Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyekuambia kuwa ulitoka kuwa sokwe ni nani...??
Mbona leo hatuoni mabadiliko hayo..??
huwezi ukajiuliza swali hapo..??
wanaokutawala ndo wanakudanganya hivo kuwa ulikuwa sokwe..ili usihoji zaidi how nature brought you into existance..
kwanini sokwe wamebaki kuwa sokwe na hatuoni wakibadilika ..??
(Hiyo inaitwa genetic diversity )
umesoma shule ya msingi huko wakakudanganya binadamu wa kwanza aliishi Tanzania ukameza kama ilivyo ila kadri unavozidi kwenda juu( ndani zaidi) unagundua kuwa jmaaa hawana nia njema na sisi ,wanazidi kukublackmind kabsa ...
Sent using Jamii Forums mobile app
mbona iko wazi inajieleza mkuu..au wapi kuna shida..??
siku zote wanajaribu kuficha ukweli how creatures hasa binadamu alivyoevolve na jinsi nature inavyomcontrol..Hapo uliposema kwamba 'hawana nia njema na sisi'
unaweza ukute hata kura kwenye chaguzi mbalimbali wanakuwepo na kupiga kura nomaaaNaskia hao aliens wanauwezo wakujigeuza na kufanana na raia na wapo pamoja nasi!!
Thats is pathophysiology of hair as a tissu lived without blood supply while other tissue gonemkuu keratin ndo protein ngumu zaidi na haipotezi DNA sequence zake kwa muda mrefu..
Hiyo ni kwa sababu ni very strong and rigid when thick, it can be very flexible when very thin.
kwa hiyo kwenye Keratin Traits hazipotei kirahisi kama ilivyo kwenye ngozi..
Ngozi ikioza tu basi Sequence inapotea ila sio kwenye keratin.
keratin is a protein, which in turn is made up of amino acids and cysteine disulfide. The latter makes sulfur atoms form a firm structure called disulfide bridges. The levels of the amino acids and disulfide bridges determine what the hair will look like.
Sent using Jamii Forums mobile app
siku zote wanajaribu kuficha ukweli how creatures hasa binadamu alivyoevolve na jinsi nature inavyomcontrol..
Kumekuwa na paradoxy nyingi sana zinazopindisha ukweli wa mambo jinsi mwanadamu alivyokuja hapa duniani..
Mpaka inafikia mahali nchi za africa zinalishwa matango kuwa mwanadamu wa kwanza ulimwwngyni aliishi Tanzania ..
Lengo ni kuendelea kuficha ukweli na kumfanya mwafrica asijue alitoka wapi..
Ukishaambiwa aliishi tanzania huwezi anza kujiuliza kuwa alitokea wapi.
Only few will understand how things go and work..