base pairing ya GGC bases ambayo inakuwa na frequence rangea lets say 234 KHZ na Mimi DNA yangu inayoanzia na arrangement ya base ya CGG ambayo ina frequency ya 108KHZ manake mimi nitakuwa na uwezo mdogo wa kusynchronize ya universal energy fild ambayo ndo imetushikilia sis sote katika frequency range tofauti tofauti na hapo tukija kwenye Intelligence wew utakuwa na intelligence kubwa kunizidi kwani DNA yako imekonectiwa kwa high energy flow kulinganisha na mimi..

Kwa hiyo kila mtu anasynchronize katika frequency range tofauti..

Ndo mana Nikola Tesla mwanasayansi hatare ambaye ilifikia sehemu akawa na uwezo wa kuona electromagnetic waves( mionzi) jambo ambalo ni ngumu kwa sisi popoma ..

na ndo mana ukisoma hidden documents zake anakwambia IF YOU WANT TO UNDERSTAND HOW NATURE IS ,THINK ABOUT ENERGY,FREQUENCY na VIBRATION..( Akimanisha ,kama unataka kuelewa mfumo mzima wa jinsi ulimwengu ulivyo fikiria kwenye hizo codes zinazoelezea hivyo vitu vitatu).


Alikuwa na maana kubwa sana..

kwa hiyo DNA zetu hazilingana mpaka ulimwengu unafutika..

But you can reshape your DNA base arrangement kama unataka kuwa GENIUZ..everything is possible ,the universe is too frexible kwa kila kitu,it offers a number of options .
Kwahiyo wamewapendelea watu weusi kwa kuwapa DNA bora na sisi watu weusi kupewa DNA hafifu
 
...kila mtu ana mlango wa kutokea..

the matrix system of reality offers permutation ( Njia tofauti kwa kila mtu,life codes open by permutation system).

The way unavyoichukulia dunia na unachokiona wewe kipo tofauti na mtu mwingine anavyopersive ndo mana tunapersive tofauti tofauti..

Kila mtu kashikiliwa kwa life code flani maishani mwake ,ndo mana life pathy ya kila mtu ni tofauti tofauti( soma kuhusu CHALDEAN NUMEROLOGY VIZURI)

DNA zinatengenezwa katika permutation system( mfumo ambao haufanani na mwingine ) ili kila mtu anashikiliwe na matrix system kwa strength tofauti tofauti ili kuepusha kuingiliana kwa mawimbi ya ufahamu baina yako wew na ulimwengu unaokushikilia..kika mtu anaisha kutokana na mawimbi( frequency range flani) yanayokufanya Ujulikane kwenye mfumo unaoshikilia kila kitu katika ulimwengu huu..

Imagine redio stations zingekuwa zinatumia frequency moja( mawimbi ya aina moja) nadhani kungekuwa na mwingiliano wa sauti na usingeweza kuelewa chochote kinachorushwa na redio station hizo..ndo mana kila redio ina frequence yake na haifanani na nyingine ulimwenguni..

Ndivyo ilivyo hata katika mfumo wa DNA yako ..ina mfumo au arrangement za DNA bases tofauti na mwingine na wala hufanani na mtu yeyote ulimwenguni..

Hii ni kuruhusu uweze kuwa na fikra huru na kuweza kukufanya uwe na uwezo wa kusynchronize na universal pattern of reality pindi uingiapo katika high dimension( high perception of reality)..

Tukija kwenye swali lako la mwisho la kuwa Je kuna DNA bora kuliko zingine na ni kwanini..??

Ndio ubora wa DNA unatengemea na genetic code arrangement kwenye complimentary base pairing system..

Kwa mfano kama DNA yako yenye kuanzia na base pairing ya GGC bases ambayo inakuwa na frequence rangea lets say 234 KHZ na Mimi DNA yangu inayoanzia na arrangement ya base ya CGG ambayo ina frequency ya 108KHZ manake mimi nitakuwa na uwezo mdogo wa kusynchronize ya universal energy fild ambayo ndo imetushikilia sis sote katika frequency range tofauti tofauti na hapo tukija kwenye Intelligence wew utakuwa na intelligence kubwa kunizidi kwani DNA yako imekonectiwa kwa high energy flow kulinganisha na mimi..

Kwa hiyo kila mtu anasynchronize katika frequency range tofauti..

Ndo mana Nikola Tesla mwanasayansi hatare ambaye ilifikia sehemu akawa na uwezo wa kuona electromagnetic waves( mionzi) jambo ambalo ni ngumu kwa sisi popoma ..

na ndo mana ukisoma hidden documents zake anakwambia IF YOU WANT TO UNDERSTAND HOW NATURE IS ,THINK ABOUT ENERGY,FREQUENCY na VIBRATION..( Akimanisha ,kama unataka kuelewa mfumo mzima wa jinsi ulimwengu ulivyo fikiria kwenye hizo codes zinazoelezea hivyo vitu vitatu).


