Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

Proof: Binadamu alitengenezwa na Aliens

Natural creatiin iko guided by factor control flani ambayo inaruhus viumbe wote wapitie sequence( consider about spiral continum iliyojaribu kuelezewa ) kwenye fibonacci number and life regression codes ambazo zinatolea ufafanuzi kwenye DNA analysis

Sent using Jamii Forums mobile app
Natamani utambue kuwa mm ni mburula mmoja ambaye sijui hizo terminology
 
Chanzo cha uhai ni nini ?
hapo kuna nadharia ya kibiblia ambayo inase
a kuwa mungu aliamuru uhai kwa viumbe ila inashindwa kuelezea kinaga ubaga..

lakini kisayansi pia inajaribu kuelezea kupitia cosmological DNA reprogression ..

Lakini bado kuna utata juu ya chanzo cha uhai..

Ndo mana CERN project moja ya ajenda zao ni kutafuta chanzo cha nguvu iliyoseti mambo yote kuanza..

Lakini mkuu ukifuata mlolongo huo unakujs kugundua kuwa je viumbe wanaosadikika kuwa na maisha sayari zingine waliumbwa na nani..??

Kuna maswali mengi snaa hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chanzo cha uhai ni nini ?
huwezi kuconclude kuwa tumeumbwa na Mungu wakati kuna posibility ya wew kuumbwa na wwngine...hapa napo kuna shida kidgo..only higher life forms can ague about their presence ,not you..

viumbe wenye uelewa mwingi ndo wenye kuhoji chanzo chao ila kama www umetokana na wao basi nadharia ya Mungu inakosa nguvu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hapo kuna nadharia ya kibiblia ambayo inase
a kuwa mungu aliamuru uhai kwa viumbe ila inashindwa kuelezea kinaga ubaga..

lakini kisayansi pia inajaribu kuelezea kupitia cosmological DNA reprogression ..

Lakini bado kuna utata juu ya chanzo cha uhai..

Ndo mana CERN project moja ya ajenda zao ni kutafuta chanzo cha nguvu iliyoseti mambo yote kuanza..

Lakini mkuu ukifuata mlolongo huo unakujs kugundua kuwa je viumbe wanaosadikika kuwa na maisha sayari zingine waliumbwa na nani..??

Kuna maswali mengi snaa hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilitaka nikuulize swalii kama hilo ...ila yule jamaa anayesema maisha dunian yaliletwaa kutoka sehemu nyingine naweza kwenda nae kijiweni ili atuelezee vzur
 
Nilitaka nikuulize swalii kama hilo ...ila yule jamaa anayesema maisha dunian yaliletwaa kutoka sehemu nyingine naweza kwenda nae kijiweni ili atuelezee vzur
inawezekana vizuri mno mkuu.

.kitu gani kigumu hapo..??

Kama unaweza hamisha makao toka nchi kavu hadi baharini unashindwaje kuamini kuwa dunia iliandaliwa kwa ajili ya kuplant{ kupandikiza maisha ya viumbe (organism) huku..

Kila nadharia inakuwa na nguvu katika kujitetea..

Leo hii tunaona United State of Emirates [Uarabuni] wanageuza jangwa{ desert} kuwa bahari na bichi za kupunga upepo huoni kuwa the universe is too flexible katika kuruhusu reprogression and recreation ya maisha ya viumbe au kiumbe yoyote??

Mkuu mazingira yanaandaliwa mkuu..huwezi amini jambo kubwa halafu ukakataa jambo dogo wakati jambo kubwa limeundwa na jambo ndogo ndogo..

Bigger things never exist if not made by smaller things..

Nothing big expresses itself unless small one aside to make the big exist..

kwa lugha ya kawaida tunasema vitu vidogo huunda vitu vikumbwa..

kama umeweza kugeuza mazingira. ya jangwa ambayo yalishindwa kusapoti mimea ijue sasa hivi yanasapoti ,utashindwaje kuamininkuwa maisha ya hapa duniani yaliandaliwa..;!

Tupo kwwnye giza nene ambalo wachache wamepata kuelewa jinsi Matrix of life ilivyo..

Tupo kwenye universal matrix ambayo imeweka mitego mingi kwa viumbe wake.

Ukiweza kujinasua na huu mtego basi utakuwa umevuka ng'ambo kubwa snaa kiuelewa..

Everything is simulation ..everything can be recreated in any form else where in this universe ,only to understand the universal matrix how it is composed

Sent using Jamii Forums mobile app
 
inawezekana vizuri mno mkuu.

.kitu gani kigumu hapo..??