Alikuwa na maana kubwa sana..

kwa hiyo DNA zetu hazilingana mpaka ulimwengu unafutika..

But you can reshape your DNA base arrangement kama unataka kuwa GENIUZ..everything is possible ,the universe is too frexible kwa kila kitu,it offers a number of options .
Nashangaa kwanini hawakupi like za kutosha [emoji3]

Wakati maneno yako yana ubora zaidi ya reli ya jiwe [emoji1][emoji1]

Kula like kama zote [emoji106] [emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
 
Tukija kwenye swali lako la mwisho la kuwa Je kuna DNA bora kuliko zingine na ni kwanini..??

Ndio ubora wa DNA unatengemea na genetic code arrangement kwenye complimentary base pairing system..

1.Kwa mfano kama DNA yako yenye kuanzia na base pairing ya GGC bases ambayo inakuwa na frequence rangea lets say 234 KHZ na Mimi DNA yangu inayoanzia na arrangement ya base ya CGG ambayo ina frequency ya 108KHZ manake mimi nitakuwa na uwezo mdogo wa kusynchronize ya universal energy fild ambayo ndo imetushikilia sis sote katika frequency range tofauti tofauti na hapo tukija kwenye Intelligence wew utakuwa na intelligence kubwa kunizidi kwani DNA yako imekonectiwa kwa high energy flow kulinganisha na mimi..
Kwa hiyo kila mtu anasynchronize katika frequency range tofauti..

2.But you can reshape your DNA base arrangement kama unataka kuwa GENIUZ..everything is possible ,the universe is too frexible kwa kila kitu,it offers a number of options .

Hapo juu bado nakusoma, Nitarudi, lakini kabla ya hapo naomba unisaidie haya mambo matatu.
1.Nini kinatokea baada ya mtu kufa
2.Kutokana na hicho ulichokieleza hapo juu namba 1, inaonekana kama vile mtu alitengenezwa tokana na source tofauti tofauti za DNA, Nikirejea maelezo yako ya mwanzo kuwa Alliens waliumba mtu, manake Alliens could be anything right? Na hawa Alliens wamewekeza katika watu kwa koo au source tofauti tofauti na wanafuatilia kupitia uncoded DNA? Kama ndio hivyo maana yake Kila mtu ana nasaba ya Alliens wa aina fulani tokana na namna alivyopata tengenezwa tokana na source donor wa DNA(Allien Donor)?
3.Ni jinsi gani unaweza ku reshape DNA Base arrangement na kuwa Genius?
 
Hapo juu bado nakusoma, Nitarudi, lakini kabla ya hapo naomba unisaidie haya mambo matatu.
1.Nini kinatokea baada ya mtu kufa
2.Kutokana na hicho ulichokieleza hapo juu namba 1, inaonekana kama vile mtu alitengenezwa tokana na source tofauti tofauti za DNA, Nikirejea maelezo yako ya mwanzo kuwa Alliens waliumba mtu, manake Alliens could be anything right? Na hawa Alliens wamewekeza katika watu kwa koo au source tofauti tofauti na wanafuatilia kupitia uncoded DNA? Kama ndio hivyo maana yake Kila mtu ana nasaba ya Alliens wa aina fulani tokana na namna alivyopata tengenezwa tokana na source donor wa DNA(Allien Donor)?
3.Ni jinsi gani unaweza ku reshape DNA Base arrangement na kuwa Genius?
Kitakachotokea baada ya mtu ni kufa ni shifting ya awareness iliyotengenezwa kwako( Conciousness) katika plane zenye kuruhusu high dimension life form..kumbuka kuwa everythinh is energy..
DNA
yako ina nguvu kubwa snaa and its energy in non aproximated kwa njia za kawaida...kwa hiyo hata unapokufa kinachoshift ni hiyo DNA energy yako kwani ndo imebeba msingi wote wa umbo na mwili wako..

swala lako la pili...

Nlilisema hivi,ili DNA au binadamu aweze kusurvive katika mazingira yenye low dimension system ni lazima awe na specific range of frequency itakayomfanya asiingiliane na mtu yoyote, but only with the iniversal pattern( Aliens or high life form beings)..
ili DNA yako ikue na ijitransform into physical entity ni lazima genetic codes zake ziwe na specific range of frequence zinazoiunganisha superconcious DNA system ambayo sasa inaweza ikawa ni ya hao programmed species au universal data base frequence ambayo kila DNA non coding bases zimeunganishwa kule hence kufanya traping ya kila kitu( DNA) kupata access ya moja kwa moja na universal grid..

swali lako la tatu.....

Jinsi ya kureshape DNA sequence arrangement inategemea wewe unataka DNA sequence yako iwe na uwezo kiasi gani..
Hapo inabiid uusome mfumo mzima wa DNA BASES frequence range kutoka kwenye universal energy grid ambayo itakupa sequence nzima ya base group kuanzia the least mpka the best zaidi .

the more bases zinavyokuwa na frequnce kubwa ndipo uwezo wa kuwa na high energy flow connection unakuwa mkubwa hivyo kuifanya akili ya yule mtu kuwa na processor kali sana kwenye utambuzi wa mambo yote na jinsi ubongo wake unavyooperate unakuwa mkubwa sana..

Njia hiyo inaweza kutumika under micropipette base innoculation kwa kuifanyia rearrangement katika sex DNA sequence ..sasa hapa inategemea na wew unataka mtu awe na genetic ability ipi..hapa unaangalia desired frequency range ..

Mfano,kama high brain function ya kuanziA IQ ya 150 inanaza na sequence ya AAG na tayari sequence yako wew mwenye IQ ya 70 imeanza na sequence ya GCC manake nini unatakiwa ufanye genetic editing kwa kutoa kipande cha GCC kwenye DNA yako kisha kupachika kipande cha AAG under enzyme guided techique nadhani utakuwa umitengeneza new DNA ,hapo sawa unairuhus ile DÑA kufanya cross link na Female chromosomes na hapo mtakuwa mmepata mtoto mwenye uwezo mkubwa sana..ila ni very costful snaa....na kazi hii haifanyiki kwa sisi ila kwenye kundi maalumu la wenye ulimwengu ( dunia hii))


Ila kama unataka kureshape DNA sequence yako mwenye unafanyiwa DNA shunting Replication kwa kufuata system yani hapa tunazicoman brani cell zako zianze kuruhusu replacement ya dead cell ziwe na mfumo mpya wa REPLICATION yenye kuanza na base sequence yenye high energy..
 
Kitakachotokea baada ya mtu ni kufa ni shifting ya awareness iliyotengenezwa kwako( Conciousness) katika plane zenye kuruhusu high dimension life form..kumbuka kuwa everythinh is energy..
DNA
yako ina nguvu kubwa snaa and its energy in non aproximated kwa njia za kawaida...kwa hiyo hata unapokufa kinachoshift ni hiyo DNA energy yako kwani ndo imebeba msingi wote wa umbo na mwili wako..

swala lako la pili...

Nlilisema hivi,ili DNA au binadamu aweze kusurvive katika mazingira yenye low dimension system ni lazima awe na specific range of frequency itakayomfanya asiingiliane na mtu yoyote, but only with the iniversal pattern( Aliens or high life form beings)..
ili DNA yako ikue na ijitransform into physical entity ni lazima genetic codes zake ziwe na specific range of frequence zinazoiunganisha superconcious DNA system ambayo sasa inaweza ikawa ni ya hao programmed species au universal data base frequence ambayo kila DNA non coding bases zimeunganishwa kule hence kufanya traping ya kila kitu( DNA) kupata access ya moja kwa moja na universal grid..

swali lako la tatu.....

Jinsi ya kureshape DNA sequence arrangement inategemea wewe unataka DNA sequence yako iwe na uwezo kiasi gani..
Hapo inabiid uusome mfumo mzima wa DNA BASES frequence range kutoka kwenye universal energy grid ambayo itakupa sequence nzima ya base group kuanzia the least mpka the best zaidi .

the more bases zinavyokuwa na frequnce kubwa ndipo uwezo wa kuwa na high energy flow connection unakuwa mkubwa hivyo kuifanya akili ya yule mtu kuwa na processor kali sana kwenye utambuzi wa mambo yote na jinsi ubongo wake unavyooperate unakuwa mkubwa sana..

Njia hiyo inaweza kutumika under micropipette base innoculation kwa kuifanyia rearrangement katika sex DNA sequence ..sasa hapa inategemea na wew unataka mtu awe na genetic ability ipi..hapa unaangalia desired frequency range ..

Mfano,kama high brain function ya kuanziA IQ ya 150 inanaza na sequence ya AAG na tayari sequence yako wew mwenye IQ ya 70 imeanza na sequence ya GCC manake nini unatakiwa ufanye genetic editing kwa kutoa kipande cha GCC kwenye DNA yako kisha kupachika kipande cha AAG under enzyme guided techique nadhani utakuwa umitengeneza new DNA ,hapo sawa unairuhus ile DÑA kufanya cross link na Female chromosomes na hapo mtakuwa mmepata mtoto mwenye uwezo mkubwa sana..ila ni very costful snaa....na kazi hii haifanyiki kwa sisi ila kwenye kundi maalumu la wenye ulimwengu ( dunia hii))


Ila kama unataka kureshape DNA sequence yako mwenye unafanyiwa DNA shunting Replication kwa kufuata system yani hapa tunazicoman brani cell zako zianze kuruhusu replacement ya dead cell ziwe na mfumo mpya wa REPLICATION yenye kuanza na base sequence yenye high energy..

Mkuu nimekuinulia mikono,unajua sana! nawaza na ww utakuwa na vipande vya AAG make sio kwa nondo hizi
 
Back
Top Bottom