Kama unaweza hamisha makao toka nchi kavu hadi baharini unashindwaje kuamini kuwa dunia iliandaliwa kwa ajili ya kuplant{ kupandikiza maisha ya viumbe (organism) huku..

Kila nadharia inakuwa na nguvu katika kujitetea..

Leo hii tunaona United State of Emirates [Uarabuni] wanageuza jangwa{ desert} kuwa bahari na bichi za kupunga upepo huoni kuwa the universe is too flexible katika kuruhusu reprogression and recreation ya maisha ya viumbe au kiumbe yoyote??

Mkuu mazingira yanaandaliwa mkuu..huwezi amini jambo kubwa halafu ukakataa jambo dogo wakati jambo kubwa limeundwa na jambo ndogo ndogo..

Bigger things never exist if not made by smaller things..

Nothing big expresses itself unless small one aside to make the big exist..

kwa lugha ya kawaida tunasema vitu vidogo huunda vitu vikumbwa..

kama umeweza kugeuza mazingira. ya jangwa ambayo yalishindwa kusapoti mimea ijue sasa hivi yanasapoti ,utashindwaje kuamininkuwa maisha ya hapa duniani yaliandaliwa..;!

Tupo kwwnye giza nene ambalo wachache wamepata kuelewa jinsi Matrix of life ilivyo..

Tupo kwenye universal matrix ambayo imeweka mitego mingi kwa viumbe wake.

Ukiweza kujinasua na huu mtego basi utakuwa umevuka ng'ambo kubwa snaa kiuelewa..

Everything is simulation ..everything can be recreated in any form else where in this universe ,only to understand the universal matrix how it is composed

Sent using Jamii Forums mobile app
Nmekusomaa
 
Nmekusomaa
Asante..

Fungua akili yako ujue chanzo cha kila kitu..tupo kwenye matrix japo wachache hawataki kutuweka wazi matokeo yake wanatuandalia majarida yanayoelezea tofauti kabisa na reality ilivyo..

Life is a game ,wheather you to be a slave or knowing that you are the part of the universe hence become controlling others..!!

Its you now to choose wheather to understand how matrix system is or continue being enslaved by any means by the ellite ones..

It is a game between the controller and the controlled one..

There is a gate way to allow the knower to escape from the slaving area to other world where peace and harmony is pretty..

Mbaya na nzuri zimechanganywa ili kuruhusu maisha yaendelee..

The world can not be poisoned kwa sababu wanaoishi ni wajinga na welevu kwa hiyo mwelevu anasavaivu kwa kuepuka mbaya iliyochanganywa na nzuri ndani yake..

Ila yule ambaye hajui chochote anatumia mbaya ili aishi..

The universe is poluted with Reality and Ilusions ,so its you now to choose what you want to dig..

Mind you,ukishaijua iliyo kweli ,hakika mbaya itakukwepa na nzuri ndo itakuwa mali yako katika kila kitu..

posibility is half by half to enjoy the mixed ones.. 😉 😉

Sent using Jamii Forums mobile app
 
@lifecoded hii inanipelekea niwaze kuwa nchi zenye number kubwa ya allien ndio technology kubwa labda?
mkuu sio swala la kuuliza..pigia mstari...

Mkuu maeneo mengi ambayo Aliens wanatua ndo maeneo yenye technolojia kubwa snaa..

Wazungu washakubali masharti wheather to survive under civilizatiom or continue being stupid mindly na maisha yako...



Sent using Jamii Forums mobile app
 
@lifecoded hii inanipelekea niwaze kuwa nchi zenye number kubwa ya allien ndio technology kubwa labda?
mkuu sio swala la kuuliza..pigia mstari...

Mkuu maeneo mengi ambayo Aliens wanatua ndo maeneo yenye technolojia kubwa snaa..

Wazungu washakubali masharti wheather to survive under civilizatiom or continue being stupid mindly na maisha yako...

Sisi ambao tunajifanta kuhoji na kutokukubaliana na hali ndo mana yunajikuta tupo nyuma snaa katika kila hali



Sent using Jamii Forums mobile app
 
hatari sana mkuu,mtafute mtu mmoja anaitwa Nick Wauters ndo aliyeiruhusu ile movies kutengenezwa,yani unaambwa movies au series zake zilikuwa na utata snaa ..

Tafuta series yake moja inaitwa THE 4400 ni balaa


mpaka ilfungiwa mwka 2007..



Sent using Jamii Forums mobile app
Hii series nimeanza kuiangalia now.,kama hutojali naomba unipe list ya series zenye mambo ya utata* maana napenda sana haya mambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom